Latest
Tafuta Hapa
Kali za Facebook
Labels
- Agness Masogange (5)
- Aisha Bui (1)
- Ajali (5)
- Ali Kiba (5)
- Aunty Ezekiel (8)
- Baby Madaha (2)
- Batuli (2)
- Bob Junior (2)
- Bongo Flavor (35)
- Bongo Movie (46)
- Chriss Brown (1)
- Dawa za Kulevya (2)
- Diamond Platnumz (47)
- Drake (1)
- Dully Sykes (1)
- Elizabeth Michael (3)
- Escrow (9)
- featured (24)
- Fumanizi (11)
- Gardner (1)
- Geor Davie (1)
- Global Publishers. (18)
- Habari Picha (78)
- Habari za Kimataifa (209)
- Habari za Kitaifa (216)
- Halima Ally (1)
- Hamisa Mobeto (1)
- Huddah Monroe (1)
- Irene Uwoya (3)
- Jacqueline Wolper (4)
- Jamii Forums (79)
- Jokate (1)
- Kajala Masanja (5)
- Lady Jay Dee (6)
- Lilian Kamazima (1)
- Lulu (5)
- Magazeti na Picha (2)
- Mainda (1)
- Maisha (66)
- Malick Bandawe (2)
- Mapenzi (197)
- Maunda Zorro (1)
- Michezo na Burudani (72)
- Miss Tanzania (9)
- Mpira (6)
- Mr Blue (1)
- Muziki (12)
- Mwana Fa (1)
- Ney wa Mitego (1)
- Nyota wa Bongo (120)
- Ommy Dimpoz (9)
- Original Comedy (1)
- P Square (1)
- Picha za Utupu (46)
- Ray C (1)
- Rihanna (1)
- Rose Ndauka (2)
- Sabby Angel (2)
- Shetta (1)
- Shilole (3)
- Sitti Mtemvu (6)
- Udaku Magazetini (37)
- Udaku wa Africa (234)
- Udaku wa Tanzania (253)
- Udaku wa TZ na Africa (21)
- Udaku wa Ulaya (189)
- Ufuska (152)
- Uhuru Kenyatta (1)
- Ujana (35)
- Urembo (11)
- Uswazi. (32)
- Video (9)
- Wasanii (54)
- Wema Sepetu (36)
- Zari The Boss Lady (29)
- Zitto Kabwe (1)
Feature
Udaku wa Africa
Habari za Kimataifa
Habari za Kitaifa
Mapenzi
Michezo na Burudani
Udaku wa Ulaya
HAYA SASA, HIZO NDO SIFA ZA MWANAUME ANAEMTAKA JAY DEE
Lady Jay Dee, Udaku wa Tanzania
SIFA ZA MWANAUME AMTAKAE LADY JAYDEE KWA SASA Mwanaume mwenye vigezo gani ungependa kuwa nae kwa sasa? JIBU :Anaejali na kuheshimu, mwenye roho ya upendo na huruma, anaeweza ku take care of me financially.Asiechepuka hovyo (Milupo kila kona ),Asiwe
tegemezi.Hata kama sio tajiri lakini asinitegemee.Asiwe mlevi kupindukia wa kulala bar,Wala kulala nje kwa machangu wa Kinondoni au popote pale.Nikikohoa tu awepo hapo Kwa mtazamo wako unaweza kupata Mwamke au Mwanaume asiye na mapungufu?
KUMBE GADNER ALIKUWA MCHAFU KWA WATOTO KIASI CHA KUWASHIKA MAKALIO WHILE MKEWE AKIWA STEJINI. SOMA KISA KIZIMA HAPA
Habari za Kitaifa, Lady Jay Dee, Mapenzi
Wiki hii Lady Jaydee amewapa nafasi mashabiki wake kumuuliza maswali naye kuyajibu kupitia akaunti yake ya Instagram. Ameulizwa maswali mengi, na miongoni mwa maswali hayo ni la kuhusu ndoa yake na mtangazaji wa Radio E-FM Gadner G. Habash.
Haya ni maswali na majibu kama alivyopost Instagram.
“Tunasikia umeachana na mume ni kweli au uzushi?
JIBU : Hatuja achana niliamua kumuacha
Kwanini umeachana/umemuacha mume?
JIBU : Nimemuacha kutokana na kuwa
Ndoa inatakiwa iwe na maelewano, furaha, amani na upendo. .. ila kwa bahati mbaya vyote hivyo havikuwepo , sikuwa tayari kuendelea kuishi kwa maumivu huku niki pretend ili kuiridhisha jamii. Huoni kama umejishushia heshma kuachana na mume? JIBU : Sioni hivyo, ila naona nilikuwa najishushia heshma zaidi kuishi na mume asie na heshma, anaeweza kutongoza na kushika wanawake makalio wakati mi niko jukwaani naimba.
Kuwapa mademu magari yangu waendeshe na kuyagonga wakati niko safarini . Ukiachilia mbali vipigo.
Kutembea na wahudumu wa restaurant yangu. Ushahidi ninao. …..niliwahi mkuta anawashika mapaja na akakiri kosa. bado kupigana na kuwatusi wateja pia. Kifupi ilikuwa ni ndoa ya mateso.
Baada ya kuachana unategemea kuolewa tena?
JIBU : Ni mapema kujihakikishia uolewaji mwingine, ila haimaanishi kuwa sitopenda tena. Nahitaji kuwa makini zaidi
Kuchagua mtu sahihi wa kumpa moyo wangu.
Kwanini usirudiane na mumeo?
JIBU : Siwezi kurudi nyuma tena, huwa nina misimamo thabiti. Mpk kuamua kuondoka na uvumilivu nilionao mjue ni maji ya shingo. …
When i say never, I mean Never.
Uliwezaje kuishi na mume mlevi namna ile?
JIBU : Nilidhani angebadikika, so nilikuwa natoa nafasi.
Iliposhindikana nikaona isiwe tabu, kila mtu na aubebe mzigo wake. Ukizingatia ananizidi umri miaka mingi, alitakiwa yeye anielekeze zaidi kuliko mimi kumuelekeza maisha mtu mzima.
Uliwezaje kuondoka?
JIBU : Nilipoamua kuwa na iwe basi, Nilitoka bila kubeba kitu.
Nikasafiri kwenda USA, nikakaa huko mwezi mzima ku refresh na kujipima km kweli ntaweza ku move on?
Niliporudi Tanzania sikukanyaga tena nyumbani, mpk muda huu nnapo type na ku post haya majibu.
Kwa ki fupi ni kuwa nili ondoka bila kuaga, sikuona sababu ya kuaga.
Asanteni jamani, nafikiri nimejibu yote.”
GARDER WA JAY DEE ABAMBWA AKILA UJANA NA KABINTI KINGINE.....
featured, Lady Jay Dee, Mapenzi, Udaku wa Africa, Udaku wa Tanzania
![]() |
Mtangazaji Gardner Gabriel Fikirini Habash ‘Kapteni’ akila ujana na binti (jina halikupatikana mara moja) mrembo bwawani (swimming poOl). |
JAHAZI linazidi kwenda mrama! Wakati shauri lao la kugawana mali likidaiwa kufikishwa mahakamani, picha mpya imenaswa ikionesha dhahiri kwamba Mtangazaji Gardner Gabriel Fikirini Habash ‘Kapteni’ ameamua kusonga mbele na maisha yake na kusahau kabisa kama alikuwa na mke aitwaye Judith Daines Wambura Mbibo ‘Jide’, Amani linakupa mchapo kamili.
PICHA IPOJE?Picha hiyo ambayo inamuashia ‘endiketa’ Jide kuashiria kwamba, Gardner amejiweka pembeni na kuwa bize na ‘starehe’ zake, inamuonesha mtangazaji huyo akiwa ‘ziro distensi’ na kabinti kabichiii (jina halikupatikana mara moja) katika bwawa la kuogelea (swimming pol) huku wakiwa wamening’iniza miguu kwenye maji.
PICHA ILIVYOVUJA
Kwa mujibu wa chanzo makini, picha hiyo iliibwa katika simu ya binti huyo aliyekuwa na Gardner kisha kuisambaza katika mitandao ya kijamii bila yeye mwenyewe kujua.
“Yule dada aliyekuwa na Gardner aliibiwa picha hiyo na shosti yake katika simu yake ndipo akaisambaza mitandaoni,” kilisema chanzo hicho.
NI WAPI?
Mara baada ya mapaparazi wetu kunasa picha hizo, kabla ya kumtafuta Gardner ili kujua ukweli, walianza kusaka eneo ambalo wawili hao walikuwa wakiponda raha zao ambapo jitihada hizo zilikosa majibu ya moja kwa moja.
“Hii ilikuwa ni Mikocheni, Escape One siku hiyo kaka mkubwa alikuwa akifanya yake si unajua tena ameshaona liwalo na liwe,” kilisema chanzo cha kwanza.
ETI NI KIGAMBONI
Chanzo kingine kilichozungumza na mapaparazi wetu kilipishana na mwenzake kwa kudai kuwa wawili hao walikuwa katika ufukwe wa Southern Sun Kigamboni wakijiachia kwa raha zao.
“Mimi kuna kuna mtu kanihakikishia kabisa hii ilikuwa ni Kigamboni, walikuwa wakiponda raha tena Gardner siku hiyo inaonekana alikuwa ameonja kidogo si unajua tena kaka mkubwa na mambo yetu yale, Jide hana chake tena pale,” kilinyetisha chanzo kingine.
Chanzo kingine kilichozungumza na mapaparazi wetu kilipishana na mwenzake kwa kudai kuwa wawili hao walikuwa katika ufukwe wa Southern Sun Kigamboni wakijiachia kwa raha zao.
“Mimi kuna kuna mtu kanihakikishia kabisa hii ilikuwa ni Kigamboni, walikuwa wakiponda raha tena Gardner siku hiyo inaonekana alikuwa ameonja kidogo si unajua tena kaka mkubwa na mambo yetu yale, Jide hana chake tena pale,” kilinyetisha chanzo kingine.
Wakati mapaparazi wetu wakiendelea kuchimba data kuhusiana na mtangazaji huyo ambaye alijizolea umaarufu mkubwa katika Kipindi cha Jahazi cha Redio Clouds FM, chanzo kingine kilipenyeza madai kuwa, Gardner kwa sasa ndiyo zake kujiachia na ‘totoz’ tofauti.
“Aaah…kwani nyinyi hamjui? Jiongezeni bwana, Gardner kwa sasa ameshaondoa mawazo kabisa kwa Jide na badala yake anajipoza tu kwa totoz,” kilisema chanzo.
MAKABRASHA YA LIBRARY
Katika makabrasha yaliyopo katika kumbukumbu za Magazeti Pendwa, Gardner aliwahi kunaswa na kabinti kengine katika Fukwe za Coco jijini Dar wakiwa wamegandana kama kumbikumbi.
GARDNER ASAKWA
Mapaparazi wetu juzikati walimfuata Gardner katika Ofisi za EFM zilizopo Mikocheni jijini Dar ambako mtangazaji huyo anafanya kazi kwa sasa, mtu wa mapokezi alidai hajafika.
ATUMIWA UJUMBE
Jitihada za kumpata kwenye simu zilipogonga mwamba, mapaparazi wetu walimtumia ujumbe mfupi wa maandishi (SMS) kumsomea mashitaka yake na kama ni kweli ameamua kumpotezea mazima Jide.
Gardner hakujibu mapema, baadaye alipigiwa simu, akapokea na kuambiwa ajibu mashitaka yake kama alivyotumiwa katika SMS. Alijibu kuwa yeye ana marafiki wengi hivyo si kila atakayeonekana naye basi ni mpenzi wake. Msikie:
“Hivi kila mdada nitakayeonekana naye atakuwa ni wifi jamani? Mi nina marafiki wa jinsi zote, sina la kusema.”
UKWELI NI NINI?
Mapaparazi wetu walizidi kumtafuta Gardner kujua ukweli wa picha hiyo na eneo walilopigia lakini hakupokea tena hivyo ukweli anaujua mwenyewe.
TUJIKUMBUSHE
Gardner na Jide waliofunga ndoa Mei 14, 2005 na kutobarikiwa kupata mtoto, Agosti mwaka huu walidaiwa kumwagana.
GARDNER AMBURUZA LADY JAY DEE KORTINI.
Gardner, Lady Jay Dee, Nyota wa Bongo
Prizenta aliyetua Radio E-FM hivi karibuni akitokea Radio Times FM, Gardner G Habash ‘Kapteini’ anadaiwa kumpandisha kortini mkewe, Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’ kisa kikisemekana ni mgawanyo wa mali hivyo anataka haki yake baada ya kuwepo kwa madai mazito ya ndoa yao kuvunjika.
Kwa mujibu wa madai hayo, inasemekana kwamba Gardner amekimbilia mahakamani akidai apewe talaka na waweze kugawana mali walizochuma wote ili kila mmoja achukue hamsini zake.
Chanzo hicho ambacho ni mtu wa karibu wa familia hiyo kililiambia gazeti hili kwamba, siku chache baada ya kutengana na huku hali ikizidi kuwa mbaya, mtangazaji huyo alichukua hatua ya kutafuta msaada kwa wanasheria.
“Msinitaje jina ila ninachowaambia ni kwamba Gardner tayari ameshampata mwanasheria anataka kumshitaki Jaydee.
“Msinitaje jina ila ninachowaambia ni kwamba Gardner tayari ameshampata mwanasheria anataka kumshitaki Jaydee.
“Anachohitaji ni kugawana mali zao, kila mtu afanye maisha yake na ukiangalia tu Gardner hana mpango tena wa kuendelea na maisha ya ndoa na Jaydee ila Jide yeye bado ana matumaini ya kurudiana wawe pamoja na hasa kinachomuuma ni kugawana mali.
“Yaani Gardner ameshafanya kila aina ya jitihada ya kutaka waachane kiroho safi lakini Jaydee anaonekana kutokubaliana na wazo hilo kwani anaogopa ule usemi kwamba mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe,” kilisema chanzo hicho na kuongeza:“Ishu ya kugawana mali ya Gardner na Jide ndiyo habari ya mjini na ili jamaa apate chake ameona heri atafute mkono wa sheria.”
Chanzo hicho kiliendelea kumwaga ‘ubuyu’ kwamba, kitendo cha Jaydee kutangaza kubadili mwelekeo wa mali zake akianza kwa kubadili jina la ule mgahawa wake kutoka lile la Nyumbani Lounge na kuuita M.O.G ndicho kimemshtua Gardner na watu wake wa karibu.
Kilendelea kudai kwamba, pia ishu ya Jaydee kubadili jina la Bendi ya Machozi na kuiita Lady Jaydee and the Band, nayo imemchochea Gardner na kuamua kukimbilia mahakamani. Baada ya kunyetishiwa ishu hiyo, gazeti hili lilimtafuta Gardner ili aweke wazi madai ya kutaka kumburuza mahakamani mkewe huyo na haya ndiyo majibu yake mafupi: “Kaka kusema kweli hiyo ishu nashindwa kuizungumzia maana hata sijui wewe umeipata wapi dah.”
Gardner na Jaydee ambao walifunga ndoa mwaka 2005, wamekuwa wakidaiwa kuwa hawapo pamoja tena huku majukumu ya mtangazaji huyo ambaye alikuwa meneja wa mwanamuziki huyo yakichukuliwa na ndugu wa Jide ambaye ni msanii wa Bongo Fleva aitwaye Wakazi.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Popular Posts
-
Baada tu ya chumba cha binti huyu ambaye ni mtoto wa mjomba tunayeishi nae hapo nyumbani kuna chumba cha kujisomea ambacho mara nyingi huwa ...
-
Mkali wa Bongo fleva, Nasibu Abdul au maarufu kwa jina la Diamond akipozi. ANAITWA Nasibu Abdul au maarufu kwa jina la Diamond. Alizaliwa s...
-
Hebu jionee mwenyewe picha ya bi mkubwa huyo, udenda unamtoka akilazimisha kutoa "nanii" ya huyo mvulana ili "ampige mambo ye...
-
--> --> Kama anavyoonekana katika picha mwanadada Rihanna amekutwa akijiacha alipokwenda kula vacation huko miami, staa huyo mwen...
-
Wale Wadada wanaongoza kwa katibia kao ka kucheza huku wakiwa nusu uchi au uchi kabisa, maana hujifunika kamtandio na wakati mwing...
-
Whitney Port Anne Hathaway Emma Watson Chloe Molertz Gwyneth Paltrow Sienna Miller Jennifer Lawrence Kate Hudson Kate Moss Millie Mackinto...
-
Muigizaji wa filamu Flora Mvungi ambaye ni mke wa H.Baba, amedai a kuna watu waliofika nyumbani kwake zaidi ya mara tatu wakimtaka mfanyak...
-
Mara baada ya kutua Mwanza hii ndiyo picha ya kwanza aliyopost Martin Kadinda ikimuonesha Diamond Na Wema Sepetu wakipigana Denda mbele za w...
-
Aibu! Mrembo anayeuza nyago (video queen) kwenye video kibao za wasanii wa Bongo Fleva, Tunda Sabasitana na mchekeshaji maarufu Bongo, Sta...
-
Inasadikika Chief Kiumbe yupo lupango Dodoma kwa makosa mawili moja kukutwa na nyaraka za bunge isivyo halali, mbili kutumia vijana kutish...
Labels
Agness Masogange
Aisha Bui
Ajali
Ali Kiba
Aunty Ezekiel
Baby Madaha
Batuli
Bob Junior
Bongo Flavor
Bongo Movie
Chriss Brown
Dawa za Kulevya
Diamond Platnumz
Drake
Dully Sykes
Elizabeth Michael
Escrow
featured
Fumanizi
Gardner
Geor Davie
Global Publishers.
Habari Picha
Habari za Kimataifa
Habari za Kitaifa
Halima Ally
Hamisa Mobeto
Huddah Monroe
Irene Uwoya
Jacqueline Wolper
Jamii Forums
Jokate
Kajala Masanja
Lady Jay Dee
Lilian Kamazima
Lulu
Magazeti na Picha
Mainda
Maisha
Malick Bandawe
Mapenzi
Maunda Zorro
Michezo na Burudani
Miss Tanzania
Mpira
Mr Blue
Muziki
Mwana Fa
Ney wa Mitego
Nyota wa Bongo
Ommy Dimpoz
Original Comedy
P Square
Picha za Utupu
Ray C
Rihanna
Rose Ndauka
Sabby Angel
Shetta
Shilole
Sitti Mtemvu
Udaku Magazetini
Udaku wa Africa
Udaku wa Tanzania
Udaku wa TZ na Africa
Udaku wa Ulaya
Ufuska
Uhuru Kenyatta
Ujana
Urembo
Uswazi.
Video
Wasanii
Wema Sepetu
Zari The Boss Lady
Zitto Kabwe