Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» »Unlabelled » "SIDAIWI" Chameleone

Msanii tajiri wa Uganda na Mliki wa Kampuni ya The Leone Island, Jose Chameleone amekanusha uvumi uloenea nchini humu kwamba eti ana madeni makubwa katika baadhi ya benki nchini humo, amesema kwamba kuna yeyote anamwenea wivu kijicho na hasa ukizingatia mafanikio aliyonayo kwa zaidi ya miaka kumi ukilinganisha na umri wake. Amesema katika page yake ya facebook kwamba " kunilaumu mimi kwa kushindwa kwako ni sawa na kuniambia upuuzi tu"

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga