tovuyi ya www.Naij.com imesema kuwa Mr.Okoye alikua akisumbuliwa na maumivu ya Goti baada ya kufanyiwa upasuaji ingawa hali iliripotiwa kuendelea vizuri.
Latest
Tafuta Hapa
Kali za Facebook
Labels
- Agness Masogange (5)
- Aisha Bui (1)
- Ajali (5)
- Ali Kiba (5)
- Aunty Ezekiel (8)
- Baby Madaha (2)
- Batuli (2)
- Bob Junior (2)
- Bongo Flavor (35)
- Bongo Movie (46)
- Chriss Brown (1)
- Dawa za Kulevya (2)
- Diamond Platnumz (47)
- Drake (1)
- Dully Sykes (1)
- Elizabeth Michael (3)
- Escrow (9)
- featured (24)
- Fumanizi (11)
- Gardner (1)
- Geor Davie (1)
- Global Publishers. (18)
- Habari Picha (78)
- Habari za Kimataifa (209)
- Habari za Kitaifa (216)
- Halima Ally (1)
- Hamisa Mobeto (1)
- Huddah Monroe (1)
- Irene Uwoya (3)
- Jacqueline Wolper (4)
- Jamii Forums (79)
- Jokate (1)
- Kajala Masanja (5)
- Lady Jay Dee (6)
- Lilian Kamazima (1)
- Lulu (5)
- Magazeti na Picha (2)
- Mainda (1)
- Maisha (66)
- Malick Bandawe (2)
- Mapenzi (197)
- Maunda Zorro (1)
- Michezo na Burudani (72)
- Miss Tanzania (9)
- Mpira (6)
- Mr Blue (1)
- Muziki (12)
- Mwana Fa (1)
- Ney wa Mitego (1)
- Nyota wa Bongo (120)
- Ommy Dimpoz (9)
- Original Comedy (1)
- P Square (1)
- Picha za Utupu (46)
- Ray C (1)
- Rihanna (1)
- Rose Ndauka (2)
- Sabby Angel (2)
- Shetta (1)
- Shilole (3)
- Sitti Mtemvu (6)
- Udaku Magazetini (37)
- Udaku wa Africa (234)
- Udaku wa Tanzania (253)
- Udaku wa TZ na Africa (21)
- Udaku wa Ulaya (189)
- Ufuska (152)
- Uhuru Kenyatta (1)
- Ujana (35)
- Urembo (11)
- Uswazi. (32)
- Video (9)
- Wasanii (54)
- Wema Sepetu (36)
- Zari The Boss Lady (29)
- Zitto Kabwe (1)
Feature
Udaku wa Africa
Habari za Kimataifa
Habari za Kitaifa
Mapenzi
Michezo na Burudani
Udaku wa Ulaya
MC AMKERA WAZIRI FANELA KATIKA SHEREHE YA KUMPONGEZA LUIZA MBUTU
Habari za Kitaifa, Michezo na Burudani, Muziki, Udaku wa Tanzania
KWELI BODY GUARD WA DIAMOND NI NOUMAH, ANGALIA MBWEMBWE ZAKE HAPA.
Bongo Flavor, Diamond Platnumz, Michezo na Burudani
Kwa tetesi tunazosikia huyu jamaa ndo mlinzi binafsi wa wasanii wa hapa Tanzania anayelipwa ghali zaidi. kuanzia mshahara na marurupu mengine kiasi kwamba anaishi kama majuu vile. Si haba kama shukrani yake kuendelea kukitunza kibarua chake kwa kuji keep well fit kila mara.
Angalia baadhi ya picha zake hapo chini ikiwa kikazi zaidi:-
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
MIAKA 10 YA MUZIKI KWA D'BANJ, ASINDIKIZWA NA AMBER ROSE.
Michezo na Burudani, Udaku wa Africa
NICK MBISH ATANGAZA KUACHA MUZIKI
Bongo Flavor, Michezo na Burudani, Nyota wa Bongo
Rapper Nikki Mbishi leo ametangaza kuwa ameacha muziki.
Rapper huyo ameelezea uamuzi wake wa kuachana na muziki kutokana na kutokunufaika chochote na kwamba hawezi kuendelea kuwa mtumwa mwa kiwanda cha muziki.
“I’m glad to say I’ve officially decided to quit music….Wishing all the best to the slaves and victims of Music industry,” ametweet rappe huyo. “Nitaziachia tracks zangu zote ambazo hazijatoka for free then SITOINGIA TENA STUDIO kufanya wimbo(MUZIKI BASI).”
“The Industry is designed to frustrate the cats with high degrees of talents and intelligence. Ngwea,Langa,Geez mlale pema wanangu. I will remain as a music fan…and u guys need to find me some hip hop heads to listen to…asanteni,” ameongeza.
“Bora kuwa JAMBAZI kuliko MWANAMUZIKI. Tusije kushikiana bunduki bure maana milango ya kutoka kimaisha ni mingi na muziki ni burudani na biashara sio vita. Industry full of stupid and Illiterate but rich and famous. Mpaka lini tutauza UNGA kwa kivuli cha kuwa WASANII?”
P SQUARE, WAMPOTEZA BABA YAO
Habari za Kimataifa, Michezo na Burudani, P Square, Udaku wa Africa
tovuyi ya www.Naij.com imesema kuwa Mr.Okoye alikua akisumbuliwa na maumivu ya Goti baada ya kufanyiwa upasuaji ingawa hali iliripotiwa kuendelea vizuri.
MKALI WA KUCHEZA NA MAPIKIPIKI TOKA SOUTH ATUA DAR
MWANAMICHEZO ambaye anacheza kwa kutumia pikipiki Bian Capper kutoka nchini Afrika kusini ametoa wito kwa watanzania kucheza mchezo huo ambao mbali ya kufurahisha pia unatumia akili na kukufanya uwe mkakamavu wakati wote.
Akizungumza jana kabla kuonesha umahiri huo mchezaji wa pikipiki ambaye ni raia wa Afrika Kusini anayefanya ziara katika nchi za Afrika kwa udhamini wa kinywaji cha Redbull atakuwa nchini kwa ziara za ya maonesho ya kuonesha namna ya kucheza na pikipiki kwa siku tatu.
Onyesho la kwanza lilianza jana kwenye viwanja vya Coco beach , leo Jumapili atakuwa Mlimani City na kesho Jumatatu atakuwa katika eneo la Ubungo Tanesco ambako litakuwa onyesho lake la mwisho.
Capper amesema kwamba amefurahia kuweza kufika nchini pia tayari ameshafanya maonyesho yake katika nchi za Kenya na Uganda.
Wakati huohuo Rais wa Tanzania Motorcross Acrobatic Club Blagina Mwihava alisema kwamba wamemleta mwanamuchezo huyo ambaye wana imani kubwa ataleta msisimko mkubwa kwa vijana wa kitanzania kuweza kupata hamasa ya kucheza mchezo huo wenye mvuto.
“Hii itakuwa ni shoo kwa watanzania ili waweze kuvutika kucheza mcheo huu wa aina yake .
Ziara ya mchezaji huyo imeratibiwa na Kampuni ya Mohans inayosambaza kinywaji cha Redbull nchini maonesho hayo yote ni ya wazi.
KWA NINI MAKAMUZI YA MWANA FA JMOSI YALIFANA HUKO TANGA
RONALDO AZIDI KUKIMBIZA, ASHIKA NAMBA MOJA KATIKA ORODHA YA WACHEZAJI NA WENZA WANAOVUTIA ZAIDI, ANGALIA 9 WALIOSALIA.
Michezo na Burudani, Udaku wa Ulaya
Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo na mpenzi wake ambaye pia ni mwanamitindo, Irina Shayk, wamechaguliwa kuwa kapo yenye mvuto zaidi miongoni mwa wachezaji wa mpira wa miguu na wap#nzi wao, hii ikiwa ni mbele ya David na Victoria Beckham.
Ronaldo na patna wake walipata 18% ya kura zote kwenye utafiti uliofanywa na mtandao wa BetNegotiator.com.
Shuka chini upate listi kamili na picha zao....
Top 10 ya kapo zenye mvuto kwa wachezaji soka
1. Cristiano Ronaldo and Irina Shayk – 18 %
2. David Beckham and Victoria Beckham - 14 %
3. Lionel Messi and Antonella Roccuzzo – 11 %
4. Steven Gerrard and Alex Gerrard – 9 %
5. Gerard Pique and Shakira – 8 %
6. Frank Lampard and Christine Bleakley – 7 %
7. Iker Casillas and Sara Carbonero – 6 %
8. Wayne Bridge and Frankie Sandford – 5 %
9. Gareth Bale and Emma Rhys-Jones – 4 %
10. Peter Crouch and Abbey Clancy – 3 %
ETI HIZI NDO NYWELE ZA ASILI ZA NICK MINAJ, MCHEKI HAPA.
SNURA ALIA NA WABAYA WAKE, WANAOTAMANI AANGUKE.
Michezo na Burudani, Muziki, Udaku wa Tanzania
DR CHENI APANIA KUIRUDISHA KAOLE SANAA GROUP.
Michezo na Burudani, Udaku wa Tanzania
BAADA YA KUJIINGIZA KIAINA NA SIASA, WANA BONGO MOVIES WAMTAKA STEVE NYERERE AJIUZULU.
Michezo na Burudani, Udaku wa Tanzania
MCD WA TWANGA PEPETA AFARIKI DUNIA
Habari za Kitaifa, Michezo na Burudani
Popular Posts
-
Baada tu ya chumba cha binti huyu ambaye ni mtoto wa mjomba tunayeishi nae hapo nyumbani kuna chumba cha kujisomea ambacho mara nyingi huwa ...
-
Mkali wa Bongo fleva, Nasibu Abdul au maarufu kwa jina la Diamond akipozi. ANAITWA Nasibu Abdul au maarufu kwa jina la Diamond. Alizaliwa s...
-
Hebu jionee mwenyewe picha ya bi mkubwa huyo, udenda unamtoka akilazimisha kutoa "nanii" ya huyo mvulana ili "ampige mambo ye...
-
--> --> Kama anavyoonekana katika picha mwanadada Rihanna amekutwa akijiacha alipokwenda kula vacation huko miami, staa huyo mwen...
-
Wale Wadada wanaongoza kwa katibia kao ka kucheza huku wakiwa nusu uchi au uchi kabisa, maana hujifunika kamtandio na wakati mwing...
-
Whitney Port Anne Hathaway Emma Watson Chloe Molertz Gwyneth Paltrow Sienna Miller Jennifer Lawrence Kate Hudson Kate Moss Millie Mackinto...
-
Muigizaji wa filamu Flora Mvungi ambaye ni mke wa H.Baba, amedai a kuna watu waliofika nyumbani kwake zaidi ya mara tatu wakimtaka mfanyak...
-
Mara baada ya kutua Mwanza hii ndiyo picha ya kwanza aliyopost Martin Kadinda ikimuonesha Diamond Na Wema Sepetu wakipigana Denda mbele za w...
-
Aibu! Mrembo anayeuza nyago (video queen) kwenye video kibao za wasanii wa Bongo Fleva, Tunda Sabasitana na mchekeshaji maarufu Bongo, Sta...
-
Inasadikika Chief Kiumbe yupo lupango Dodoma kwa makosa mawili moja kukutwa na nyaraka za bunge isivyo halali, mbili kutumia vijana kutish...