tovuyi ya www.Naij.com imesema kuwa Mr.Okoye alikua akisumbuliwa na maumivu ya Goti baada ya kufanyiwa upasuaji ingawa hali iliripotiwa kuendelea vizuri.
Latest
Tafuta Hapa
Kali za Facebook
Labels
- Agness Masogange (5)
- Aisha Bui (1)
- Ajali (5)
- Ali Kiba (5)
- Aunty Ezekiel (8)
- Baby Madaha (2)
- Batuli (2)
- Bob Junior (2)
- Bongo Flavor (35)
- Bongo Movie (46)
- Chriss Brown (1)
- Dawa za Kulevya (2)
- Diamond Platnumz (47)
- Drake (1)
- Dully Sykes (1)
- Elizabeth Michael (3)
- Escrow (9)
- featured (24)
- Fumanizi (11)
- Gardner (1)
- Geor Davie (1)
- Global Publishers. (18)
- Habari Picha (78)
- Habari za Kimataifa (209)
- Habari za Kitaifa (216)
- Halima Ally (1)
- Hamisa Mobeto (1)
- Huddah Monroe (1)
- Irene Uwoya (3)
- Jacqueline Wolper (4)
- Jamii Forums (79)
- Jokate (1)
- Kajala Masanja (5)
- Lady Jay Dee (6)
- Lilian Kamazima (1)
- Lulu (5)
- Magazeti na Picha (2)
- Mainda (1)
- Maisha (66)
- Malick Bandawe (2)
- Mapenzi (197)
- Maunda Zorro (1)
- Michezo na Burudani (72)
- Miss Tanzania (9)
- Mpira (6)
- Mr Blue (1)
- Muziki (12)
- Mwana Fa (1)
- Ney wa Mitego (1)
- Nyota wa Bongo (120)
- Ommy Dimpoz (9)
- Original Comedy (1)
- P Square (1)
- Picha za Utupu (46)
- Ray C (1)
- Rihanna (1)
- Rose Ndauka (2)
- Sabby Angel (2)
- Shetta (1)
- Shilole (3)
- Sitti Mtemvu (6)
- Udaku Magazetini (37)
- Udaku wa Africa (234)
- Udaku wa Tanzania (253)
- Udaku wa TZ na Africa (21)
- Udaku wa Ulaya (189)
- Ufuska (152)
- Uhuru Kenyatta (1)
- Ujana (35)
- Urembo (11)
- Uswazi. (32)
- Video (9)
- Wasanii (54)
- Wema Sepetu (36)
- Zari The Boss Lady (29)
- Zitto Kabwe (1)
Feature
Udaku wa Africa
Habari za Kimataifa
Habari za Kitaifa
Mapenzi
Michezo na Burudani
Udaku wa Ulaya
WAISLAM NA WAYAHUDI NORWAY WAWEKA DUARA LA AMANI
Waislamu nchini Norway wakiweka mviringo wa kuwazunguka wayahudi ili kuonyesha amani kufuatia misururu ya mashambulizi inaowalenga raia hao.
Warsha hiyo ilipangwa na vijana wa kiislamu na inafanyika wiki chache baada ya kijana mmoja mzaliwa wa Denmark mwenye asili ya Kipalestina kuwaua watu wawili.
MARIAH CAREY AONESHA KUFURU KWA KUTUMIA MILIONI 41 ZA KI BONGO KUWA BURUDISHA MBWA.
Habari za Kimataifa, Udaku wa Ulaya
Utafanya nini ukipewa kiasi cha Milioni 41 za kitanzania muda huu? Bila shaka utapanga mengi na wazo kubwa likiwa kuuaga umasikini kwa muda kama hukuwahi kuzishika.
Lakini Mariah Carey ametumia kiasi hiki cha fedha kuwaburudisha mbwa wake kwa kuwapangishia chumba katika hotel ya kifahari, Bristol.
Kwa mujibu wa Daily Mail, Mariah amelipia kiasi cha zaidi ya $25,000 (zaidi ya Milioni 41) ili mbwa wake hao wapewe huduma daraja la kwanza katika hotel hiyo ya kifahari.
Mbwa hao wamepewa chumba chao pekee, wanahudumiwa chakula kizuri kinachopikwa na mpishi wao maalum katika hotel hiyo, watapelekwa kuogelea na kutembezwa katika maeneo mazuri
KIM KARDASHIAN HUJIKOJOLEA NDAN YA NGUO ZAKE
Habari za Kimataifa, Udaku wa Ulaya
Mke wa msanii Kanye West nchini Marekani mwana mitindo Kim Kardashian West amekiri kwamba licha ya kuvaa nguo zinazowavutia wengi ulimwenguni yeye hujikojolea katika suruali zake za ndani zinazozuia mikojo.
''Mimi hujikojolea kila mara,ni janga kwa kweli'',.huwa hazina mwanya wa kutosha kuniwezesha kukojoa alisema mwanamke huyo maarufu wakati wa mahojiano na jarida la L0ve ambapo baadaye alipigwa picha akiwa u#ch#i.
Hatahivyo dadaake Kardashian, Kourtney naye alijotokeza na kusema si Kim pekee anayejikojolea hata yeye pia.
Kim: ''Kourtney alikuwa amezidisha tabia hiyo''Ninakumbuka tulikuwa katika hoteli ya Delano mjini Miami -nadhani hawataturuhusu tena kwenda katika hoteli hiyo.
Je,ushawahi kujikojolea katika suruali yako ya ndani?.kwa maoni yako basi ingia katika mtandao wetu wa facebook
KANYE WEST AMEMDHALILISHA MKEWE KWA KUMSHIKA MATAK0 HADHARANI?! NI TABIA YAKE, ANGALIA PICHA ZAIDI...
Habari za Kimataifa, Udaku wa Ulaya
MWANAMKE ALIYEKAA NA MIMBA KWA MIAKA 5 APATA MTOTO
Habari za Kimataifa, Udaku wa Africa
An Abuja-based woman, Mrs Adenike
Kolawole, (pictured left) who was barren for
27 years, has reportedly given birth to a baby
boy after carrying a 5-year pregnancy. Is that
even possible
According to PM News, Mrs Adenike gave
birth on Sunday October 26th at Evangelical
Church of Cherubim and Seraphim located at
Pipeline Road, Mafon area, Ejigbo, Lagos
during the church’s Sunday service.
Narrating her story to PM news, Mrs
Kolawole said she suffered miscarriage in the
early period of her marriage and afterwards
found it difficult to conceive again.
She said she had sought medical help both
spiritual and orthodox but none provided
any remedy. She said she finally took in five
years ago but even in her pregnant state, she
was still having her menstrual cycle. She said
all through the years she was pregnant with
her baby boy, herself and her husband
(pictured above) suffered rejection from
family and friends “I was rejected by my
relations, my husband’s family who did not
give me the chance of bearing a child.
My only consolation was my faith in God,”
she said She said on the day she gave birth to
her son, she was in church for their Sunday
service when she noticed her water broke and
within minutes, her baby was out. Her
excited husband, Kayode said he did not
believe his wife was pregnant all these years
because he had waited in vain. He said he
was grateful to God for what he had done an
MCHAPAJI MWENYE VIDOLE 24 KUTOKA INDIA ASAKA AJIRA UINGEREZA
Mchapaji wa India Vijay Singh anaweza
kuchapa zaidi ya maneno 100 kwa dakika
kwa kutumia vidole vyake 12.
Lakini Vijay, ambaye pia ana vidole 12 vya
miguuni kutokana na dosari yake hiyo ya
kimaumbile, anasema hawezi kupata kazi
katika nchi yake aliyozaliwa sababu waajiri
wanataka tu wanawake wenye mvuto.
Sasa anapanga kuhamia Uingereza kwa lengo
la kutafuta ajira baada ya kuwa amekataliwa
maombi yake ya kazi zaidi ya 50.
Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka 48,
anayetokea Agra kaskazini mwa India,
alisema: "Wanataka wanawake wenye
mvuto, si wanaume wenye vidole 12."
Watu wenye dosari za kimaumbile
wanaonekana wenye bahati nchini India na
Vijay yuko kwenye hali nadra kutokana na
vidole vyake vya ziada kufanya kazi kama
kawaida.
Watu wengi wenye hali hiyo wana vipande
vichache vya tishu laini ambazo zinaweza
kuondolewa na mara chache huwa na
mfupa, lakini bila viungio.
Lakini licha ya kuwa na uwezo binafsi
'kwenye kompyuta' kutokana na zawadi
yake, hajaweza bado kupata kazi na sasa
anataka kusafiri kwenda Uingereza kwa
matumaini kutakuwa na kitu fulanu cha
kufanya, imeripotiwa.
Mchapaji mwenye kasi zaidi duniani ni
Michel Shestov. Anaweza kuchapa katika
lugha 27, na kuweza kufikia kasi ya herufi 17
kwa sekunde!
Shestov alisomea kuchapa katika jeshi la
Urusi, ambako alikuwa akichapa kwa hadi
saa nane kwa siku
WASAGAJI HAWA WAOANA BAADA YA KUWA NA MAHUSIANO KWA MIAKA 50
Habari za Kimataifa, Udaku wa Ulaya
Zaidi ya miongo saba baada ya kuanza
uhusiano wa kimap3nzi, Vivian Boyack na
Alice "Nonie" Dubes wamefunga ndoa.
Boyack, 91, na Dubes, 90, wal ifunga ndoa
rasmi Jumamosi iliyopita, limeripoti gazeti
la Quad City Times.
"Sherehe hii ilikuwa ifanyike siku nyingi
sana," amesema mchungaji Linda Hunsaker
wakati aki fungisha ndoa hiyo
iliyohudhuriwa na marafiki wachache na
baadhi ya wanafamilia wa maharusi.
Wawili hao walikutana katika mji
waliokulia wa Yale, Iowa, nchini Marekani.
Baadaye walihamia mji wa Davenport
mwaka 1947, Boyack akifanya kazi ya
ualimu, huku Dubes akifanya shughuli za
kihasibu.Dubes amesema wameishi maisha
mazuri pamoja, katika miaka yote hiyo na
wameweza kutembelea maji mbo yote 50 ya
Marekani, na ya Canada, na pia kutembelea
Uingereza mara mbili
SAKATA LA KUUMIA KWA MTOTO WA WHITNEY NA BOB BROWN, MCHUMBA WAKE MATATANI
Habari za Kimataifa, Udaku wa Ulaya
Habari ambazo Vijimambo imezipata, Bobbi
Kristina alikutwa na michubuko ambayo
bado haijajulikana imetokana na nini japo
bado Polisi wanaendelea na uchunguzi ikiwa
Nick Gordon na rafiki yake waliokuwepo
kwenye tukio wakiwa wamehojiwa na polisi
wa jimbo la Georgia.
Polisi inajaribu kutafuta saa moja kabla ya
Bobbi Kristina kukutwa bafuni ni nini
kilichokua kikiendelea kati ya hao wapenzi
wawili. Vijimambo imepata taarifa Max
Lomas rafiki ya wawili hao aliyemgundua
Bobbi Kristina akiwa ameanguka bafuni,
alifika nyumbani kwao majira ya saa 3
asubuhi na kuwa na Nick Gordon kwa muda
huo bila ya kumwona Bobbi Kristina huku
akiambiwa alikuwa chumbani.
Mida ya saa 4 asubuhi alifika fundi wa
kutengeneza waya za TV na alikuwa akihitaji
kuingia chumbani kurekebisha tatizo hilo
wakati huo Nick Gorgon alikua hajulikani
alipo ndipo Max Lomas alipochukua jukumu
la kumwingiza fundi huyo chumbani
kufanya marekebisho hayo na Max kumkuta
Bobbi Kristina akiwa bafuni ameanguka
huku kichwa chake kikiwa kimeinamia chini
na Max kupiga ukelele wa kuomba msaada
ndipo Nick Gordon alipotokea na kujaribu
kutoa huduma ya kwanza kwa Bobbi
Kristina.
Max Lomas alisema nyumba ya wawili hao
ilionekana kama imepigwa deki na kujaribu
kusafisha alama za damu iliyokuwepo
kwenye sakafu. Habari zingine zinasema
Polisi wanataka kumhoji tena Max Lomas
kwa mara ya pili ili kuendelea kupata
ushahidi wa kutosha kama wawili hao
walikwaruzana na kupigana kulikopelekea
Bobbi Kristina kuishia kuanguka bafuni na
kuzimia.
Nick Gordon na Bobbi Kristina
wameishakuwa na ugomvi wa mara kwa mara.
source. Vijimambo.
mara huko nyuma.
ANGALIA JEURI YA PESA YA WA ARAB, WALIPAMBA RANGE NA SARAFU ZA DHAHABU.
Habari za Kimataifa, Udaku wa Africa
Ama kweli binadamu hatupo sawa ktk dunia hii. while most of us tunaumiza kichwa kuwaza tutakula nini au vp tutajikwamua na ugumu huu wa maisha, wenzetu huko pande za falme za kiarabu wanaumiza vichwa ni jinsi gan watatumia mapesa waliyo nayo.
kwa kuonesha jeuri ya pesa wameamua kulipamba gari aina ya range rover kwa sarafu za dhahabu kiasi cha kulifanya gari hlo liongezeke thaman zaidi ya mara 5 ya kawaida.
cheki picha nyingine hapo chini:-
U BABA UNAMNUKIA JUSTIN TIMBERLAKE
Habari za Kimataifa, Udaku wa Ulaya
WALIOFARIKI KUTOKANA NA EBOLA NI 8,795 - WHO.
Global Publishers., Habari za Kimataifa
WANAJESHI 100 WAHUKMIWA KIFO KWA KUSHINDWA NA BOKO HARAM
Mahakama ya Kijeshi nchini Nigeria imewahukumu adhabu ya vifo wanajeshi wake 54 waliokataa kupambana na wapiganaji wa Kundi la Boko Haram.
Wanajeshi hao walikutwa na hatia ya uasi, kushambulia na uoga. Wanajeshi hao wanashutumiwa kukataa kupigana kurudisha miji mitatu iliyokuwa ikishikiliwa na Boko Haram mwezi Agosti.
Mwanasheria wa wanajeshi hao amesema wamehukumiwa vifo kwa kupigwa risasi na kikosi maalum huku wanajeshi wengine watano wakiachiwa.
Vikosi vya Kijeshi vya Nigeria vimedai kuzidiwa silaha na Boko Haram, kwa kuwa hawapatiwi silaha za kutosha kupambana na wanamgambo hao.
Boko Haram wanapambana kuunda himaya ya kiislamu kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
CHANZO: BBC
AL SHABAB WAMFANYA IGP KIMAIYO WA KENYA AJIUZULU
Habari za Kimataifa, Udaku wa Africa
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Kenya, David Kimaiyo ametangaza kustaafu leo kutokana na shinikizo dhidi yake ajiuzulu kwa kushindwa kukabiliana na usalama nchini humo.
Wakati huohuo Kenyatta amempendekeza Waziri Mkuu mpya wa usalama Joseph Nkaiseri kuchukua nafasi ya aliyekuwa Waziri wa Usalama wa nchi hiyo, Joseph Ole Lenku.
Rais Kenyatta alisema kuwa baada ya mazungumzo na Bwana Kimaiyo alikubali kustaafu majukumu yake hayo.
MUONEKANO WA YULE HOUSEGIRL MTESAJI BAADA YA KUPATA KIPIGO KWA BABA MTOTO
Picha hii imetolewa mitandaoni.
Huu ndio muonekano wa yule msichana wa kazi za ndani aliye tenda unyama wa kutaka kumuua mtoto wa bosi wake atimaye naye amepokea kipigo takatifu cha nusu kufa kutoka kwa wazazi wa uyo mtoto hii ni moja ya picha zilizo vuja ambazo wazazi wa mtoto family iyo walizificha.
Unaambiwa haya yote yasingejulikana kama Polisi isingemkamata baba mzazi wa mtoto huyu, yani baba alipoona ile video ndioakampiga Msichana huyu wa kazi ambae baada ya kipigo alikwenda kumshitaki baba wa mtoto Polisi.
P SQUARE, WAMPOTEZA BABA YAO
Habari za Kimataifa, Michezo na Burudani, P Square, Udaku wa Africa
tovuyi ya www.Naij.com imesema kuwa Mr.Okoye alikua akisumbuliwa na maumivu ya Goti baada ya kufanyiwa upasuaji ingawa hali iliripotiwa kuendelea vizuri.
MFUMO MPYA, WHATS APP YAVUNJA NDOA TAYARI...

Jamaa huyo ameona kama kitendo hicho ni dharau kubwa na hakuwa tayari kuendelea na ndoa hiyo ambayo imedumu kwa miaka miwili tangu ifungwe.
Popular Posts
-
Baada tu ya chumba cha binti huyu ambaye ni mtoto wa mjomba tunayeishi nae hapo nyumbani kuna chumba cha kujisomea ambacho mara nyingi huwa ...
-
Mkali wa Bongo fleva, Nasibu Abdul au maarufu kwa jina la Diamond akipozi. ANAITWA Nasibu Abdul au maarufu kwa jina la Diamond. Alizaliwa s...
-
Hebu jionee mwenyewe picha ya bi mkubwa huyo, udenda unamtoka akilazimisha kutoa "nanii" ya huyo mvulana ili "ampige mambo ye...
-
--> --> Kama anavyoonekana katika picha mwanadada Rihanna amekutwa akijiacha alipokwenda kula vacation huko miami, staa huyo mwen...
-
Wale Wadada wanaongoza kwa katibia kao ka kucheza huku wakiwa nusu uchi au uchi kabisa, maana hujifunika kamtandio na wakati mwing...
-
Whitney Port Anne Hathaway Emma Watson Chloe Molertz Gwyneth Paltrow Sienna Miller Jennifer Lawrence Kate Hudson Kate Moss Millie Mackinto...
-
Muigizaji wa filamu Flora Mvungi ambaye ni mke wa H.Baba, amedai a kuna watu waliofika nyumbani kwake zaidi ya mara tatu wakimtaka mfanyak...
-
Mara baada ya kutua Mwanza hii ndiyo picha ya kwanza aliyopost Martin Kadinda ikimuonesha Diamond Na Wema Sepetu wakipigana Denda mbele za w...
-
Aibu! Mrembo anayeuza nyago (video queen) kwenye video kibao za wasanii wa Bongo Fleva, Tunda Sabasitana na mchekeshaji maarufu Bongo, Sta...
-
Inasadikika Chief Kiumbe yupo lupango Dodoma kwa makosa mawili moja kukutwa na nyaraka za bunge isivyo halali, mbili kutumia vijana kutish...