Bongo Gossip
Udaku wa ndani na nje ya Tanzania
Pages
(Move to ...)
Home
Contact Us
About Us
▼
WEMA NA PENNY MAMBO DAM DAM
Baada ya kuweka Tofauti zao pembeni na kukubali kwamba Diamond si wao tena, Warembo Wema Sepetu na Penny wamekuwa mashosti vibaya, kiasi cha kufikia kufanya mambo mengi pamoja, jiangalie mwenyewe walivyoamua kushona nguo Sare Sare.
‹
›
Home
View web version