Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » David Beckham Aingia Katika Filamu Baada ya Kustaafu Mpira



Aliyekuwa Mchezaji wa PSV Kabla ya Kustaafu, David Beckham ameonesha nia ya kuingia katika Uigizaji wa Filamu. Ingawa Mwenyewe hajatoa maamuzi ya mwisho rasmi,Becks anatarajiwa kuleta msisimuko na hasa pale atakapokuwa akiigiza Tamthiliya za Kipelezi na Kijasusi kama za James Bond.

New career path: David, who proved his one screen presence in the short film, could be set to star in his first proper acting role
Miongoni mwa spicha katika filamu ambayo Becks amewahi kuigiza kwa kipande kifupi mno.

Kuna Testesi za nyota huyo kuigiza kama Starring katika Filamu inayokwenda kwa jina la "Kick-Ass" ambapo mkali Samuel L. Jackson anatarajia kumpa Kampani akiigiza kama Adui Mkuu.
Moving on: David played his last game for PSG back in May as he retired form the sport
Mechi ya Mwisho ya Beckham Kucheza kabala ya Kustaafu May 2013.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga