Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

David Beckham Aingia Katika Filamu Baada ya Kustaafu Mpira



Aliyekuwa Mchezaji wa PSV Kabla ya Kustaafu, David Beckham ameonesha nia ya kuingia katika Uigizaji wa Filamu. Ingawa Mwenyewe hajatoa maamuzi ya mwisho rasmi,Becks anatarajiwa kuleta msisimuko na hasa pale atakapokuwa akiigiza Tamthiliya za Kipelezi na Kijasusi kama za James Bond.

New career path: David, who proved his one screen presence in the short film, could be set to star in his first proper acting role
Miongoni mwa spicha katika filamu ambayo Becks amewahi kuigiza kwa kipande kifupi mno.

Kuna Testesi za nyota huyo kuigiza kama Starring katika Filamu inayokwenda kwa jina la "Kick-Ass" ambapo mkali Samuel L. Jackson anatarajia kumpa Kampani akiigiza kama Adui Mkuu.
Moving on: David played his last game for PSG back in May as he retired form the sport
Mechi ya Mwisho ya Beckham Kucheza kabala ya Kustaafu May 2013.

Yanga yawakaba koo URA

Dar es Salaam. Mabingwa wa Tanzania, Yanga wamelazimisha sare 2-2 na URA ya Uganda katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mashabiki wa Yanga walisubiri hadi dakika ya 90, wakati mshambuliaji Jerryson Tegete alipofunga bao la kusawazisha baada ya mabeki wa URA kushindwa kuelewana na kipa wao.
Mshambuliaji wa URA , Lutimba Yayo aliifungia timu yake mabao mawili ya kuongoza katika dakika 42 na 51, kabla ya Didier Kavumbagu kuipatia Yanga bao katika dakika ya 66 na Tegete kuisawazishia Yanga.
URA walitawala vizuri kipindi cha kwanza ikiwa ni saa 24, tangu walipoichapa Simba kwa mabao 2-1 kwenye uwanja huo. Katika dakika ya 4, Derrick Walulya nusura aifungie timu yake bao baada ya shuti lake kupaa juu kidogo ya goli la Yanga.
Kipa mpya wa Yanga, Deogratias Munish ‘Dida’ alithibitisha ubora wake baada ya kuokoa shuti la Ngama Emmanuel akiwa ndani ya eneo la 18 katika dakika ya 27.
Yanga walimtoa Hamis Thabit na kumwingiza Bakari Masoud katika dakika 40, wakati URA waliwapumzisha, Joseph Owino, Ngama Emmanuel na kuwaingiza Munaaba Allan na Ike Obina.
Dakika tatu kabla ya mapumziko URA walipata bao la kuongoza lililofungwa na Yayo kwa shuti kali baada ya kuwazidi ujanja mabeki wa Yanga.
Waganda walirudi kipindi cha pili kwa nguvu zaidi na kufanikiwa kupata bao la pili lilililofungwa na Yayo kwa shuti la mpira wa adhabu baada ya beki wa Yanga, Ibrahimu Job kumchezea vibaya Ngama Emmanuel katika dakika 51.
Mshambuliaji Kavumbagu alifungia Yanga bao la kwanza katika dakika 66, akiuganisha kwa kichwa krosi ya Juma Abdallah. Kocha wa Yanga, Ernest Brandts alimtoa Bahanuzi na kumwingiza Haruna Niyonzima katika dakika 77, ambapo mabadiliko hayo yalikuwa na faida kwa  Yanga kwani iliwasaidia kurudi mchezoni.
CHANZO: MWANANCHI

Loh!! Macho hayana pazia, Mwangalie Mikel Obi akimkododolea mdada mwenye Bikini huku akiwa anarekodiwa.


Angali Picha Ikimwonesha Mchezaji wa kulipwa Mwenye Asili ya Nigeria, ambaye pia ni Midfielder Mikel Obi akimtupia jicho mrembo wa Ki Brasil aliyekuw anakatiza mbele yake kiasi cha kumfanya ajisahau kama yupo katika Interview na Camera inamuangalia yeye.

Unaionaje hii?

Ronaldo amsaliti Mpenzi wake sababu ya Miss Bum Bum 2013













No wonder Cristiano Ronaldo didn’t play well during Real Madrid vs Borussia Dortmund match on Wednesday April 24th (Real lost 4-1 to Dortmund)…he had sex two days before…lol.
Andressa Urach (pictured above right) is claiming the star footballer, who is in a serious relationship with Russian super model, Irina Shayk, slept with her in a £12,500-a-night Villa Magna hotel on Monday April 22nd. Andressa is 2013 Miss Bum Bum Brazil queen. She told The Sun UK that Cristiano got in touch with her after seeing her photos online, and had sex with her just a day after Ronaldo was pictured leaving a restaurant with Irina (pictured left).
Andressa said she took a taxi to the hotel that Monday and waited for Ronaldo at the Lobby. Ronaldo eventually arrived in a grey Audi R3 and parked in an underground car park before taking a private lift to his room, from where he texted her his room number. The beauty queen said the sex was great.

“It was incredible, his body’s perfect, like a Greek god. He went on for hours and would not stop talking about my butt.’
Cristiano’s girlfriend, Irina, is known as one of the world’s top swimwear and lingerie models. Meaning her body is bad! Still he cheated on her. How much more us mere mortals! Lol. Men! Choi!!

Mchezaji wa Ligi Kuu ampiga Refa Ngumi na Kumtoa damu Puani

-->


Indonesian footballer Pieter Rumaropen, who punched a referee in the face, has been banned for life by the country’s football authority.
The striker for Papua province club Persiwa Wamena, punched referee Muhaimin after he awarded a penalty to Pelita Bandung Raya during a Super League match on Sunday in West Java’s capital Bandung.
Muhaimin was taken to hospital where he received four stitches.
The match was held up for 15 minutes before a replacement official took over and gave Rumaropen a red card.
Hinca Panjaitan, a member of the disciplinary commission of Indonesia’s Football Association, PSSI, said Rumaropen’s behavior damaged the image of the country’s football.
In 2008, PSSI imposed life bans on four players for beating up a referee and his assistants.
Rumaropen’s Persiwa Wamena were tied 1-1 with Pelita Bandung Raya on Sunday when referee Muhaimin awarded a penalty to Pelita with eight minutes left on the clock.
Video replays of the incident showed Rumaropen running up behind Muhaimin and landing a swinging left hook on the referee, who had to be admitted to a hospital due to excessive bleeding from his nose.
Persiwa, currently seventh in the 18-team league, lost 2-1 after their opponents converted the penalty.
Persiwa defender Richardo Roberto was also sent off in the first half of the match


Angalia Video

Beckham atolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kucheza rafu mbaya

Huko katika Legue 1 nchini Ufaransa na kuisababishia timu yake kumaliza mchezo ikiwa na wachezaji 8 wa ndani baada ya kutolewa yeye na mwenzie .Beckham ambaye aliingia uwanjani kipindi cha pili alimchezea vibaya

-->

Youssef Adnane  na kumfanya refa kumpa kadi nyekundu moja kwa moja. Angalia video chini
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga