Pages

MSANII WA BONGO MOVIE AFARIKI DUNIA



Muigizaji Mzee Manento amefariki dunia usiku wa kuamkia jana.
Mzee Mnento atakumbukwa hasa kwa filamu alizocheza kiumakin na marehemu Kanumba  ambazo  ni Hero of the church, Dar to lagos,fake pastor n.k.
Mungu ailaze Roho ya maerehemu mahali pema peponi amina.