Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » » CHIEF KIUMBE" ADAKWA NA POLISI MKOANI DODOMA



Inasadikika Chief Kiumbe yupo lupango Dodoma kwa makosa mawili moja kukutwa na nyaraka za bunge isivyo halali, mbili kutumia vijana kutishia wajumbe wa kamati ya PAC kwa maelekezo ya Waziri wa Nishati na madini Bw Pro.f Muhongo.

Ni bahati mbaya ila ukweli ni kwamba Muhongo, Werema, na Maswi ni maswahiba wa kutoka sehemu moja ya nchi na hivyo kujikuta wakitumia vijana wao wa kazi kudhibiti anguko lao.

Wizi huu ni wa aibu sana kwa taaluma zao na watu wao. Inasadikika chief Kiumbe aliwahi ama bado ni jambazi hasa pale ambapo rafiki yake ambaye siku zote chief anamkumbuka sana aliuwawa kwa risasi kwenye tukio la ujambazi.

Ni ripoti kutoka Dodoma ni mimi

Chief Mkwawa- mpaka hapo baadaye kwenye saga la ESCROW- hakuna kuzuia mafuriko kwa viganja.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga