Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

SHILOLE AWAWAKIA WALIOMPONDA KWA KUWA KICHWA WAZI MSIBANI KWA MEZ B



Nawaangalia tu wote mnaonisnich kama ww unajiua ni snich jitoe tu coz hata mm sina time na ww! Tusilazimishane kuwa kama ww mm ni mm na ww ni ww so naona au coz mm ni shilole nisingeenda msiban pia mngechamba oooh wasanii hamjaliani sasa mm nimekwenda lakin bado oooh nywele
 sijafunika! Plzzz tusiingiliane mbona hamna jema nyinyi loh! Mnikome nafanya kile ambacho naweza kufanya kwa wakati huo so tuheshimiane (tusi) tena nyie ambao mnasema ooooooo hujafunga kitamba kichwani hata misiban hamjaww kwenda 

SHILOLE AAMBULIA KICHAMBO KIKALI BAADA YA KUANIKA MAPAJA YAKE HIVI


 Shilole Alipost Picha hiyo hapo juuu na Kuandika Maneno haya "Baada ya Kutoka TBC tv Taifa! Now nipo Mlimani Tv Live "
Jisomee Watu walivyomchamba hapa chini:

SHILOLE AKIPOZ NDANI YA HOTEL HUKO UBELIGIJI



Baada ya mwanadada Shilole Kuwasili uwanja wa kimataifa wa ndege wa Zeventem jijin Burssel Ubeligiji.Si ndo akaenda zake kujitafutia hoteli ya kujipumzisha. Sasa hiyo ndo picha yake ya kwanza akiwa hotelini humo.
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga