Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

KIDUME CHATUMIA ZAIDI YA MIL 210 KUJIFANANISHA NA MADONA

 
Watu wanawapenda mastaa, wapo wanaowapenda mpaka wanatamani wafanane nao, mara nyingi tumekutana na hizi story za watu ambao wamekuwa wakifanya majaribio ya kujibadilisha muonekano, maumbile yani ili tu afanane na staa wake anayempenda.

Jordan James alitumia dola 150,000 (zaidi ya mil 270/-)  ili kujibadilisha afanane na Kim Kardashian, safari hii ni Adam Guerra ambaye yeye jitihada zake alikuwa akizifanya ili afanane na Madonna.
Pesa aliyotumia ni paundi 75,000/- (sawa na mil. 210/-) na kutokana na ‘ukarabati’ ambao anataka kuendelea kuufanya kwenye mwili wake mpaka zoezi likamilike kiasi cha pesa kitakuwa kimefikia paundi 100,000/-
Adam anasema anavutiwa sana na Madonna ndiyo maana anafanya kila kitu ili afanane naye.
Madonna
Madonna
“Nimewahi kupanda jukwaani nikamuiga Madonna.. nilipata mashabiki wengi, nimekuwa nikivutiwa naye kwa kila kitu, nimefanya maamuzi yangu binafsi kwa kutumia hela zangu ili nifanane naye kutokana na map3nzi yangu kwake, pia nimepanga kufanya ziara za kimataifa ili kuwadhihirishia watu jinsi gani navutiwa naye“-Guerra

WAISLAM NA WAYAHUDI NORWAY WAWEKA DUARA LA AMANI


Waislamu nchini Norway wakiweka mviringo wa kuwazunguka wayahudi ili kuonyesha amani kufuatia misururu ya mashambulizi inaowalenga raia hao.
Zaidi ya watu 1000 wengi wao wakiwa waislamu wameunda mviringo na kulizunguka sinagogi nchini Norway kuonyesha umoja wao kufuatia mashambulizi kadha yaliyowalenga wayahudi barani Ulaya.
Wakati waumini wa kiyahudi walipokuwa wakitoka ndani ya sinagogi katika mji mkuu wa Norway Oslo kulikuwa na shangwe wakati vijana wa kiislamu walipowazingira kama ishara ya amani.
Warsha hiyo ilipangwa na vijana wa kiislamu na inafanyika wiki chache baada ya kijana mmoja mzaliwa wa Denmark mwenye asili ya Kipalestina kuwaua watu wawili.
(Chanzo: BBC)

MARIAH CAREY AONESHA KUFURU KWA KUTUMIA MILIONI 41 ZA KI BONGO KUWA BURUDISHA MBWA.




Utafanya nini ukipewa kiasi cha Milioni 41 za kitanzania muda huu? Bila shaka utapanga mengi na wazo kubwa likiwa kuuaga umasikini kwa muda kama hukuwahi kuzishika.
Lakini Mariah Carey ametumia kiasi hiki cha fedha kuwaburudisha mbwa wake kwa kuwapangishia chumba katika hotel ya kifahari, Bristol.
Kwa mujibu wa Daily Mail, Mariah amelipia kiasi cha zaidi ya $25,000 (zaidi ya Milioni 41) ili mbwa wake hao wapewe huduma daraja la kwanza katika hotel hiyo ya kifahari.


Mbwa hao wamepewa chumba chao pekee, wanahudumiwa chakula kizuri kinachopikwa na mpishi wao maalum katika hotel hiyo, watapelekwa kuogelea na kutembezwa katika maeneo mazuri

KIM KARDASHIAN HUJIKOJOLEA NDAN YA NGUO ZAKE


Mke wa msanii Kanye West nchini Marekani mwana mitindo Kim Kardashian West amekiri kwamba licha ya kuvaa nguo zinazowavutia wengi ulimwenguni yeye hujikojolea katika suruali zake za ndani zinazozuia mikojo.
''Mimi hujikojolea kila mara,ni janga kwa kweli'',.huwa hazina mwanya wa kutosha kuniwezesha kukojoa alisema mwanamke huyo maarufu wakati wa mahojiano na jarida la L0ve ambapo baadaye alipigwa picha akiwa u#ch#i.
Hatahivyo dadaake Kardashian, Kourtney naye alijotokeza na kusema si Kim pekee anayejikojolea hata yeye pia.


Kim: ''Kourtney alikuwa amezidisha tabia hiyo''Ninakumbuka tulikuwa katika hoteli ya Delano mjini Miami -nadhani hawataturuhusu tena kwenda katika hoteli hiyo.

Je,ushawahi kujikojolea katika suruali yako ya ndani?.kwa maoni yako basi ingia katika mtandao wetu wa facebook

KANYE WEST AMEMDHALILISHA MKEWE KWA KUMSHIKA MATAK0 HADHARANI?! NI TABIA YAKE, ANGALIA PICHA ZAIDI...


Kanye West na mke wake Kim Kardashian wameteka vichwa vya habari baada ya tuzo za grammy kwa kuonekana wakipeana busu huku mkono wa Kanye ukiwa kwenye makalio ya Kim, hii ni picha moja kutoka kwenye hizi picha ambazo zimeonekana kuongelewa zaidi kwenye mitandao baada ya tuzo za grammy zilizofanyika jumapili iliyopita.

MWANAMKE ALIYEKAA NA MIMBA KWA MIAKA 5 APATA MTOTO


An Abuja-based woman, Mrs Adenike
Kolawole, (pictured left) who was barren for
27 years, has reportedly given birth to a baby
boy after carrying a 5-year pregnancy. Is that
even possible
According to PM News, Mrs Adenike gave
birth on Sunday October 26th at Evangelical
Church of Cherubim and Seraphim located at
Pipeline Road, Mafon area, Ejigbo, Lagos
during the church’s Sunday service.
Narrating her story to PM news, Mrs
Kolawole said she suffered miscarriage in the
early period of her marriage and afterwards
found it difficult to conceive again.
She said she had sought medical help both
spiritual and orthodox but none provided
any remedy. She said she finally took in five
years ago but even in her pregnant state, she
was still having her menstrual cycle. She said
all through the years she was pregnant with
her baby boy, herself and her husband
(pictured above) suffered rejection from
family and friends “I was rejected by my
relations, my husband’s family who did not
give me the chance of bearing a child.
My only consolation was my faith in God,”
she said She said on the day she gave birth to
her son, she was in church for their Sunday
service when she noticed her water broke and
within minutes, her baby was out. Her
excited husband, Kayode said he did not
believe his wife was pregnant all these years
because he had waited in vain. He said he
was grateful to God for what he had done an

MCHAPAJI MWENYE VIDOLE 24 KUTOKA INDIA ASAKA AJIRA UINGEREZA


Mchapaji wa India Vijay Singh anaweza
kuchapa zaidi ya maneno 100 kwa dakika
kwa kutumia vidole vyake 12.
Lakini Vijay, ambaye pia ana vidole 12 vya
miguuni kutokana na dosari yake hiyo ya
kimaumbile, anasema hawezi kupata kazi
katika nchi yake aliyozaliwa sababu waajiri
wanataka tu wanawake wenye mvuto.
Sasa anapanga kuhamia Uingereza kwa lengo
la kutafuta ajira baada ya kuwa amekataliwa
maombi yake ya kazi zaidi ya 50.
Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka 48,
anayetokea Agra kaskazini mwa India,
alisema: "Wanataka wanawake wenye
mvuto, si wanaume wenye vidole 12."


Watu wenye dosari za kimaumbile
wanaonekana wenye bahati nchini India na
Vijay yuko kwenye hali nadra kutokana na
vidole vyake vya ziada kufanya kazi kama
kawaida.
Watu wengi wenye hali hiyo wana vipande
vichache vya tishu laini ambazo zinaweza
kuondolewa na mara chache huwa na
mfupa, lakini bila viungio.
Lakini licha ya kuwa na uwezo binafsi
'kwenye kompyuta' kutokana na zawadi
yake, hajaweza bado kupata kazi na sasa
anataka kusafiri kwenda Uingereza kwa
matumaini kutakuwa na kitu fulanu cha
kufanya, imeripotiwa.
Mchapaji mwenye kasi zaidi duniani ni
Michel Shestov. Anaweza kuchapa katika
lugha 27, na kuweza kufikia kasi ya herufi 17
kwa sekunde!
Shestov alisomea kuchapa katika jeshi la
Urusi, ambako alikuwa akichapa kwa hadi
saa nane kwa siku



VIJANA NCHINI ZIMBABWE WAPATA STYLE MPYA YA KUCHEZA KAMA MUGABE ALIVYODONDOKA


Tangu Rais Mugabe ateleze na kuanguka last week, raia wake watukutu wamemtungia style ya kucheza. wenyewe wanaiita the Mugabeing.... Hawana adabu.

WASAGAJI HAWA WAOANA BAADA YA KUWA NA MAHUSIANO KWA MIAKA 50


Zaidi ya miongo saba baada ya kuanza
uhusiano wa kimap3nzi, Vivian Boyack na
Alice "Nonie" Dubes wamefunga ndoa.
Boyack, 91, na Dubes, 90, wal ifunga ndoa
rasmi Jumamosi iliyopita, limeripoti gazeti
la Quad City Times.
"Sherehe hii ilikuwa ifanyike siku nyingi
sana," amesema mchungaji Linda Hunsaker
wakati aki fungisha ndoa hiyo
iliyohudhuriwa na marafiki wachache na
baadhi ya wanafamilia wa maharusi.
Wawili hao walikutana katika mji
waliokulia wa Yale, Iowa, nchini Marekani.
Baadaye walihamia mji wa Davenport
mwaka 1947, Boyack akifanya kazi ya
ualimu, huku Dubes akifanya shughuli za
kihasibu.Dubes amesema wameishi maisha
mazuri pamoja, katika miaka yote hiyo na
wameweza kutembelea maji mbo yote 50 ya
Marekani, na ya Canada, na pia kutembelea
Uingereza mara mbili


SAKATA LA KUUMIA KWA MTOTO WA WHITNEY NA BOB BROWN, MCHUMBA WAKE MATATANI



Habari ambazo Vijimambo imezipata, Bobbi
Kristina alikutwa na michubuko ambayo
bado haijajulikana imetokana na nini japo
bado Polisi wanaendelea na uchunguzi ikiwa
Nick Gordon na rafiki yake waliokuwepo
kwenye tukio wakiwa wamehojiwa na polisi
wa jimbo la Georgia.
Polisi inajaribu kutafuta saa moja kabla ya
Bobbi Kristina kukutwa bafuni ni nini
kilichokua kikiendelea kati ya hao wapenzi
wawili. Vijimambo imepata taarifa Max
Lomas rafiki ya wawili hao aliyemgundua
Bobbi Kristina akiwa ameanguka bafuni,
alifika nyumbani kwao majira ya saa 3
asubuhi na kuwa na Nick Gordon kwa muda
huo bila ya kumwona Bobbi Kristina huku
akiambiwa alikuwa chumbani.
Mida ya saa 4 asubuhi alifika fundi wa
kutengeneza waya za TV na alikuwa akihitaji
kuingia chumbani kurekebisha tatizo hilo
wakati huo Nick Gorgon alikua hajulikani
alipo ndipo Max Lomas alipochukua jukumu
la kumwingiza fundi huyo chumbani
kufanya marekebisho hayo na Max kumkuta
Bobbi Kristina akiwa bafuni ameanguka
huku kichwa chake kikiwa kimeinamia chini
na Max kupiga ukelele wa kuomba msaada
ndipo Nick Gordon alipotokea na kujaribu
kutoa huduma ya kwanza kwa Bobbi
Kristina.
Max Lomas alisema nyumba ya wawili hao
ilionekana kama imepigwa deki na kujaribu
kusafisha alama za damu iliyokuwepo
kwenye sakafu. Habari zingine zinasema
Polisi wanataka kumhoji tena Max Lomas
kwa mara ya pili ili kuendelea kupata
ushahidi wa kutosha kama wawili hao
walikwaruzana na kupigana kulikopelekea
Bobbi Kristina kuishia kuanguka bafuni na
kuzimia.
Nick Gordon na Bobbi Kristina
wameishakuwa na ugomvi wa mara kwa mara.

source. Vijimambo.
mara huko nyuma.

AMA KWELI MWANAMKE NYONGA, MAT@KO MAJAALIWA


ANAITWA Sarah Massey mama wa watoto
wawili mkazi wa Chicago nchini Marekani,
amejitokeza kama mwanamke mwenye
umbo kubwa zaidi sehemu ya makalio.

ANGALIA JEURI YA PESA YA WA ARAB, WALIPAMBA RANGE NA SARAFU ZA DHAHABU.


Ama kweli binadamu hatupo sawa ktk dunia hii. while most of us tunaumiza kichwa kuwaza tutakula nini au vp tutajikwamua na ugumu huu wa maisha,  wenzetu huko pande za falme za kiarabu wanaumiza vichwa ni jinsi gan watatumia mapesa waliyo nayo.

kwa kuonesha jeuri ya pesa wameamua kulipamba gari aina ya range rover kwa sarafu za dhahabu kiasi cha kulifanya gari hlo liongezeke thaman zaidi ya mara 5 ya kawaida.

cheki picha nyingine hapo chini:-

U BABA UNAMNUKIA JUSTIN TIMBERLAKE


BAADA ya kuwepo minong'ono ya hapa na pale kuwa mwigizaji Jessica Biel ana ujauzito wa mtoto wa kwanza wa mwanamuziki Justin Timberlake, huku mastaa hao wakikaa kimya, hatimaye staa Justin ameweka bayana kuwa mkewe huyo ni mjamzito.
Timberlake ameweka wazi hayo kwa kutupia picha katika mtandao wa Instagram jana ikiwa ni siku yake ya kuzaliwa akimbusu tumbo mkewe Jessica mwenye mimba na kuandika hivi:



'Namshukuru kila mtu aliyenitakia heri ya kuzaliwa! mwaka huu natarajia kupata zawadi kubwa mno. Nina hamu sana ya kumuona# Mvulana au msichana# Huwezi kujua# Na sisi hatujui pia# Wote tunasubiri kuona' aliandika Justin

WALIOFARIKI KUTOKANA NA EBOLA NI 8,795 - WHO.

SHIRIKA la Afya Duniani (WHO), limetoa takwimu mpya za ugonjwa wa Ebola ambapo mpaka sasa watu 8,795 wamefariki huku 22,057 duniani kote wakiwa wameambukizwa virusi vya ugonjwa huo.
Katika takwimu hizo, nchi ya Sierra Leone ina jumla ya watu 10,518 wenye virusi vya Ebola, Liberia watu 8,622 na Guinea 2,917.
Nchi nyingine ambazo maambukizi yake yapo chini ni Nigeria yenye maambukizi ya watu 20 huku vifo vya watu nane vikiripotiwa, Mali maambukizi ya watu nane huku waliokufa wakiwa sita. Marekani yenye maambukizi ya watu wanne huku mmoja akifariki.
Senegal, Hispania na Uingereza kila moja ina mtu mmoja…
SHIRIKA la Afya Duniani (WHO), limetoa takwimu mpya za ugonjwa wa Ebola ambapo mpaka sasa watu 8,795 wamefariki huku 22,057 duniani kote wakiwa wameambukizwa virusi vya ugonjwa huo.
Katika takwimu hizo, nchi ya Sierra Leone ina jumla ya watu 10,518 wenye virusi vya Ebola, Liberia watu 8,622 na Guinea 2,917.
Nchi nyingine ambazo maambukizi yake yapo chini ni Nigeria yenye maambukizi ya watu 20 huku vifo vya watu nane vikiripotiwa, Mali maambukizi ya watu nane huku waliokufa wakiwa sita. Marekani yenye maambukizi ya watu wanne huku mmoja akifariki.
Senegal, Hispania na Uingereza kila moja ina mtu mmoja aliyeambukizwa huku zikiwa hazina vifo.
Liberia ndiyo nchi inayoongoza kwa vifo ambapo watu 3,686 wamefariki, huku Sierra Leone ikiwa na vifo 3,199 wakati Guinea ikiripotiwa kuwa na vifo 1,910.



Maambukizi ya ugonjwa wa Ebola yamepungua kwa sasa tangu yalipoanza mwezi Machi 2014 huku baadhi ya wataalamu wakieleza kuwa ugonjwa huo unaweza kuwa umetokomezwa kabisa ifikapo Mwezi Juni mwaka huu.

WANAJESHI 100 WAHUKMIWA KIFO KWA KUSHINDWA NA BOKO HARAM



Mahakama ya Kijeshi nchini Nigeria imewahukumu adhabu ya vifo wanajeshi wake 54 waliokataa kupambana na wapiganaji wa Kundi la Boko Haram.

Wanajeshi hao walikutwa na hatia ya uasi, kushambulia na uoga. Wanajeshi hao wanashutumiwa kukataa kupigana kurudisha miji mitatu iliyokuwa ikishikiliwa na Boko Haram mwezi Agosti.
Mwanasheria wa wanajeshi hao amesema wamehukumiwa vifo kwa kupigwa risasi na kikosi maalum huku wanajeshi wengine watano wakiachiwa.

Vikosi vya Kijeshi vya Nigeria vimedai kuzidiwa silaha na Boko Haram, kwa kuwa hawapatiwi silaha za kutosha kupambana na wanamgambo hao.
Boko Haram wanapambana kuunda himaya ya kiislamu kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
CHANZO: BBC

AL SHABAB WAMFANYA IGP KIMAIYO WA KENYA AJIUZULU


Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Kenya, David Kimaiyo ametangaza kustaafu leo kutokana na shinikizo dhidi yake ajiuzulu kwa kushindwa kukabiliana na usalama nchini humo.
Wakati huohuo Kenyatta amempendekeza Waziri Mkuu mpya wa usalama Joseph Nkaiseri kuchukua nafasi ya aliyekuwa Waziri wa Usalama wa nchi hiyo, Joseph Ole Lenku.
Rais Kenyatta alisema kuwa baada ya mazungumzo na Bwana Kimaiyo alikubali kustaafu majukumu yake hayo.

MUONEKANO WA YULE HOUSEGIRL MTESAJI BAADA YA KUPATA KIPIGO KWA BABA MTOTO


Picha hii imetolewa mitandaoni.
Huu ndio muonekano wa yule msichana wa kazi za ndani aliye tenda unyama wa kutaka kumuua mtoto wa bosi wake atimaye naye amepokea kipigo takatifu cha nusu kufa kutoka kwa wazazi wa uyo mtoto hii ni moja ya picha zilizo vuja ambazo wazazi wa mtoto family iyo walizificha.

Unaambiwa haya yote yasingejulikana kama Polisi isingemkamata baba mzazi wa mtoto huyu, yani baba alipoona ile video ndioakampiga Msichana huyu wa kazi ambae baada ya kipigo alikwenda kumshitaki baba wa mtoto Polisi.
Polisi walipomchukua Erick Kamanzi (Baba wa mtoto) nyumbani kwa ke na kumfikisha Polisi ambako alieleza sababu za kumpiga Msichana huyu na kuwaonyesha Polisi  video ambayo ni ya tukio la mtoto wake kupigwa.
Baada ya hapo Polisi ndio wakamwachia na kumkamata Msichana 

P SQUARE, WAMPOTEZA BABA YAO



Mapacha kutoka nchini Nigeria Peter Okoye&Paul Okoye P- Square pamoja na kaka yao Jude Okoye,Jumatatu ya Nov 24 wamempoteza mzazi aliyebakia ambaye ni baba yao mzazi hii ni miaka miwili tangu afariki mama yao.

tovuyi ya www.Naij.com imesema kuwa Mr.Okoye alikua akisumbuliwa na maumivu ya Goti baada ya kufanyiwa upasuaji ingawa hali iliripotiwa kuendelea vizuri.
psqdad

MFUMO MPYA, WHATS APP YAVUNJA NDOA TAYARI...


Wiki chache baada ya WhatsApp kutambulisha mfumo mpya ambapo iwapo unamtumia message mtu inakuonyesha alama ya tick mbili za kijani na pia inaonyesha muda ambao mtu uliyemtumia message hiyo ameisoma, tayari kuna ndoa ambayo imeingia matatizoni kutokana na hilo.
Mwanaume mmoja Saudi Arabia ametoa talaka kwa mkewe kutokana na kitendo cha mwanamke huyo kutokujibu message aliyomtumia WhatsApp.
Mwanaume huyo amesema kitendo kilichomkasirisha zaidi ni pale aliporudi nyumbani na kumkuta mke wake akiwa busy anachat na marafiki zake kupitia mtandao huo wakati message aliyomtumia yeye hakuijibu.

Jamaa huyo ameona kama kitendo hicho ni dharau kubwa na hakuwa tayari kuendelea na ndoa hiyo ambayo imedumu kwa miaka miwili tangu ifungwe.

ASKARI WA BARABANI MWENYE MBWEMBWE ZAIDI.(PICHA)


Wazungu huuita Perform with Enthusiasm, hii ni kuonesha jinsi gani Askari huyu anaipenda na Kui Feel Kazi yake. hapa hakuna kuchoka wala kulala.




Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga