Latest
Tafuta Hapa
Kali za Facebook
Labels
- Agness Masogange (5)
- Aisha Bui (1)
- Ajali (5)
- Ali Kiba (5)
- Aunty Ezekiel (8)
- Baby Madaha (2)
- Batuli (2)
- Bob Junior (2)
- Bongo Flavor (35)
- Bongo Movie (46)
- Chriss Brown (1)
- Dawa za Kulevya (2)
- Diamond Platnumz (47)
- Drake (1)
- Dully Sykes (1)
- Elizabeth Michael (3)
- Escrow (9)
- featured (24)
- Fumanizi (11)
- Gardner (1)
- Geor Davie (1)
- Global Publishers. (18)
- Habari Picha (78)
- Habari za Kimataifa (209)
- Habari za Kitaifa (216)
- Halima Ally (1)
- Hamisa Mobeto (1)
- Huddah Monroe (1)
- Irene Uwoya (3)
- Jacqueline Wolper (4)
- Jamii Forums (79)
- Jokate (1)
- Kajala Masanja (5)
- Lady Jay Dee (6)
- Lilian Kamazima (1)
- Lulu (5)
- Magazeti na Picha (2)
- Mainda (1)
- Maisha (66)
- Malick Bandawe (2)
- Mapenzi (197)
- Maunda Zorro (1)
- Michezo na Burudani (72)
- Miss Tanzania (9)
- Mpira (6)
- Mr Blue (1)
- Muziki (12)
- Mwana Fa (1)
- Ney wa Mitego (1)
- Nyota wa Bongo (120)
- Ommy Dimpoz (9)
- Original Comedy (1)
- P Square (1)
- Picha za Utupu (46)
- Ray C (1)
- Rihanna (1)
- Rose Ndauka (2)
- Sabby Angel (2)
- Shetta (1)
- Shilole (3)
- Sitti Mtemvu (6)
- Udaku Magazetini (37)
- Udaku wa Africa (234)
- Udaku wa Tanzania (253)
- Udaku wa TZ na Africa (21)
- Udaku wa Ulaya (189)
- Ufuska (152)
- Uhuru Kenyatta (1)
- Ujana (35)
- Urembo (11)
- Uswazi. (32)
- Video (9)
- Wasanii (54)
- Wema Sepetu (36)
- Zari The Boss Lady (29)
- Zitto Kabwe (1)
Feature
Udaku wa Africa
Habari za Kimataifa
Habari za Kitaifa
Mapenzi
Michezo na Burudani
Udaku wa Ulaya
WEMA BADO ANAMPENDA DIAMOND PLATNUMZ, AWEKA VIDEO YA JAMAA AKIWA KIFUA WAZI NA KUSEMA HAYA....
Mapenzi, Nyota wa Bongo, Wema Sepetu
Leo mwanadada wema sepetu amezidi kuudhihirishia ulimwengu wa fans wake kuwa kijana raisi wa wasafi aka Diamond Platnumz ndio mahabuba wake baada ya kupost video ya mwanamuziki huyo akiwa kitandani kifua wazi kabisaaa huku akiandika “In da middle of his writing session…jus had to distrub him a little”. Mmmh hatari sana!
WEMA SEPETU NA OMMY DIMPOZ NI FULL KUPIKIANA NA KUPAKUA
Mapenzi, Nyota wa Bongo, Ommy Dimpoz, Wema Sepetu
AMBER ROSE AMJIBU KANYE WEST BAADA YA KUMKASHIFU KUWA ALIOGA MARA 30 ILI AWE NA KIM K BAADA YA KUACHANA NAE


HUYU NDO MP3NZ MPYA WA RIHANNA
Baada ya Rihanna na Leonardo DiCaprio kutoa ya moyoni mapema mwezi huu kuhusu ukaribu wao na m@haba yaliyopo baina yao, taarifa mpya zinasema kuwa Staa huyo mahusiona na mcheza filamu Richie Akiva.
Rihanna pamoja na Akvia, walikutana kwa mara ya kwanza ndani ya St. Barth’s over iliyopo ikiwa ni siku ya mwaka mpya ndipo toka hapo wawili hao wakaanzisha urafiki hadi kufikia hatua ya kuwa wap3nzi.
Akiva ambaye ni mmliki wa night club kubwa ndani ya jiji la New York na pia ni rafiki mkubwa wa Leonardo anayesemekana kuwa ni mp3nzi wa Riri bila ya kumsahau Rapper Jay Z
Kila la Kheri kwako Riri utulie sasa
KUMBE DIMPOZ NI KUWADI WA KIGOGO ANAE MMILIKI WEMA SEPETU KWA SASA.
Mapenzi, Nyota wa Bongo, Ommy Dimpoz, Wema Sepetu
HABARI ya mjini ni kwamba, lile p3nzi linalonadiwa la Mbongo-Fleva, Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ na mwigizaji Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ limejaa magumashi, ikidaiwa kuwa jamaa huyo kawekwa kama boya tu, nyuma yake kuna kigogo mzito serikalini ndiye anayekula vinono, Risasi Jumamosi limetonywa.
“Kutokana na unyeti wa kazi yake, jamaa hataki kujitokeza ‘front’ ndiyo maana ameamua kumtumia Dimpoz kama kanyaboya huku yeye akiendelea kula vyake,” kilisema chanzo hicho.Kikizidi kumwaga ubuyu, chanzo hicho kilidai kigogo huyo ndiye anayedhamini safari zote za Wema na Dimpoz nje ya nchi ikiwemo ile ya juzikati nchini Marekani ambayo ilibuma.
“Jamaa ana pesa chafu, amemnunulia Wema viwanja viwili kimoja kipo Tabata na kingine Kigamboni, Dar, ndiye anayemwezesha Wema katika shughuli zake za kila siku.“Kigogo huyo ndiye chanzo cha Wema kummwaga Diamond, alimpotezea kwa sababu ya maslahi zaidi, hata kwenye bethidei ya Wema mwaka jana, kigogo huyo ndiye aliyegharamia vitu kibao hadi kusababisha Diamond ahoji,” kilisema chanzo chetu.
Mwanahabari wetu alipomvutia waya Wema, alijibu kwa kifupi na kukata simu:
“Ujue sasa hivi mimi sitaki malumbano na mtu, najua kila mtu siku hizi anaongea kila anachojisikia, naomba niachwe na maisha yangu, unayoyasema hayana maana, wanasema kwa sababu hakuna anayemjua mp3nzi wangu wa sasa sina muda wa kubishana.”
Hivi karibuni, wakiwa Sauz, Wema na Dimpoz, picha zao wakiwa kimahaba zilivuja mitandaoni hivyo kuibuka gumzo kuwa huenda kwa sasa nao wanatoka.
JACQUELINE PENTEZEL, HANA MPANGO WA KURUDI TENA NDOANI
BAADA ya kupewa talaka na aliyekuwa mumewe, Gadna Dibibi, mwigizaji Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’ ameamua kufunguka na kuweka wazi kuwa hayuko tayari kuolewa tena.
“Katika ndoa lazima kuwe na mabaya na mazuri, hata hivyo siwezi kusema ndoa ni chungu hapana, ila mimi kwa sasa hivi nimeona nipumzike kwanza sitaki tena ndoa labda kwa hapo baadaye nitakapojipanga tena upya,” alisema Jack.
Jack alidumu na mumewe huyo kwa miaka miwili na nusu kabla ya kupewa talaka hivi karibuni huku chanzo kikiwa ni kusalitiana katika map3nzi.
WAREMBO WALIOZAA NA NAY WAMALIZA TOFAUTI ZAO, WAONEKANA KAMA WAKE WENZA ESCAPE ONE.
Mabinti wawili waliozaa na msanii wa muziki, Emmanuel Elbarik ‘Nay wa Mitego’, Siwema na Skyna Ally ambao awali ilidaiwa walikuwa na bifu zito, sasa wameamua kuwa mashosti.Ijumaa hivi karibuni liliwanasa wawili hao kwenye Ukumbi wa Escape One, Msasani jijini Dar wakiwa beneti kama mtu na mke mwenza na lilipotaka kuzungumza nao wote walichenga na kutaka waachwe.
MBINU ZA KUKUFANYA USIPATE MAUMIVU KATIKA MAHUSIANO YA KIMAP3NZI
Map3nzi ni sanaa kama zilivyo sanaa nyingine. Unahitaji kuielewa vizuri sanaa hiyo ili uweze kuishi vyema na mwenzi wako. Kama ilivyo kwenye upigaji wa gitaa, ili ulipige vizuri na kuweza kutoa muziki mtamu, ni lazima ujifunze.
1. KUWA MKWELI
Miongoni mwa mambo yanayoweza kukufanya ukaishi vizuri na mwenzi wako, ni kuwa mkweli katika kila unachokifanya kuanzia kwenye maisha yenu ya kimap3nzi mpaka kwenye maisha ya kawaida.
Wengi huwa hawaoni umuhiku wa kuwa wakweli kwa wenzi wao kwa kuamini kuwa hilo ni jambo dogo ambalo haliwezi kuathiri uhusiano wa watu wawili kwa namna yoyote. Kuamini hivyo ni makosa, map3nzi ya kweli yanajengwa katika ukweli, jitahidi kuwa mkweli kadiri uwezavyo utaona raha ya map3nzi.
Ipo imani kwamba eti wanawake wengi wanapenda kudanganywa ili wadumu kwenye mapenzi, binafsi sikubaliani na hili, ukweli utamfanya mtu aridhie mwenyewe namna ya kuishi na wewe kuliko kuendelea kumlaghai kwa maneno mengi ya uongo kila siku.
2. KUWA MWAMINIFU
Pengine hii ndiyo siri kubwa kuliko zote kwenye uhusiano wa kimap3nzi. Tunaishi katika ulimwengu unaokwenda kasi sana, teknolojia na mambo ya kisasa yanatubadilisha mfumo wa maisha yetu na kujikuta tukiwa kwenye hatari kubwa ya kuchepuka na kuwaumiza wenzi wetu.
Hata kama leo hajajua, umechepuka na kufanya kuwa siri yako, ipo siku atajua na pengine huo ndiyo utakuwa mwisho wa uhusiano wenu au mwanzo wa safari chungu ya kimap3nzi. Kuwa makini, baki njia kuu.
3. MHUDUMIE
Hii inawahusu zaidi wanaume, kama upo kwenye uhusiano wa kimap3nzi na mwanamke ambaye kweli unampenda na unataka kudumu naye maisha yako yote, jitahidi kadiri uwezavyo kumtimizia mahitaji yake muhimu.
Hulka ya mwanamke ni kwamba hata kama yeye anafanya kazi na ana mshahara mkubwa kuliko wewe, bado atataka umsaidie kwenye mambo mbalimbali yanayomhusu. Ukimtatulia shida zake, hata kama ni ndogondogo, atajiona yuko sehemu salama na kuzidisha mapenzi kwako, hataona sababu ya kuwa na mwingine wakati unamtimizia kila kitu.
4. MRIDHISHE
Siri nyingine kubwa katika uhusiano wa kimap3nzi wa watu wawili, ni kila mmoja kujua namna ya kumridhisha mwenzi wake na kukidhi haja kikamilifu muwapo far@gha.
Tendo la nd0a linalofanywa kikamilifu, linatajwa kuwa na nguvu ya kuwafanya wahusika kuzidi kupendana na kuwa karibu zaidi, hata kama watakuwa wanapitia katika misukosuko ya maisha. Jifunze namna ya kumridhisha mwenzi wako kikamilifu muwapo far@gha.
NIKIMFUMANIA MUME WANGU NTAMSAMEHE, KWA JINSI NNAVYOMPENDA.
Global Publishers., Mapenzi, Nyota wa Bongo
Wiki hii kupitia ukurasa huu tunaye mwanadada anayefanya vizuri kwenye ulimwengu wa filamu anayefahamika sana kwa jina la Sandra lakini jina lake halisi ni Salama Salmini.Ni mama wa watoto wawili na anaishi na mume wake. Mwandishi Wetu Mayasa Mariwata hivi karibuni alimbana kwa maswali 10 na bila hiyana alitoa ushirikiano katika kuyajibu, shuka naye…
TQ: Unapokuwa nyumbani kwako huwa unapendelea kuvaa mavazi ya aina gani, hususan ukiwa chumbani na mumeo?Sandra: Nikiwa nyumbani kwa kuwa naishi na wanangu huwa napenda kujifunga kanga na kuvaa madira lakini nikiwa chumbani, huko ni full kujiachia.
TQ: Inadaiwa wewe ni kati ya mastaa wasiopenda kufanya kazi za nyumbani na mara nyingi unamuachia majukumu hausigeli ikiwemo kumpikia mumeo, hili likoje?
Sandra: Sipendi kabisa mume wangu apikiwe chakula na hausigeli, mimi ni mwanamke ninayejua majukumu yangu, kwa hiyo hausigeli huwa ananisaidia tu.
TQ: Hivi siku ikitokea umemfumania mumeo utafanyaje?
Sandra: Kwa kweli naomba Mungu hilo lisitokee maana sijui maumivu nitakayoyapata, kwanza nitamsamehe sababu nampenda sana mume wangu.
TQ: Umeshawahi kuchepuka? Kuwa mkweli Sandra.
Sandra: Sijawahi kufanya hicho kitu wala sifikirii. Nifuate nini wakati kila kitu nakipata kwa mume wangu jamani? Sina tamaa za kijinga mimi.TQ: Hili la wasanii kuibiana mabwana halikutii hofu?
Sandra: Mimi sihofii hilo kabisa maana najiamini mno, kama mtu ni mal@ya, mal@ya tu hata umchunge vipi akiwataka atatembea nao.
TQ: Ni sehemu gani ambayo inakupa mzuka zaidi kwenye jumba la mah@ba?
Sandra: Ninapokuwa hayo maeneo kila kona ya mwili wangu huwa imejaa msisimko, ila napendelea zaidi ‘rom@nce’.TQ: Siku za wikiendi unapendelea kufanya nini?
Sandra: Napenda kutoka na familia yangu kwenda ufukweni kuogelea na kubadilishana mawazo na mume wangu.
TQ: Utapenda watoto wako warithi fani yako ya uigizaji?
Sandra: Sifikirii wanangu waje kuwa wasanii, kikubwa nawaombea mafanikio wawe watu bora zaidi kwenye taifa.TQ: Hivi baada ya kuolewa kwenda viwanja ndo’ basi?
Sandra: Naiheshimu sana ndoa yangu, sioni sababu ya kwenda kukesha klabu, huwa napenda kutulia chumbani na mume wangu na kutazama muvi.
GPL.
BANDAWE BADO ANAMKUBALI ROSE NDAUKA, JAPO WAMESHA ACHANA.
Malick Bandawe, Mapenzi, Rose Ndauka, Udaku wa Tanzania
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Malick Bandawe ambaye sasa anatamba na wimbo wake wa Tucheze amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa tangu atengane na mzazi mwenziye, Rose Ndauka bado hajatokea wa kumtetemesha.
NATAFUTA MUME AMBAYE SIO STAA KAMA RAY" JOHARI
STAA mkongwe katika tasnia ya filamu, Blandina Chagula Johari amefunguka kuwa kamwe hatarajii kuolewa na staa kama Vicent Kigosi Ray bali anahitaji mume wa kawaida asiye maarufu. Akizungumza na Uwazi, Johari alisema kuwa kwa upande wake hachagui mwanaume gani wa kumuoa bali tu ajue kumthamini na kumuheshimu kama mwanamke.
Awali, Johari aliwahi kuripotiwa kuwa na uhusiano wa kimap3nzi na nyota wa filamu, Ray na kuachana baadaye. Kama ni hivyo basi map3nzi yao yalikuwa ni ya boyfriend na girlfriend na wala si ndoa.
TIKO WA BONGO MOVIE ASAKA NDOA
Bongo Movie, Mapenzi, Nyota wa Bongo
MSANII wa filamu Bongo, Tiko Hassan Tiko, amefunguka kuwa anashindwa kuolewa kutokana na kukosa mwanaume wa kufanya hivyo, ila yupo tayari kupokea barua ya uchumba kutoka kwa mwanaume yeyote atakayehitaji kufunga naye ndoa.
Akitokea mwanaume na kuja kutoa barua nyumbani hata leo, nipo tayari na naweza kuishi naye lakini haina maana kwamba kila mwanaume anaweza kuja kwetu na kufanya hivyo. Mwanaume ambaye atakuja anatakiwa awe anajitambua ili tuweze kujenga familia, alisema Tiko.
DANCER WA DIAMOND AKUBALI KIAINA KUHUSIKA NA UJAUZITO WA AUNTY EZEKIEL
Aunty Ezekiel, Mapenzi, Udaku wa Tanzania
VIDEO YA WASANII TUNDA NA STANI WAKIFANYA MAP3NZI YAVUJA....
Global Publishers., Mapenzi, Udaku wa Africa, Udaku wa Tanzania, Ufuska
AGNESS MASOGANGE AMPAGAWISHA NJEMBA SOUTH AFRICA MPAKA KATANGAZA NDOA.
Agness Masogange, Mapenzi, Udaku wa Africa
Jamaa huyo amekuwa akieneza habari kuwa, Masogange ni ‘mtu’ wake kitendo kilicholifanya Ijumaa ambalo awali lilikuwa na taarifa kuwa, Agnes amechumbiwa na msanii aitwaye Evance Komu limtafute mrembo huyo ili afafanue na alipopatikana alisema:
“Hiyo ishu ipotezee bwana, maswali gani hayo unaniuliza?” alihoji Masogange aliyeonekana kutotaka kuwekeka wazi mambo yake ya kimap3nzi.
AMANDA WA BONGO MOVIES ANENA MAZITO KUHUSIANA NA MAP3NZI
Bongo Movie, Mapenzi, Nyota wa Bongo
YULE JAMAA ANAYEWATAKA WASICHANA KINGUVU MTANDAONI HUYU HAPA, APATA KICHAMBO CHA MWAKA
Popular Posts
-
Baada tu ya chumba cha binti huyu ambaye ni mtoto wa mjomba tunayeishi nae hapo nyumbani kuna chumba cha kujisomea ambacho mara nyingi huwa ...
-
Mkali wa Bongo fleva, Nasibu Abdul au maarufu kwa jina la Diamond akipozi. ANAITWA Nasibu Abdul au maarufu kwa jina la Diamond. Alizaliwa s...
-
Hebu jionee mwenyewe picha ya bi mkubwa huyo, udenda unamtoka akilazimisha kutoa "nanii" ya huyo mvulana ili "ampige mambo ye...
-
--> --> Kama anavyoonekana katika picha mwanadada Rihanna amekutwa akijiacha alipokwenda kula vacation huko miami, staa huyo mwen...
-
Wale Wadada wanaongoza kwa katibia kao ka kucheza huku wakiwa nusu uchi au uchi kabisa, maana hujifunika kamtandio na wakati mwing...
-
Whitney Port Anne Hathaway Emma Watson Chloe Molertz Gwyneth Paltrow Sienna Miller Jennifer Lawrence Kate Hudson Kate Moss Millie Mackinto...
-
Muigizaji wa filamu Flora Mvungi ambaye ni mke wa H.Baba, amedai a kuna watu waliofika nyumbani kwake zaidi ya mara tatu wakimtaka mfanyak...
-
Mara baada ya kutua Mwanza hii ndiyo picha ya kwanza aliyopost Martin Kadinda ikimuonesha Diamond Na Wema Sepetu wakipigana Denda mbele za w...
-
Aibu! Mrembo anayeuza nyago (video queen) kwenye video kibao za wasanii wa Bongo Fleva, Tunda Sabasitana na mchekeshaji maarufu Bongo, Sta...
-
Inasadikika Chief Kiumbe yupo lupango Dodoma kwa makosa mawili moja kukutwa na nyaraka za bunge isivyo halali, mbili kutumia vijana kutish...