Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

MAKUBWA: MDADA AWEKA PICHA ZAKE AKIWA NA BIKINI TU

AIBU KUBWA MIJIMAMA YABAMBWA IKIONESHA VITENDO VYA USAGAJI LAIUVU


\

Queen Latifa akiwa na wenzake wengine wakionesha vitendo vya usagaji aibu kubwa jamani, wapi tunaelekea

JAMANI HIZI INY"E ZA AKINA DADA NI SASA NI BALAA

Anaitwa Danielle Okeke ni muigizaji kutoka Nigeria

Wafanya "Mapnz*" juu ya Makaburi (Picha za wakubwa, Tahadhari)

Baada ya Kuandamwa na skendo ya bustani ya ngono iliyoiweka Kenya katika ramani ya nchi chafu katika sekta holela duniani, mambo yamerejea tena kwani wauza sukari hao na wateja wamebuni sehemu nyingine ya kupeana utamu huo.





 eneo jipya ni katika makaburi ya nyeri, kwa wenyeji wa pande hizo nadhani hili si la kushangaza.



"Sitakubali Kudhalilishwa katika Mitandao ya Kijamii" Eniola

Muigizaji Eniola Badmus amesema kwamba hayupo tayari kumvumilia mtu yoyote atakae mdhalilisha katika mitandao ya kijamii kwa sababu ya umbo lake. anajua nini anachokifanya na anaishi atakavyo.

Mama alivyonishawishi kuwa "KAHABA"

-->
Curse her or lampoon her, Kaffy, the dance queen is not moved, neither is she going to deny it that, she was once encouraged into prostitution by her mother. When they say wonders shall never end, some people may not readily understand until they hear some life testimonies that leave the mouth agape, such is the candid disclosure of popular dancer and musician Kafayat popularly known as Kaffy.

She dropped the bombshell about how her mother nearly made her go into prostitution so as to make ends meet. The talented dancer revealed this while she was addressing a group of youths at a programme held not too long ago.

She divulged this while encouraging the young minds at the event to learn how to read between the lines so that they won’t be guided because sometimes, the people that they look up to may be the one that will lead them astray.

The talented mother of two, also disclosed that she had to pay her way through school as she did not attend the conventional school that every other child attends because she had to wait for the regular school goers to close from school so that she could borrow their books and cover up but luck smiled on her when she made a record for herself and country at Amstel Malta World Marathon Dance, by breaking the existing record for the Guinness Book of World Records through dance. And ever since, she has not relented on her oars.

Big Brother Africa 8 imerudi tena


Haya limerudi tene lile shindano la kuwaacha hoi na kuwaacha uchi washiriki wengi katika jumba la Big Brother, ambapo safari kutakuwa na washindani 28, imependekezwa iwe mwanamke mmoja na mwanaume mmoja kutoka nchi 14 za washiriki. Bado kuna mjadala kuhusu kuwepo wasanii na watu maarufu kutoka nchi mbali mbali za Africa zikiwemo:-
Uganda- Desire Luzinda/Jackie. O (Obsessions)
South Africa- Khanyi Mbau
Ghana- Vera sidika/Sarkodie
Nigeria- Inyanya/Dammy Krane
Kenya- Shaffie weru/Oj Oballa
Zimbabwe- Makosi Musambasi etc
Big Brother Africa yatarajiwa Kuanza Mwezi wa Tano tarehe 26.

Raisi Atoa Masaa 24 kwa "Mashoga" Kuondoka Nchini

--> Uamuzi huo ummfanya Raisi wa Gambia Yahya Jammeh kuonekana ana sera kali zaidi ya zile za Iran. Amesema ya kwamba Nchi yake ina misingi ya maadili na imani hivyo hawawezi kuvumilia tabia za kishenzi zikiendelea nchini humo. mwezi wa pili mwaka huu raisi huyo aliwafanya wenye tabia kama hiyo kukimbia nchi jirani na kuomba hifadhi pale alipowafunga wanandoa wawili wa jinsia moja.

Wauza Miili yao na wateja wao wakamatwa Ndani ya Chumba Kimoja

Kwa tukio hili, vijana wa mjini wanasema; kimenuka! Hivi karibuni wanawake watano ambao majina yao hayakuweza kufahamika mara moja walinaswa usiku mnene wakifanya mapenzi na wanaume wawili kwenye chumba kimoja kilichopo Mwananyamala jijini Dar.

Watu hao walinaswa katika oparesheni kabambe iliyoongozwa na Kamanda Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Kinondoni, OCD Wilbroad Mtafungwa pamoja na Ofisa wa Oparesheni, Inspekta Jacob Swai.
Katika zoezi hilo, polisi walivamia kambi kuu inayotajwa kusheheni wanawake wanaojiuza iliyopo Mwananyamala A ambapo ‘wauza sukari’ hao hutumia vyumba vyao kufanya ufuska huo.

-->


Polisi hao walipofika kwenye chumba kimoja kilichopo eneo hilo, walikumbana na upinzani mkubwa wa watu waliokuwa ndani na baada ya kufanikiwa kuufungua mlango, waliwakuta wanawake watano na wanaume wawili wakiwa kimahaba.
Mbali na hao, polisi walifanikiwa kuwanasa wanawake wengine kwenye vyumba vyao na baadhi mtaani wakijiuza ambapo walipewa kibano cha hali ya juu.
Imeelezwa kuwa, wanawake hao wamekuwa na tabia ya kujiuza na wakati mwingine hukubali kufanya mapenzi na wanaume zaidi ya mmoja, hali ambayo ni hatari sana.
Mkazi mmoja wa eneo hilo, Husein Juma alisema: “Kwanza tunampongeza Kamanda Mtafungwa kwa operesheni hii, wanawake hawa wamekuwa ni tatizo kwani wamekuwa wakijiuza waziwazi na kutupa ovyo kondomu.
 Naye Inspekta Swai alisema wamekuwa wakipokea malalamiko kutoka kwa wananchi wa eneo hilo wakaona ni vyema kuyafanyia kazi ambapo waliwakamata zaidi ya watu 35, wanawake kwa wanaume wanaohusika.

Filamu ya Ngono ya wanaume ya "Kinajeria" yavuja

--> Bado lile jinamizi la kuichafua tasnia ya filamu nchini Nigeria linawaandama, maana baada ya maumivu ya siku chache zilizopita kufuatia kuvuja kwa picha za Ngono za baadhi ya wasanii maarufu wa kike nchini humo kazi imehamia kwa wanaume sasa, nao wamerekodi mkanda wao na upo mtandaoni, unaitwa Pregnant Hawkers. Videos ipo You tube.

"VIDEO" ya wafanya Ng0n0 waliogandiana Kenya

-->
Leo katika kupitia laptop ya rafiki yangu nimekuta video hii, nikaona kwa wale ambao hawakuwahi kuiona inatoa funzo na tahadhari ya kutosha kuhusu suala zima la zinaa na hasa kutumbea na wake za watu, sina nia ya kuwatamanisha au kuwadhalilisha hawa wahusika kwani kiukweli wamejidhalilisha wenyewe.

2face Aoa Dubai Jana

Mwanamuziki 2face kutoka nchini Nigeria jana Jumamosi ya Tarehe 23/03 ameuaga U single boy baada ya kufunga pingu za maisha na mwanadada Annie Macaulay. Katika kuhakikisha Mpango mzima unakwenda vizuri, Milionea wa Kinageria ambaye anaishi Marekani Ayri Emami, amechangia Shilingi milioni 20 za Nigeria.

Timbulo na Skendo ya Madawa ya Kulevya

< div class="separator" style="border-bottom: medium none; border-left: medium none; border-right: medium none; border-top: medium none; clear: both; text-align: center;">

Habari ambazo bado hazijathibitishwa zinaeleza ya kuwa Msanii Ali Timbulo, maarufu kama Timbulo amekamatwa akiwa na mzigo wa madawa ya kulevya Nchini Burundi, Timbulo ambaye alikwenda nchini humo kupiga show kutokana na maombi ya wapenzi wake wa nchini humo.

VIDEO ya "KIMAPENZI" Alingo ya P Squire yapigwa Marufuku

Video ya nyimbo mpya ya Vijana wa kundi la P squire, "ALINGO"  imepigwa marufuku nchini Nigeria na NBC Kutokana na kile kilichosemwa inahamasisha ngono nma wanawake wa humo ndani wamekaa kihasa hasara mno. Iangalie Video hiyo hapo chini. -->

Nyoka atoka Sehemu za Siri za Mwanamke Baada ya" Kufanyiwa Maombi"

-->
Hawa wachawi na teknolojia yao ya giza katika karne hii ya sayansi na teknolojia wanazidi kutuonesha maajabu yao. Baada ya mwanamke mmoja kusumbuliwa na maumivu ya tumbo kwa muda mrefu ndipo alipoaamua kwenda kwa mchungaji mmoja kufanyiwa maombi huenda Mungu akasikia kilio chake, kioja kilitokea hapo ambapo mwanamke huyo alipohisi kuna kitu kina mtoka sehemu za siri na ndipo nyoa huyo mwenye urefu wa nchi 20 alipotoka katika ikulu zake.Baada ya tukio hilo mwanadad huyo alisema kuwa alikuwa na tabia ya kulalal na wanaume tofauti tofauti ambapo kila mwanaume atayekubali kulala nae hupata ugonjwa wa ajabu ambao hautibiki hospitali, kifupi alikuwa akiwachezea.

Unenguaji wa Beverly Hautuogopeshi - Girls la Musica

Beverly Sibanda
Girls la Musica
Makundi mawili mahisimu ya wanenguaji nchini Zimbabwe, hapa namzungumzia Berverly Sibanda na kundi lake la " Dancing Angels" na mahasimu wao Girls la musica, wamefunguka juu ya upinzani uliopo baina yao. Katika mahojiano yao kundi la Girls la Musica limesema kwamba hawatishiwi na Bev na kundi lake zaidi zaidi wanawaona kama watu wasiokuwa na maadili.

Angalia "Fumanizi" Kimada afumwa na Mwenye Mume

-->
Mwanamke mmoja nchini South Africa ameuanza Mwaka 2013 vibaya baada ya kupokea kichapo cha haja na kuvuliwa nguo hadharani. Tukio hilo limetokea usiku wa mkesha wa mwaka mpya ambapo mke alimwambia mumewe kuwa anakwenda kanisani kwa ajili ya mkesha huo na ndipo njemba hiyo ikautumia mwanya huo kumualika nyumbani kimada wake, baada ya kula raha zao walipitiwa na usingizi na ndipo mke wa halali aliporudi nyumbani na kumjazia watu mumewe huku akimkwida kimada huyo na kumsaula nguo!

VIDEO -"Ukahaba" Haiti NDIO Kiinua mgongo

Huku Tanzania tunajivunia kwamba Kilimo ndio Uti wa Mgongo wetu, lakini sehemu nyingine Duniani, Ukahaba na Kujiuza ndio shughuli ya kujiingizia kipato inayotegemewa na sehemu kubwa ya wanajamii. Angalia Video hiyo.

Cossy apiga Picha za Utupu

-->

Kutokana na kisanga hicho, Muigizaji kutoka nchini Nigeria, Mwanadada Cossy O. Amewaomba radhi mashabiki wake na jamii nzima kwa ujumla kutokana na kuzagaa kwa picha zake za kimitego mtandaoni. Kupitia akaunti yake ya twitter amesema kwamba hakutarajia kama mambo yangekuwa hivyo. -->

Demu wa Iyanya Anapobananishwa na Njemba Nyingine

Sura ya Mwanadada Yvone Nelson si Ngeni Miongoni mwetu hasa kwa Scandal na Mabalaa yake hususan kusumbuliwa na masuala ya mapenzi, sasa haijaeleweka Rasmi ndo hivyo tena na Msanii mwenzange Iyanya au walikuwa wanachangamsha damu na Majid Michael.
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga