Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

MAKAH@BA MWANZA WAVAMIWA NA OFM WAKIWA WANAJIUZA


Issa mnally/Mchanganyiko
Baada ya kuwepo kwa taarifa kuwa kuna maeneo jijini Mwanza yanatisha kwa biashara ya ngono, Operesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers hivi karibuni imetua na kufanikiwa kufumua dangaro maarufu.

Makahaba hao wakiwa katika mawindo yao ya kila siku. Awali, dawati la OFM lilipokea sms kutoka kwa msomaji wake aliyeomba hifadhi ya jina lake iliyosomeka hivi: “Jamani nyie tunawaaminia kwa kufichua maovu, tumeona kazi nyingi nzuri mlizofanya Dar sasa tunaomba mje huku Mwanza maana kuna maeneo kama vile Liberty, Market Street, Deluxe na Villa Park, Kirumba yanatisha kwa uchangudoa.” 
Baada ya kupokea meseji hiyo, mwishoni mwa wiki iliyopita kamanda wa OFM akiwa na wenzake walitingia jijini humo na katika zungukazunguka yao, walifanikiwa kunasa eneo maalum linalosifika kwa biashara hiyo haramu.
Ilikuwaje?
...Wakisubilia wateja.Mishale ya saa 8 usiku mapaparazi wetu walitonywa juu wa kuwepo mabinti waliojikusanya katika maeneo ya Liberty (Mwanza mjini) huku wakitumia nyumba moja iliyopo karibu na hapo kufanyia ufuska wao. 
Bila kuchelewa, timu ya OFM ilifika na kuwakuta mabinti hao wakiwemo wake za watu wakiwa wamevaa kihasara ikionekana wazi walikuwa ‘sokoni’.
Kufuatia hali hiyo, maparazi wetu walianza kuwafotoa picha kitendo kilichowafanya watimue mbio kuelekea kusikojulikana.
Kamanda wa OFM akitua jijini Mwanza. Hata hivyo, baada ya timuatimua hiyo, inadaiwa wengi waligundua kuwa OFM wako Mwanza na wengi waliokuwa wakifanya ufuska eneo hilo walihama wakihofia kunaswa. 
Uchunguzi uliofanwa na gazeti hili umebaini kuwa, kama ilivyo maeneo mengine, Mwanza pia wapo wake za watu na wanafunzi ambao nyakati za usiku huingia viwanja na kujiuza ili kupata pesa za kujikimu.OFM inaahidi kuendelea kufichua maovu mkoani humu ili kuhakikisha maadili yanachukua mkondo wake.


HUDDAH MONROE ACHAFUA HALI YA HEWA MTANDAONI BAADA YA KUPOST PICHA AKIWA NUSU.......



Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa.
Mrembo huyo wa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti.
Mashabiki wake hawakusita kumchana.

“Dnt you fear God?oh I like your beauty and en everything mash Allah but this idea of being n@ked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed.

“Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme.

VIDEO YA WASANII TUNDA NA STANI WAKIFANYA MAP3NZI YAVUJA....


Aibu! Mrembo anayeuza nyago (video queen) kwenye video kibao za wasanii wa Bongo Fleva, Tunda Sabasitana na mchekeshaji maarufu Bongo, Stan Bakora wamepiga picha za ng0n0 kisha kusambaa hadi kulifikia deski la Ijumaa Wikienda. 

Mrembo anayeuza nyago (video queen) kwenye video kibao za wasanii wa Bongo Fleva, Tunda Sabasitana na mchekeshaji maarufu Bongo, Stan Bakora wakijiachia.
Picha hizo chafu zilitua mezani kwetu wikiendi iliyopita ikiwa ni siku mahususi kwa wapendanao.
Picha hizo zinawaonesha wawili hao wakiwa kwenye ‘bedi’ huku wakifanya yao.

Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa Stan na Tunda, wawili hao wemekuwa kwenye ‘malovee’ siku nyingi na kupiga picha za ngono kwao si ishu maana wote hawana mshipa wa aibu kwa kuwa ni wasanii.

Ilisemekana kwamba tangu Stan aanze kuigiza amekuwa akifanya mambo ya aibu tofauti na jinsi anavyoonekana.
 
Source: GPL

MAKAHABA WA KIHINDI WALIA KURUDISHWA KWAO, WATAYAKUMBUKA MAISHA YA KIFAHARI WALIYOISHI BONGO


Makahaba hao wakijiandaa kwa ajili ya safari ya kurudi India.

MABINTI 22 wa Kihindi na Kinepal walioingizwa nchini kufanya biashara ya kuuza miili, wamenaswa wakimwaga machozi hadharani kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, jijini Dar wakisikitikia kuwakosa wateja wao Wabongo ambao inadaiwa walikuwa wakiwalipa vizuri.Mabinti hao waliingizwa nchini kati ya Mei na Desemba, mwaka jana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Dhamaka Entertainment Center Limited, Omprakash Singh kwa lengo la kuwafanyisha biashara ya ngono katika klabu anazozimiliki.

Singh anadaiwa kuwa, alipowafikisha nchini makahaba hao, aliwapokonya hati zao za kusafiria kisha kuwafanyisha kazi hiyo pasipo kuwalipa mshahara ndipo Idara ya Uhamiaji nchini iliposimamia sakata hilo kwa kumshtaki mkurugenzi huyo mahakamani ambapo mahakama iliamuru makahaba hao walipwe mishahara yao na kurudishwa makwao.


Mapema wiki hii, chanzo makini kilimwaga ubuyu kuwa makahaba hao wanarejeshwa makwao, bila kuchelewa, mapaparazi wetu walitia timu katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere na kushuhudia makahaba hao wakifikishwa na gari la Uhamiaji lenye namba za usajili STK 9632.


...Wakiwa na mizigo yao.


Baada ya kushuka, makahaba hao wakiwa katika sura ya huzuni, walisikika wakilia huku wakidai wanarudishwa nchini kwao ambako hawakuwa na kipato kikubwa kama walichokuwa wakipata Bongo.

“Kwa nini jamani wasituache wakati Bongo tumepazoea, tumetengeneza fedha nyingi wangetuacha tu kwanza tumeingia kihalali,” alisikika mmoja wa makahaba hao aliyezungumza kwa lugha ya Kiingereza.

Makahaba hao walikamilisha taratibu zote za kusafiri chini ya maofisa wa uhamiaji kisha wakaondoka na ndege ya Shirika la Qatar saa 12 jioni.Singh alitiwa hatiani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Devotha Kisoka baada ya kukiri kosa lililokuwa linamkabili la kuwaingiza nchini wasichana hao, ambapo aliwatumikisha kazi ngumu na biashara ya ukahaba kwa lengo la kujipatia fedha.


Mahakama ilimpa adhabu ya kulipa faini kila kosa Sh milioni tano hivyo kwa makosa matatu alitakiwa kulipa Sh milioni 15 na magari yake matatu yalitaifishwa na Serikali.Pia mahakama ilimtaka kuwalipa wasichana hao 22 mishahara yao na endapo mshtakiwa angeshindwa kulipa faini angekwenda jela miaka 10.

CREDIT: AMANI-GPL

AMANDA AJITAMBA KUJIUZA MAANA *PAPU*CHI* NI YAKE HAJA AZIMA KWA MTU


Mwigizaji wa filamu, Amamnda Poshi amewatolea uvivu wanaomponda kwa kuvaa nguo fupi huko Instagram. 

Amanda  amewataka  mashabiki  wake  kuachana  na  maisha  yake  binafsi  kwa  madai  kuwa  kama  maisha  yake  yanategemea  kujiuza  kingono  basi  wamwache  maana  anayoiuza  ni  Papu**chi  yake  mwenyewe  na  hajaazima  kwa  mtu.

Huu  ni  ujumbe  wake  alioundika: Instagrameee naipenda sanaaa..naipenda na watu wake nawapenda sanaaa coz ni sehem unayopangiwa uishi vipi,uvae vipi ,ulale wapi,uwe na bwana wa aina gani na ukikaa vibaya utapangiwa mpk chakula cha kutia tumboni tena kwa pesa yako...
  
Naomba ieleweke kila mtu anauhuru wake...kwangu me msinipangie mavazi wala jinsi ya kuishi,nikivaa nguo fupi ni mimi,niwe na miguu mibaya,mapaja mabaya ,sura mbaya haimuhusu mtu ....manina c mzae wenu!!!! mlikuwa mnasubiri mpk mama amanda azae ndio mkosoe mxiuuuuu....
  
Kuhusu nguo mtakosoa sana na makelele pigeni ila kuvaa vimini siachi maana hakuna anayenivisha wala kuninunulia...nanunua kwa pesa yng na kama mtu kuvaa nguo fupi anauza basi acheni kupiga kelele maana nauza papuchi yng sijaazima ya mtu.... 
  
"Niwatakie usiku mwema wote hahahaaaa nawapenda sana



MASTAA WA KI BONGO WENGI "WANAJIUZA"



Msanii wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda ‘Bella’.

IMEBAINIKA kuwa asilimia kubwa ya mastaa wa kike Bongo Muvi wanaishi kwa kuuza miili yao.

Akizungumza na waandishi wetu, msanii wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda ‘Bella’, alisema wasanii wengi wanaishi maisha ya thamani wakati kiuhalisia kazi yao haiwaingizii kipato kinachofanana na maisha ya thamani wanayoishi hivyo kuamua kujiuza.



“Filamu hazilipi, wengi tunajiuza. Bajeti yenyewe ya muvi ni ndogo, wasanii wengi wanataka kulipwa katika muvi moja, haiwezekani kumiliki vitu vya thamani ndiyo maana tunaamua kujiuza.
“Hakuna msanii anayeishi maisha ya kutegemea filamu, kwanza hazilipi kivile kama ambavyo wengi wanavyosema, ukweli ni kwamba wasanii tunajiuza ili tupate pesa ndiyo ituweke mjini tuendelee kung’aa,” alisema Bella.

Wakizungumza na waandishi wetu kwa masharti ya kutotajwa majina yao walikiri kuwa wasanii wengi wanajiuza kutokana na kutaka kuendana na hadhi ya umaarufu.



Mwigizaji Halima Yahya ‘Davina’. 

“Ukweli ndiyo huo, hakuna anayeweza kuishi maisha ya kumiliki magari ya kifahari, nyumba kwa kazi ya sanaa ni uongo mtupu,” alisema mmoja wa wasanii hao.

Alipoulizwa kuhusiana na ishu ya kujiuza, mwigizaji Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ alisema: “Binafsi naishi maisha ya kawaida, najua wapo wanaojiuza, nawapa pole maana wanapenda maisha ya mteremko, mimi siyaungi mkono kabisa.”

Alipotafutwa mwigizaji Halima Yahya ‘Davina’ naye alikiri: “Wasanii wengi Bongo wanategemea kuhongwa na mabwana tofauti ili wapate jeuri ya kujifanya wanazo, utakuta anatengeneza nywele za milioni mbili au kanunua nguo ya milioni kumi huo ni uongo tu, filamu hazilipi kiivyo wengi wanataka kuiga maisha ya wasanii wa nje.”

NJEMBA YABAMBWA IKILA MZIGO NDANI YA SUPER MARKET


Polisi wamemshikilia kijana aliyekuwa akifanya m@penz na sanamu ya kuchezea watoto ndani ya Supermarket moja nchini Marekani.


Sean Johnson mwenye miaka19 alikamatwa na jeshi hilo baada ya kunaswa na wanunuzi wa bidhaa ndani ya Supermarket hiyo ya Walmart akiwa uchi huku akifanya ng0n0na Sanamu  mwenye maumbile ya kike.


Taarifa ya jeshi hilo ilisema Johnson alikamatwa katika video iliyomuonyesha akiwa yupo busy na sanamu hiyo hadi alipogundulika na baadhi ya watu waliokua wakinua bidhaa.


Inasemekana alipokamatwa aliomba radhi lakini wateja walikataa na kumkokota hadi polisi pamoja na sanamu alilokua akifanya nalo kitendo hicho.

"MASTAA WENGI WANAJIUZA MTANDAONI " ANTI LULU.


Bidada mwenye umbo matata Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ ameibuka na kueleza kwamba mastaa wamegundua njia mpya ya kujiuza ambayo ni kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii.

Aunt Lulu alisema mastaa wengi wa kike wanajiuza kwenye mitandao ambapo mapedeshee waliopo mikoa mbalimbali wakishaziona picha zao huwa wanawatafuta kwa udi na uvumba ambapo wanawapigia simu na kuwatumia fedha na tiketi za ndege ya kwenda na kurudi.

“Yaani mastaa wa kike hatulali unakuta pedeshee anakutumia tiketi ya ndege unamfuata mkoani ukienda usiku asubuhi umesharudi Dar unaendelea na mambo yako ndiyo maana unawaona wasanii wengi wa kike wana fedha lakini kazi wanazozifanya huzioni,” alisema Aunt Lulu

MREMBO APANGA CHUMBA NA KUUZA SUKARI YA WAKUBWA HUKO SINZA


usipojipanga nitakupanga: Nanukuu,
Mrembo Zuena Muhammed anayedaiwa kukodi chumba gesti na kuingiza Wanaume kwa zamu usiku kucha. Tukio hili liliji chumba namba 14 ndani ya gesti ya mori Lodge iliyopo sinza jijini Dar ambapo mwanamke huyo alikuwa amekodi chumba hicho na kuwapanga wanaume kwa foleni akitoa huduma haramu ya ngono.

Mazingira ndani ya chumba hicho yalionesha kuwa mrembo huyo ni mpangaji wa kudumu ambapo kulikuwa na meza ya kujiremba (dressing table) iliyosheheni mazagazaga ya vipodozi. ndani ya chumba hicho kulikuwa na kondom zilizotumika na zisizotumika zikiwa zimezagaa sakafuni zikithibitisha kuwepo kwa vitendo hivyo vichafu. Wakati mrembo huyo akinaswa, wanaume waliokuwa wakisubiri huduma yake walitoka nduki huku wakiitwa korokoroni.

Wote walikamatwa kwenye sekeseke walipelekwa kwenye mahabusu ya kituo cha polisi Kijitonyama, kwa ajili hatua zaidi ya kisheria. kwa jinsi mrembo huyo alivyokuwa akila vichwa. alidai mambo yakimuendea vizuri kwa siku anaweza kuingiza shilingi laki mbili (200000), au Zaid kwa usiku

DIVA ATUPIA KIVAZI CHA MITEGO INSTAGRAM, NI SHEEDAH.


Yawezekana amesahau yeye ni kioo cha jamii, manake mara baada ya kuipost picha hii Instagram, mashabiki wake walimkosoa kwa kila namna, Lovenesss Love, Diva Kulikoni kutufanyia hivi kila leo?

WAKE ZA WATU WAMWAGA RADHI KATIKA HARUSI YA JIRANI HUKO MORO


Mtu mzima ovyoo! Akina mama watatu ambao ni wake za watu, wanaounda Kundi la Heshima Pesa Shikamoo Makelele lenye maskani yake maeneo ya Mawenzi mjini hapa wanadaiwa kuwachefua baadhi ya watu baada ya kujitoa fahamu na kumwaga ‘lazi’ hadharani na mbaya zaidi mbele ya watoto wadogo.
Wake za watu wanaofahamika kama mama Sabra mwenye kigauni kifupi cha draftidrafti, mama Jenifa mwenye kimini cha njano na mama Athuman wakijitoa ufahamu mbele ya mahrusi.
Kwa mujibu wa ‘shujaa’ wetu, tukio hilo la aibu ya aina yake lilijiri juzikati  kwenye Ukumbi wa Savoy mjini hapa ambapo wanawake hao walialikwa kuburudisha kwenye sherehe ya harusi ya jirani yao.
Wanawake hao waliofahamika kwa majina ya watoto wao ni pamoja na mama Sabra aliyekuwa akibinuka, aliyevalia kigauni kifupi cha draftidrafti.Mwingine alikuwa ni mama Jenifa aliyekuwa ametupia kimini cha njano na mama Athuman ambao kwa pamoja walikuwa na vikuku miguuni.
Mama Sabra mwenye kigauni kifupi cha draftidrafti, mama Jenifa wakimwaga radhi ukumbini.
Mtu wetu huyo aliyekuwa ndani ya ukumbi huo aliwashuhudia wanawake hao wakimwaga lazi mara baada ya MC kuita kundi lao kwa ajili ya kutoa zawadi.
Mama Sabra akijiachia kwa raha zake bila kujali matokeo.
Kabla ya kutoa zawadi, wamama hao walimfuata DJ na kumtaka kuwawekea wimbo wowote wa Taarab, wakawekewa ambapo wakiwa na zawadi yao ya doti moja ya khanga, walipita mbele ya maharusi kwa mbwembwe zote na baada ya kukabidhi zawadi hiyo ndipo balaa lilipoanza.
Mama Sabra akizidi kumwaga radhi bila uoga.
Huku wakipeana nafasi na mara nyingine kulaliana, walikuwa wakijibinua na kuonesha staili za chumbani huku ‘makufuli’ yakiwa nje, jambo lililotibua harusi hiyo.
Ilifika hatua hadi baadhi ya wazazi wakawa wanawaziba watoto wasione, jambo lililosababisha wazazi wa pande zote mbili (wakwe) kununa pamoja na MC wa shughuli hiyo, MC Chuma ambaye baada ya kuona wanawake hao wanazidi kuvua nguo aliwashtua:
Wakwe wakichoshwa na tabia chafu za wanawake hao.
“Ninyi mnaofanya hivyo mjue OFM (Oparesheni Fichua Maovu ya Global Publishers) ipo humu ndani, sasa  kesho au keshokutwa msitafute lawama.”
Pamoja na angalizo hilo la MC, ndiyo kwanza wanawake hao walipozidi kumwaga lazi ikawa ni laana tupu.
Baada ya pati kukamilika, mwanahabari wetu aliwafuata wanawake hao na kuwahoji kulikoni kumwaga radhi kiasi hicho? Msikie huyu:
Huyu ni Mama Sabra aliyekuwa alimwaga radhi waziwazi.



“Kazi yetu ni kuchangamsha sherehe. Shughuli ilipooza lakini baada ya sisi kuserebuka, ilibadilika, habari ndiyo hiyo,” alisema mama Sabra.

BABY MADAHA NA ISABELA WANASWA WAKIFANYA VITENDO VICHAFU


HAMNAZO? Mastaa wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda ‘Bella’ na Baby Madaha  wamenaswa wakifanya vitendo vichafu maeneo ya Tabata jijini Dar baada ya kupiga masanga ya kutosha mwilini.
Mastaa wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda ‘Bella’ na Baby Madaha wakijiachia.
Kwa mujibu wa chanzo, Baby na Bella walifika maeneo hayo juzikati wakiwa wazima kabisa lakini baada ya kufakamia pombe kwa kasi ndipo walipoanza kufanya madudu huku mchumba wa Bella, Luteni Kalama, akiwakimbia na kuwaacha wenyewe.
Isabela Mpanda ‘Bella’ na Baby Madaha wakiwa tungi.
“Walianza kushikanashikana kama wanasagana, wakapakatana huku wakiwa na chupa za pombe wakicheza kwa hisia za kimahaba kama mtu na mtuwe, yani Kalama anatakiwa ajiongeze vinginevyo mkewe mtarajiwa ataharibikiwa,” kilisema chanzo.
Isabela Mpanda ‘Bella’ na Baby Madaha wakishikana kimahaba.
Baada ya paparazi wetu kunasa picha tukio hilo kutoka kwa sosi, aliwavutia waya wawili hao kwa nyakati tofauti ambapo walisema hawaoni tatizo katika mambo hayo waliyoyafanya.“Tulikunywa pombe zetu na hatukuwa na tatizo na mtu yeyote kuna shida gani? Hakuna vitendo vibaya tulivyofanya kwa sababu hatukugombana na tulikuwa tuko na  amani na raha zetu,” alisema Baby huku Bella naye akitoa maneno yanayofanana kabisa na hayo ya Baby.

ASKOFU GEOR DAVIE AVUNJA NDOA YA SEKRETARI WAKE...



KIMENUKA! Ndoa iliyodumu kwa miaka 15 kati ya Wiston Lotta (52) na Pamella Geofrey (40) imevunjwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha kufuatia ushahidi mzito uliotolewa mahakamani hapo kumridhisha Hakimu Hawa Mghuruta.
Askofu Mkuu wa Huduma na Ngurumo ya Upako, George David ‘Geor Davie’.
Askofu Mkuu wa Huduma na Ngurumo ya Upako, George David ‘Geor Davie’ yenye makao makuu yake jijini Arusha ndiye aliyetajwa na mahakama hiyo kuwa ni chanzo cha kuvunjika kwa ndoa hiyo ya Pamella ambaye alikuwa ni sekretari wa kiongozi huyo wa dini baada ya ujumbe mfupi wa maneno (SMS) ukionesha mapenzi kunaswa kwenye simu ya mwanamke huyo ukitokea kwa Geor Davie.
Askofu  Geor Davie akiwa na wasaidizi wake.
Ushahidi uliotolewa na mwanaume ulidai kuwa mgogoro wa ndoa yake ulitokana na mkewe kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Askofu Geor Davie.
Akisoma hukumu ya kesi hiyo Namba 01 ya mwaka 2012, Hakimu Mghuruta alisema kabla ya hukumu, mahakama ilizingatia ushahidi wa mashahidi watano wa upande wa mlalamikaji.Mke wa mtu Pamella Geofrey (katikati) anayedaiwa kutoka kimapenzi na boss wake, Askofu George David ‘Geor Davie’.
Alimtaja mtoto wa kwanza wa wanandoa hao, Sifael Wiston (15) kwamba naye aliieleza mahakama hiyo namna mama yake alivyokuwa akizini nje ya ndoa kwa kukutana na Geor Davie ndani ya gari lake lenye rangi ya silva wakati wa usiku baba yake akiwa safarini.
Mtoto huyo alianika kwamba, walikuwa wakipelekewa juisi na bajia ndani ya gari hilo lenye pazia kisha wao kufunga vioo kwa muda mrefu huku likionekana kutikisika, ushahidi ambao uliwashangaza waumini wa kanisa la askofu huyo.
Askofu George David ‘Geor Davie’ akitoa huduma ya maombezi kwa waumini.
Wiston ambaye alikuwa msaidizi wa Geor Davie, alifungua kesi ya kudai talaka kwa Pamella ili kufikia ukomo wa shauri hilo ambalo lilianza kusikilizwa na Baraza la Usuluhishi wa Ndoa mwaka 2007 lakini ilishindikana kwa vile mkewe alipeleka sababu za uongo kuwa alikuwa akinyanyaswa hivyo kuikimbia nyumba.
Hakimu Mghuruta ameamuru mali zote yakiwemo magari matatu, nyumba iliyopo Sakina na vitu vingine zibaki chini ya mlalamikaji lakini Pamella anaruhusiwa kwenda kuwasalimia watoto wake. Hata hivyo, mahakama ilimtaka Pamella kutowarubuni watoto hao kiasi cha kuathiri masomo yao.

Gardner wa Lady Jay Dee Anaswa na Kabinti Night


LICHA ya kutothibitishwa juu ya kuwepo au kutokuwepo kwa ndoa yake na mwanamuziki Judith Wambura Mbibo ‘Jide’, mtangazaji maarufu Bongo, Gardner G. Habash ‘Kepteini’ amenaswa na kabinti akiwa kwenye pozi tata za kimahaba hivyo baadhi ya watu kuhoji anasaliti ndoa? Risasi Jumamosi lilifuatilia hatua kwa hatua.
Mtangazaji maarufu Bongo, Gardner G. Habash ‘Kepteini’ akiwa katika pozi la kimahaba na binti huyo.
OFM KAZINI, TUJIUNGE COCO
Tukio hilo lililojaa viulizo kibao bila majibu, lilifuatiliwa na Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers hatua kwa hatua ambapo lilijiri Jumatano iliyopita kwenye Ufukwe wa Coco uliopo Oysterbay jijini Dar kulipokuwa tamasha la wazi la kuibua vipaji vya wasaniii mbalimbali.
Awali, vijana mbalimbali walipanda katika onesho hilo na kuonesha vipaji huku binti huyo jina halikupatikana mara moja, alionekana na rafiki yake ambapo wote walikuwa ni washiriki katika onesho hilo.
GARDNER AMUIBUKIA
Wakati mtangazaji huyo akiwa katika mizunguko yake ufukweni hapo, ghafla jicho lake lilitua kwa binti huyo na kumfuata kisha kumnong’oneza kitu (haikujulikana alimwambia nini).
Gardner na mrembo wakiwa pamoja.
Huku wapenda ‘ubuyu’ wakimfuatilia kwa ukaribu, ndani ya muda mfupi, binti huyo alionekana kuelewa mazungumzo ya Gardner kwa kutingisha kichwa kuashiria ujumbe umemfika vizuri.
WACHEPUKA
Baada ya Gardner na mrembo huyo kusikilizana, wanahabari wetu waliwashuhudia wawili hao wakishikana mikono na kuondoka eneo hilo kwenda kununua vinywaji kisha wakajitenga sehemu wakinywa vinyaji huku Gadner akiwa amemkubatia kwa nyumba mtoto huyo mzuri na mwembamba kama Jide.
WAHAMA PAMOJA
Mashushushu wetu waliwashuhudia wawili hao wakipiga misele pamoja katika maeneo mbalimbali ya ufukwe huo huku mtoto wa kike akiachia tabasamu zito huku jamaa akiwa amemzungushia mkono kiunoni, wakizungumza maneno yalioonesha kuwa wapo kwenye urafiki mzuri.
Akimnong'oneza jambo.
WAPENDA UBUYU SASA!
Wakati Gardner akiwa bize akifanya yake huku akiwa ameongeza umakini, baadhi ya watu ambao ni wepesi kufuatilia mambo ya watu (wapenda ubuyu/umbeya), walianza kuibua minong’ono kwamba kulikoni mtangazaji huyo ambaye amekuwa mzito kutamka kwamba hawako pamoja na Jide, ajiachie kiasi hicho na mrembo huyo.
“Jamani huyu si ni Gardner? Vipi tena mbona anaambatanaambatana na huyu mtoto? Kwa vyovyote ni wazi kabisa kuna kitu kinaendelea kati yao, maana muda wote wapo beneti.“Duh! Sijui Jide akiwaona katika pozi kama hizi atajisikiaje kama kweli hawajaachana,” alisikika mmoja wa wapenda ubuyu.
Baada ya wanahabari wetu kupata walakini na kutaka kuthibitisha hilo, walianza kumfuatilia hatua kwa hatua mpaka waone mwisho wa mchezo utakavyokuwa baada ya kuona dalili hizo, kwa kuwa kadiri muda ulivyozidi kwenda ndivyo mambo yalipozidi kujianika hadharani huku wakijitahidi kukwepa kamera lakini waligonga mwamba.
WABADILISHANA VINYWAJI
Kuonesha kwamba urafiki wao si wakubahatisha, kuna wakati Gardner na mrembo huyo walibadilishana vinywaji jambo ambalo lilifanyika chini ya wapambe wa Gardner ambao walikuwa wakimzingira ili mapaparazi wasiweze kupata picha kwa urahisi.
Akizidi kuwanaye bega kwa bega.
Hata hivyo, mapaparazi wetu walifanikiwa kuzipata picha hizo kwa kutumia mbinu za kiintelijensia kama zinavyoonekana katika ukurasa wa mbele.
WATOWEKA
Wakati mapaparazi wetu wakiendelea kuwafuatilia, ghafla Gardner alitoweka eneo hilo lililokuwa na watu wengi kisha baada ya muda mfupi binti naye akatokomea kusikojulikana.
JIDE AAMBIWA AJIONGEZE!
Kwa mujibu wa mashuhuda wa mpango huo, mke wa Gardner, Jide anapaswa kujiongeza ili kulinda mali yake la sivyo wasichana wa mjini watamzidi kete.
BOFYA HAPA KUMSIKIA GARDNER
Alipotafutwa Gander kupitia simu ya mkononi juzi, Alhamisi ili kuulizwa kuhusu mrembo huyo, mtangazaji huyo alikiri kuwepo Coco kwenye shoo hiyo lakini hakumbuki ni binti gani amuone vizuri kwenye picha.
“Ebwana ni kweli nilialikwa kwenye hiyo shoo so nilikuwepo lakini kuhusu kabinti siwezi kukumbuka labda nione picha.



“Kweli nilipiga picha na mabinti wengi so sijui ni yupi, unajua nature (asili) ya kazi yangu (utangazaji) nakutana na watu wengi na wanapenda kupiga picha na mimi,” alisema Gardner.
GPL

MSICHANA WA KITANZANIA AISHIE INDONESIA APIGA PICHA ZA UTATA NA KUZIMWAGA MTANDAONI..!! Angalia hapa


Msichana mmoja ambae inadaiwa ni mtanzania aishie nchini Indonesia wiki iliyopita alirusha hewani picha zake za mitego kiasi cha kuzusha minong'ono kwente jamii yaq kitanzania inayoiishi nchini humo.

Kwa mujibu wamtandao mmoja wa mtanzania aishie nchini humo aliyefahamika kwa jina la Zabron Michael ulisema kuwa msichana huyo ambae inahisiwa kama ni mtoto wa kigogo flani lakini yeye ni Daktari anaefanya kazi zake binafsi nchini humo na alitajwa kwa jina moja la Happynes.

WANAFUNZI WA KIKE WA CHUO KIKUU UINGEREZA WANASWA WAKILA DENDA, WASEMA NDIYO STAREHE WANAYOIPENDA KULIKO CHOCHOTE..!!


Maskini ya Mungu wee yani sijui kama tutapata viongozi waadilifu tena Duniani kwani matukio ya wanafunzi wa vyuo kufanya ujinga yanazidi kushamili kila kukicha.

Katika hali ya kawaida tu jamani, hapa mapenz ya jinsia moja yanaiangamiza dunia, sijui nini kifanyike ili tuweze angalau kujinusuru na tatizo hili kubwa ambalo nchini kwetu hatuwezi kulikubali kamwe.

xdeejays.

WADADA KUTAMANIANA, HAPA NDIO TULIPOFIKIA


Kwa hakika zama za wazee wetu jambo hili halikuwepo na wala lisingeweza kuunekana kirahisi kama ilivyo leo, Pichani ni mwanamke akimtomasa na kumshika kimahaba kalio mwanamke mwenzie kiasi cha kuleta hisia tofauti miongoni mwa wanajamii. Hii ni Hatari.

MUIGIZAJI COCO AUSTIN AAMUA KUJIANIKA AKIWA MTUPU KIHIVYO


Muigizaji na mke wa rappa Ice-T, Coco Austin, hakubakiza kitu pale alipoamua kujiachia kwa kuacha mat!ti yake wazi alipokuwa akishuti kipande cha sehemu inayofata ya kipindi cha TV juzi ndani ya New York.

Coco, 34, alivua jaketi lake na kubaki wazi huku ch#chu zake zikiwa zimezibwa kwa vipande vya plastiki....

Cheki picha hizo hapo chini:




DC
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga