Latest
Tafuta Hapa
Kali za Facebook
Labels
- Agness Masogange (5)
- Aisha Bui (1)
- Ajali (5)
- Ali Kiba (5)
- Aunty Ezekiel (8)
- Baby Madaha (2)
- Batuli (2)
- Bob Junior (2)
- Bongo Flavor (35)
- Bongo Movie (46)
- Chriss Brown (1)
- Dawa za Kulevya (2)
- Diamond Platnumz (47)
- Drake (1)
- Dully Sykes (1)
- Elizabeth Michael (3)
- Escrow (9)
- featured (24)
- Fumanizi (11)
- Gardner (1)
- Geor Davie (1)
- Global Publishers. (18)
- Habari Picha (78)
- Habari za Kimataifa (209)
- Habari za Kitaifa (216)
- Halima Ally (1)
- Hamisa Mobeto (1)
- Huddah Monroe (1)
- Irene Uwoya (3)
- Jacqueline Wolper (4)
- Jamii Forums (79)
- Jokate (1)
- Kajala Masanja (5)
- Lady Jay Dee (6)
- Lilian Kamazima (1)
- Lulu (5)
- Magazeti na Picha (2)
- Mainda (1)
- Maisha (66)
- Malick Bandawe (2)
- Mapenzi (197)
- Maunda Zorro (1)
- Michezo na Burudani (72)
- Miss Tanzania (9)
- Mpira (6)
- Mr Blue (1)
- Muziki (12)
- Mwana Fa (1)
- Ney wa Mitego (1)
- Nyota wa Bongo (120)
- Ommy Dimpoz (9)
- Original Comedy (1)
- P Square (1)
- Picha za Utupu (46)
- Ray C (1)
- Rihanna (1)
- Rose Ndauka (2)
- Sabby Angel (2)
- Shetta (1)
- Shilole (3)
- Sitti Mtemvu (6)
- Udaku Magazetini (37)
- Udaku wa Africa (234)
- Udaku wa Tanzania (253)
- Udaku wa TZ na Africa (21)
- Udaku wa Ulaya (189)
- Ufuska (152)
- Uhuru Kenyatta (1)
- Ujana (35)
- Urembo (11)
- Uswazi. (32)
- Video (9)
- Wasanii (54)
- Wema Sepetu (36)
- Zari The Boss Lady (29)
- Zitto Kabwe (1)
Feature
Udaku wa Africa
Habari za Kimataifa
Habari za Kitaifa
Mapenzi
Michezo na Burudani
Udaku wa Ulaya
Watu wanawapenda mastaa, wapo wanaowapenda mpaka wanatamani wafanane nao, mara nyingi tumekutana na hizi story za watu ambao wamekuwa wakifanya majaribio ya kujibadilisha muonekano, maumbile yani ili tu afanane na staa wake anayempenda.
Jordan James alitumia dola 150,000 (zaidi ya mil 270/-) ili kujibadilisha afanane na Kim Kardashian, safari hii ni Adam Guerra ambaye yeye jitihada zake alikuwa akizifanya ili afanane na Madonna.
Pesa aliyotumia ni paundi 75,000/- (sawa na mil. 210/-) na kutokana na ‘ukarabati’ ambao anataka kuendelea kuufanya kwenye mwili wake mpaka zoezi likamilike kiasi cha pesa kitakuwa kimefikia paundi 100,000/-
Adam anasema anavutiwa sana na Madonna ndiyo maana anafanya kila kitu ili afanane naye.
Madonna
“Nimewahi kupanda jukwaani nikamuiga Madonna.. nilipata mashabiki wengi, nimekuwa nikivutiwa naye kwa kila kitu, nimefanya maamuzi yangu binafsi kwa kutumia hela zangu ili nifanane naye kutokana na map3nzi yangu kwake, pia nimepanga kufanya ziara za kimataifa ili kuwadhihirishia watu jinsi gani navutiwa naye“-Guerra
AMBER ROSE AMJIBU KANYE WEST BAADA YA KUMKASHIFU KUWA ALIOGA MARA 30 ILI AWE NA KIM K BAADA YA KUACHANA NAE
Kwenye mahojiano na kipindi cha ‘BreakFast Club’ Kanye West alimkejeli mp3nzi wake wa zamani Amber Rose kwa kusema alibidi aoge mara 30 baada ya kuwa naye ili Kim kardashian awe naye.
Kanye West alisema “Kim k angekubali kuwa na mimi kabla ya Amber basi nisinge kuwa na Amber Kabisa, ni ngumu kwa mwanamke kuwa na mwanaume aliyewahi kuwa na mahusiano na Amber, nilibidi nioge mara 30 ili Kim K anikubali”.
Amber amejibu kupitia twitter yake nakusema …


HUYU NDO MP3NZ MPYA WA RIHANNA
Baada ya Rihanna na Leonardo DiCaprio kutoa ya moyoni mapema mwezi huu kuhusu ukaribu wao na m@haba yaliyopo baina yao, taarifa mpya zinasema kuwa Staa huyo mahusiona na mcheza filamu Richie Akiva.
Rihanna pamoja na Akvia, walikutana kwa mara ya kwanza ndani ya St. Barth’s over iliyopo ikiwa ni siku ya mwaka mpya ndipo toka hapo wawili hao wakaanzisha urafiki hadi kufikia hatua ya kuwa wap3nzi.
Akiva ambaye ni mmliki wa night club kubwa ndani ya jiji la New York na pia ni rafiki mkubwa wa Leonardo anayesemekana kuwa ni mp3nzi wa Riri bila ya kumsahau Rapper Jay Z
Kila la Kheri kwako Riri utulie sasa
T.I AMEWEKEA NGUMU ALIYEKUWA MP3NZI WA IGGY AZALEA
RAPA T.I. anayepewa hishima ya kumgundua msanii Iggy Azalea amesema mp3nzi wa zamani wa Iggy ‘Jefe Wine’ hana haki ya kupata pesa yeyote kutoka kwa Iggy na muziki wake.T.I. amesema ataacha tatizo la Iggy Azalea lishughulikiwe na wanasheria wake ila haoni sababu ya kijana huyo kupewa pesa za Iggy au kupokea malipo yeyote.
Siku chache nyuma TMZ iliripoti kuwa mp3nzi wa zamani wa Iggy Azalea anasema walifunga ndoa mwaka 2008 na anashahidi ambaye ni daktari walioenda kumuona pamoja walivyokuwa mke na mume. Jefe anataka nusu ya pesa za Iggy Azalea.
Mwezi wa kumi mwaka jana Jefe alitaka talaka kutoka kwa Iggy na kusema waliishi kama mume na mke huko Texas toka September 2008.OMMY DIMPOZ AFANYIWA KITU MBAYA NCHINI MAREKANI, AISHIA AIRPORT NA KURUDISHWA BONGO FASTAA.
Nyota wa Bongo, Ommy Dimpoz, Udaku wa Ulaya
Safari ya Ommy Dimpoz kuelekea Vegas, Marekani kwa ajili ya kupiga show imeishia airport ya marekani, baada y akuzuiliwa kuingia Marekani na kurudishwa na ndege inayofata.Habari zilizotufikia ni kuwa Dimpoz amerudishwa na kukataliwa kuingia ndani ya Marekani kwa kushindwa kufata msharti ya visa, ambapo visa aliyosafiria ilikuwa sio visa inayomruhusu kufanya show, na hivyo kumtilia shaka.
Baada ya kuongea na meneja wake Mubenga amesema, yeye mwenyewe hajui kinachoendelea na alijaribu kumtafuta bila mafanikio na sio kawaida ya Ommy kutokumjulisha kama amefika katika safari zake.


Ila leo asubuhi kwenye majira ya saa tatu amenicheki kuwa yupo njiani anarudi, anaingia leo usiku kwahiyo mpaka kesho mtakuwa na majibu, hajanieleza kwanini, aaaah mi nnachojua yeye anavisa ya marekani ya mwaka mmoja ya kufanya kazi" amesema Mubenga.
MARIAH CAREY AONESHA KUFURU KWA KUTUMIA MILIONI 41 ZA KI BONGO KUWA BURUDISHA MBWA.
Habari za Kimataifa, Udaku wa Ulaya
Utafanya nini ukipewa kiasi cha Milioni 41 za kitanzania muda huu? Bila shaka utapanga mengi na wazo kubwa likiwa kuuaga umasikini kwa muda kama hukuwahi kuzishika.
Lakini Mariah Carey ametumia kiasi hiki cha fedha kuwaburudisha mbwa wake kwa kuwapangishia chumba katika hotel ya kifahari, Bristol.
Kwa mujibu wa Daily Mail, Mariah amelipia kiasi cha zaidi ya $25,000 (zaidi ya Milioni 41) ili mbwa wake hao wapewe huduma daraja la kwanza katika hotel hiyo ya kifahari.
Mbwa hao wamepewa chumba chao pekee, wanahudumiwa chakula kizuri kinachopikwa na mpishi wao maalum katika hotel hiyo, watapelekwa kuogelea na kutembezwa katika maeneo mazuri
KIM KARDASHIAN HUJIKOJOLEA NDAN YA NGUO ZAKE
Habari za Kimataifa, Udaku wa Ulaya
Mke wa msanii Kanye West nchini Marekani mwana mitindo Kim Kardashian West amekiri kwamba licha ya kuvaa nguo zinazowavutia wengi ulimwenguni yeye hujikojolea katika suruali zake za ndani zinazozuia mikojo.
''Mimi hujikojolea kila mara,ni janga kwa kweli'',.huwa hazina mwanya wa kutosha kuniwezesha kukojoa alisema mwanamke huyo maarufu wakati wa mahojiano na jarida la L0ve ambapo baadaye alipigwa picha akiwa u#ch#i.
Hatahivyo dadaake Kardashian, Kourtney naye alijotokeza na kusema si Kim pekee anayejikojolea hata yeye pia.
Kim: ''Kourtney alikuwa amezidisha tabia hiyo''Ninakumbuka tulikuwa katika hoteli ya Delano mjini Miami -nadhani hawataturuhusu tena kwenda katika hoteli hiyo.
Je,ushawahi kujikojolea katika suruali yako ya ndani?.kwa maoni yako basi ingia katika mtandao wetu wa facebook
KANYE WEST AMEMDHALILISHA MKEWE KWA KUMSHIKA MATAK0 HADHARANI?! NI TABIA YAKE, ANGALIA PICHA ZAIDI...
Habari za Kimataifa, Udaku wa Ulaya
Kanye West na mke wake Kim Kardashian wameteka vichwa vya habari baada ya tuzo za grammy kwa kuonekana wakipeana busu huku mkono wa Kanye ukiwa kwenye makalio ya Kim, hii ni picha moja kutoka kwenye hizi picha ambazo zimeonekana kuongelewa zaidi kwenye mitandao baada ya tuzo za grammy zilizofanyika jumapili iliyopita.
ALI KIBA MBIONI KUFANYA COLLABO NA CHRISS BROWN
Ali Kiba, Nyota wa Bongo, Udaku wa Ulaya
Tanzania unao muongoza msanii kutoka
Tanzania ALI KIBA msanii ambae yupo chini
ya uongozi wa Kampuni za SAMSUNG.... Kwa
taarifa zilizopo katika mtandao wa VIP Beats
nchini marekani zinaeleza kua tarehe 24
mwezi wa 11 mwaka 2014 uongozi wa msanii
Chris Brown ulipokea maombi ya muungano
wa wasanii wawili kufanya wimbo wa
pamoja kati ya msanii
Ali kiba na Chris Brown maombi hayo
yaliambatanishwa na Softcopy zilizobeba
nyimbo tatu za msanii Ali kiba ikiwemo
SINGLE BOY, MWANA pamoja na wimbo
aliofanya katika project ya ONE 8. Uongozi
wa Chris Brown umethibitisha kupokea
taarifa za maombi hayo na umeonesha
kupenda sauti ya msanii Ali kiba na kutoa
tamko kua wapo tayari kusimamia kazi ya
pamoja itakayofanywa na wasanii hawa.
Upande wa msanii Chris Brown amesema
hana tatizo yupo tayari kushirikiana na
msanii Ali kiba kwani alipata nafasi ya
kutazama project ya One 8 na ameona
kiwango cha msanii Ali kiba kinaridhisha
Japokua anahitaji marekebisho madogo
sana.BBC SWAHILI Tunampongeza msanii
Ali kiba kwa juhudi zake tunamtakia kila
lakheri katika kazi hii, kuipata habari hii
kamili tembelea mtandao wa VIP Beats,
Channel 0 au unaweza kuipata katika
American Spring news.
WASAGAJI HAWA WAOANA BAADA YA KUWA NA MAHUSIANO KWA MIAKA 50
Habari za Kimataifa, Udaku wa Ulaya
Zaidi ya miongo saba baada ya kuanza
uhusiano wa kimap3nzi, Vivian Boyack na
Alice "Nonie" Dubes wamefunga ndoa.
Boyack, 91, na Dubes, 90, wal ifunga ndoa
rasmi Jumamosi iliyopita, limeripoti gazeti
la Quad City Times.
"Sherehe hii ilikuwa ifanyike siku nyingi
sana," amesema mchungaji Linda Hunsaker
wakati aki fungisha ndoa hiyo
iliyohudhuriwa na marafiki wachache na
baadhi ya wanafamilia wa maharusi.
Wawili hao walikutana katika mji
waliokulia wa Yale, Iowa, nchini Marekani.
Baadaye walihamia mji wa Davenport
mwaka 1947, Boyack akifanya kazi ya
ualimu, huku Dubes akifanya shughuli za
kihasibu.Dubes amesema wameishi maisha
mazuri pamoja, katika miaka yote hiyo na
wameweza kutembelea maji mbo yote 50 ya
Marekani, na ya Canada, na pia kutembelea
Uingereza mara mbili
SAKATA LA KUUMIA KWA MTOTO WA WHITNEY NA BOB BROWN, MCHUMBA WAKE MATATANI
Habari za Kimataifa, Udaku wa Ulaya
Habari ambazo Vijimambo imezipata, Bobbi
Kristina alikutwa na michubuko ambayo
bado haijajulikana imetokana na nini japo
bado Polisi wanaendelea na uchunguzi ikiwa
Nick Gordon na rafiki yake waliokuwepo
kwenye tukio wakiwa wamehojiwa na polisi
wa jimbo la Georgia.
Polisi inajaribu kutafuta saa moja kabla ya
Bobbi Kristina kukutwa bafuni ni nini
kilichokua kikiendelea kati ya hao wapenzi
wawili. Vijimambo imepata taarifa Max
Lomas rafiki ya wawili hao aliyemgundua
Bobbi Kristina akiwa ameanguka bafuni,
alifika nyumbani kwao majira ya saa 3
asubuhi na kuwa na Nick Gordon kwa muda
huo bila ya kumwona Bobbi Kristina huku
akiambiwa alikuwa chumbani.
Mida ya saa 4 asubuhi alifika fundi wa
kutengeneza waya za TV na alikuwa akihitaji
kuingia chumbani kurekebisha tatizo hilo
wakati huo Nick Gorgon alikua hajulikani
alipo ndipo Max Lomas alipochukua jukumu
la kumwingiza fundi huyo chumbani
kufanya marekebisho hayo na Max kumkuta
Bobbi Kristina akiwa bafuni ameanguka
huku kichwa chake kikiwa kimeinamia chini
na Max kupiga ukelele wa kuomba msaada
ndipo Nick Gordon alipotokea na kujaribu
kutoa huduma ya kwanza kwa Bobbi
Kristina.
Max Lomas alisema nyumba ya wawili hao
ilionekana kama imepigwa deki na kujaribu
kusafisha alama za damu iliyokuwepo
kwenye sakafu. Habari zingine zinasema
Polisi wanataka kumhoji tena Max Lomas
kwa mara ya pili ili kuendelea kupata
ushahidi wa kutosha kama wawili hao
walikwaruzana na kupigana kulikopelekea
Bobbi Kristina kuishia kuanguka bafuni na
kuzimia.
Nick Gordon na Bobbi Kristina
wameishakuwa na ugomvi wa mara kwa mara.
source. Vijimambo.
mara huko nyuma.
U BABA UNAMNUKIA JUSTIN TIMBERLAKE
Habari za Kimataifa, Udaku wa Ulaya
BAADA ya kuwepo minong'ono ya hapa na pale kuwa mwigizaji Jessica Biel ana ujauzito wa mtoto wa kwanza wa mwanamuziki Justin Timberlake, huku mastaa hao wakikaa kimya, hatimaye staa Justin ameweka bayana kuwa mkewe huyo ni mjamzito.
NJEMBA YABAMBWA IKILA MZIGO NDANI YA SUPER MARKET
featured, Mapenzi, Udaku wa Ulaya, Ufuska
Polisi wamemshikilia kijana aliyekuwa akifanya m@penz na sanamu ya kuchezea watoto ndani ya Supermarket moja nchini Marekani.
Sean Johnson mwenye miaka19 alikamatwa na jeshi hilo baada ya kunaswa na wanunuzi wa bidhaa ndani ya Supermarket hiyo ya Walmart akiwa uchi huku akifanya ng0n0na Sanamu mwenye maumbile ya kike.
Taarifa ya jeshi hilo ilisema Johnson alikamatwa katika video iliyomuonyesha akiwa yupo busy na sanamu hiyo hadi alipogundulika na baadhi ya watu waliokua wakinua bidhaa.
Inasemekana alipokamatwa aliomba radhi lakini wateja walikataa na kumkokota hadi polisi pamoja na sanamu alilokua akifanya nalo kitendo hicho.
MTU MREFU NA MFUPI ZAID DUNIANI WANAPOKUTANA
Habari za Kimataifa, Udaku wa Ulaya
Watu wawili ambao wanashilikilia rekodi ya mtu mrefu zaidi duniani na mtu mfupi zaidi duniani walikutana kwa mara ya kwanza kwenye maadhimisho ya ‘Guinness World Record Day’ huko London, Uingereza Nov.13.
Mtu mrefu zaidi anaitwa Sultan Kösen kutoka uturuki ana urefu wa futi 8, huku mtu mfupi zaidi aitwaye Chandra Dangi kutoka Nepal ana urefu wa inchi 21.5.
TASWIRA YA CHUP* MPYA ZENYE COND0M MOJA KWA MOJA
Bila shaka hapa inawezekana kupunguza maambukizi ya virusi vya ukimwi na magonjwa ya zinaa kwa ujumla, hebu jionee mwenyewe picha zaidi hapo chini....
ORODHA YA RAPPERS WANAO ONGOZA KWA KUPULIZA SIGARA ZA WAKUBWA
Subscribe to:
Posts (Atom)
Popular Posts
-
Baada tu ya chumba cha binti huyu ambaye ni mtoto wa mjomba tunayeishi nae hapo nyumbani kuna chumba cha kujisomea ambacho mara nyingi huwa ...
-
Mkali wa Bongo fleva, Nasibu Abdul au maarufu kwa jina la Diamond akipozi. ANAITWA Nasibu Abdul au maarufu kwa jina la Diamond. Alizaliwa s...
-
Hebu jionee mwenyewe picha ya bi mkubwa huyo, udenda unamtoka akilazimisha kutoa "nanii" ya huyo mvulana ili "ampige mambo ye...
-
--> --> Kama anavyoonekana katika picha mwanadada Rihanna amekutwa akijiacha alipokwenda kula vacation huko miami, staa huyo mwen...
-
Wale Wadada wanaongoza kwa katibia kao ka kucheza huku wakiwa nusu uchi au uchi kabisa, maana hujifunika kamtandio na wakati mwing...
-
Whitney Port Anne Hathaway Emma Watson Chloe Molertz Gwyneth Paltrow Sienna Miller Jennifer Lawrence Kate Hudson Kate Moss Millie Mackinto...
-
Muigizaji wa filamu Flora Mvungi ambaye ni mke wa H.Baba, amedai a kuna watu waliofika nyumbani kwake zaidi ya mara tatu wakimtaka mfanyak...
-
Mara baada ya kutua Mwanza hii ndiyo picha ya kwanza aliyopost Martin Kadinda ikimuonesha Diamond Na Wema Sepetu wakipigana Denda mbele za w...
-
Aibu! Mrembo anayeuza nyago (video queen) kwenye video kibao za wasanii wa Bongo Fleva, Tunda Sabasitana na mchekeshaji maarufu Bongo, Sta...
-
Inasadikika Chief Kiumbe yupo lupango Dodoma kwa makosa mawili moja kukutwa na nyaraka za bunge isivyo halali, mbili kutumia vijana kutish...
Labels
Agness Masogange
Aisha Bui
Ajali
Ali Kiba
Aunty Ezekiel
Baby Madaha
Batuli
Bob Junior
Bongo Flavor
Bongo Movie
Chriss Brown
Dawa za Kulevya
Diamond Platnumz
Drake
Dully Sykes
Elizabeth Michael
Escrow
featured
Fumanizi
Gardner
Geor Davie
Global Publishers.
Habari Picha
Habari za Kimataifa
Habari za Kitaifa
Halima Ally
Hamisa Mobeto
Huddah Monroe
Irene Uwoya
Jacqueline Wolper
Jamii Forums
Jokate
Kajala Masanja
Lady Jay Dee
Lilian Kamazima
Lulu
Magazeti na Picha
Mainda
Maisha
Malick Bandawe
Mapenzi
Maunda Zorro
Michezo na Burudani
Miss Tanzania
Mpira
Mr Blue
Muziki
Mwana Fa
Ney wa Mitego
Nyota wa Bongo
Ommy Dimpoz
Original Comedy
P Square
Picha za Utupu
Ray C
Rihanna
Rose Ndauka
Sabby Angel
Shetta
Shilole
Sitti Mtemvu
Udaku Magazetini
Udaku wa Africa
Udaku wa Tanzania
Udaku wa TZ na Africa
Udaku wa Ulaya
Ufuska
Uhuru Kenyatta
Ujana
Urembo
Uswazi.
Video
Wasanii
Wema Sepetu
Zari The Boss Lady
Zitto Kabwe