Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

MAPYA YAIBUKA KESI YA MUME KUMCHINJA MKEWE KAMA KUKU GUEST



Na Makongoro Oging’/Uwazi
SIKU chache zimepita tangu Remy Joseph,
35, (pichani) kudaiwa kumuua kwa
kumchinja na kisu mkewe, Josephine Mushi
kwenye Hoteli ya Friends Corner iliyopo
Manzese jijini Dar, mengine yamebainika,
Uwazi limechimba zaidi.
Taarifa kutoka vyanzo vya habari hotelini
hapo zinadai kuwa, saa tano asubuhi ya
Januari 23, mwaka huu, mwanamume huyo
alifika kwenye hoteli hiyo na kufanya
sherehe ya kuzaliwa kwake ‘bethidei’
ambapo alikuwa akitimiza miaka 35.
Mmoja wa wahudumu wa hoteli hiyo
ambaye hakupenda jina lake liandikwe
gazetini alisema siku hiyo mtuhumiwa huyo
alifika akiwa na mwanamke mweupe (jina
halikupatikana) ambaye wahudumu wote
walijua ndiye mke wake kutokana na kuwa
mstari wa mbele katika shamrashamra
hiyo.“Sisi tulimuona ni kijana mstaarabu na
haya ya mauaji yasingetokea, lakini kumbe
alikuwa akisherehekea huku akijua atamuua
mkewe siku si nyingi mbele tena kwenye
hoteli hiihii, kwa kweli imetushangaza
sana,” alisema mhudumu huyo.
Uwazi lilimtafuta mkurugenzi wa hoteli hiyo
aliyejitambulisha kwa jina moja la Massawe
ambapo alikiri kupata taarifa ya sherehe
hiyo kutoka kwa wahudumu wake lakini
hakujua alichodhamiria mtuhumiwa huyo
mpaka mauaji yalipofanyika na kubainika
kuwa, kumbe ni yeye aliyekuwa ameandaa
sherehe
Joseph alikutwa na polisi katika chumba
kimoja cha hoteli hiyo akiwa na kisu
mkononi muda mfupi baada ya kumchinja
mkewe wake na yeye kutaka kujiua lakini
akashindwa.
Ilidaiwa kuwa, Joseph alipanga hotelini hapo
Januari 28, mwaka huu huku akiwa na
mkewe huyo lakini siku ya pili wahudumu
waliona damu zikitiririka kutoka chumbani
kupitia mlangoni. Waliita polisi na
walipofika walibaini kufanyika kwa mauaji
hayo ya kinyama.
Mtuhumiwa bado yupo Hospitali ya Taifa
Muhimbili kwa matibabu chini ya ulinzi
mkali wa polisi huku mkewe akizikwa Moshi,
Februari Mosi mwaka huu

MUONEKANO WA YULE HOUSEGIRL MTESAJI BAADA YA KUPATA KIPIGO KWA BABA MTOTO


Picha hii imetolewa mitandaoni.
Huu ndio muonekano wa yule msichana wa kazi za ndani aliye tenda unyama wa kutaka kumuua mtoto wa bosi wake atimaye naye amepokea kipigo takatifu cha nusu kufa kutoka kwa wazazi wa uyo mtoto hii ni moja ya picha zilizo vuja ambazo wazazi wa mtoto family iyo walizificha.

Unaambiwa haya yote yasingejulikana kama Polisi isingemkamata baba mzazi wa mtoto huyu, yani baba alipoona ile video ndioakampiga Msichana huyu wa kazi ambae baada ya kipigo alikwenda kumshitaki baba wa mtoto Polisi.
Polisi walipomchukua Erick Kamanzi (Baba wa mtoto) nyumbani kwa ke na kumfikisha Polisi ambako alieleza sababu za kumpiga Msichana huyu na kuwaonyesha Polisi  video ambayo ni ya tukio la mtoto wake kupigwa.
Baada ya hapo Polisi ndio wakamwachia na kumkamata Msichana 

NAY APATA MTOTO WA KIUME NA SIWEMA


Rapper Nay Wa Mitego na mchumba wake Siwema wamebarikiwa kupata mtoto wa kiume tarehe 28/10/2014 ambaye ni siku ya kuzaliwa ya mama mzazi wa Ney Wa Mitego.

BABA AMSHTAKI MWANAE KWA KUOA MWANAMKE MASKINI,ADAI ANAMHARIBIA SIFA,KWAO MWIKO KUOA WALALAHOI


Mwanamme mmoja nchini India amemshtaki mwanawe wa pekee wa kiume katika mahakama kwa kumharibia sifa, alipoamua kumuoa mwanamke wa tabaka la chini. 
Alisema kwamba kitendo hicho kimemharibia sifa na hadhi yake katika jamii.

Mzee Sidhnath Sharma mkazi wa Patna nchini India anataka alipwe rupia 10,000,000 (KSh13,638,900) na mwanawe Sushant Jasu, na anataka mahakama iamuru kwamba kijana huyo asitumie tena jina la familia.

Sharma, ambaye ni wakili kutoka ukoo wa familia ya watu wanaojiweza ya Bhumihar, alisema ndoa aliyofunga mwanawe mwishoni mwa mwaka jana ilivunja mwiko ambao umedumishwa kwa miaka 400, kwamba mtu wa familia ya hadhi ya juu hafai kumwoa wa walalahoi.

“Kwa miaka mingi, sheria hii imekubaliwa na kwamba ndoa ni lazima zipangwe na wazazi kwa sababu ya kuwa mtu amuoe wa hadhi yake. Lakini mwanangu pekee ameamua kumaliza utamaduni huu. Sio tu kwamba nimepigwa na butwa, bali pia kitendo chake kimetia doa hadhi yangi katika jamii,” aliambia shirika la Habari la Ufaransa, AFO nyumbani kwake mjini Danapur, viungani mwa jiji la Patna.

Mtindo huo wa kuwagawa watu katika makundi kulingana na hadhi zao, umerithiwa mno nchini India kiasi kwamba umekita mizizi hata miongoni mwa wasomi na watetezi wa haki za binadamu.

Cha kushangaza ni kwamba, unafuatwa hata katika jimbo la Bihar, mojawapo ya maeneo maskini zaidi na yenye idadi kubwa ya watu nchini India.

Itikadi hiyo ndiyo dira hasa ya maisha ya watu wengi wa India, na inaweza kuamua kuhusiana na masuala ya ndoa, elimu, ajira na umiliki wa ardhi, japokuwa sharia za nchi hiyo zinapiga marufuku kuwabagua watu kwa misingi ya hadhi zao.

Watu wanaokwenda kinyume na wazazi wao na kuamua kuoa nje ya matabaka yao, mara kwa mara wamekuwa wakiuawa, katika kinachotajwa kuwa 'mauaji ya kuhifadhi hadhi’ ili wanandoa wasiharibu heshima na sifa za wazazi wao. Sharma aliwasilisha keshi dhidi ya Jasu mwezi uliopita na mahakama mjini Danapur inatarajiwa kuanza kuisikiza kesi hizo mwezi huu.

Jasu, ambaye ni afisa mkusanyaji mapato katika jimbo la Gujarat, alimwoa mke huyo anayefanya kazi katika benki mjini Danapur mwezi Novemba mwaka jana. Sharma anasema iwapo mwanawe ataendelea kutumia jina la familia kwenye jina lake, ataomba alipwe rupia 10,000 kama ada ya hakimiliki, kila mara atakapotajwa au kusikika akiitwa na mtu.

“Nimeiomba mahakama imwagize anilipe kwa kuniumiza hisia zangu, kisaikolojia na pia kwa kuniharibia hadhi yangu katika jamii. Ninataka anilipe gharama yangu yote niliyopata kumfanya awe mtu aliye sasa,” akasema.


Jasu alikataa kuzungumza kuhusu kesi hiyo.

LAANA: Mtangazji wa Habari Marc Malkin Amuoa Patna wake Fabian Fuentes


Kama ni mpenzi wa kuangalia E! News, basi utakuwa unamfahamu Marc Malkin. Yeye ndiye muhariri mkuu na muandishi mtandao huo wa burudani ambao huwa unatoa habari za nyota wa Hollywood kwa 24/7.

Amemuoa patna wake wa siku nyingi aitwaye Fabian Fuentes ndani ya LA.

Kupitia ukurasa wake wa twitter hivi ndivyo alivyoandika Marc Malkin


Mmh, Angalia 10 Hot Photos za Super Model Mika Shay



Msichana huyo ambaye ni Model ana Mvuto wa Ndani na nje, ni Mwanamke ambaye binafsi naimani kila mwanaume ana wish awe mke au awe mtu wake angalia hizo Photos halafu uniambie unaonaje. 
Mika Shay eewMika Shay treMika Shay 54Mika Shay r4Mika Shay tttMika Shay 55Mika Shay 5Mika ShayMika Shay
PHOTOSHOW- Model Mika Shay
Model Mika Shay

MWANGALIE MODEL HUYU AKIWA NDANI YA BIK1NI NA KAPTURA WAPI KAPENDEZA ZAIDI



Kwa jina anafahamika kama Risper Faith ambaye kwa kipindi kirefu amekuwa akipiga picha zake za Ki Model akiwa amevaa nguo zote, sasa ameanza kufuata nyayo za dada yake na kuanza kutuvalia vibikn bila kujali umbo lake kubwa alilobarikiwa na Mola.

Kazi imewapata wengi kwa ku koment na kushauri kuhusiana na step mpya ya mrembo huyo, je sawa kwake au aendelee ku modelika huku akiwa na nguo tu?!!!


NANI KAMA MAMA?



Pichani ni mwanamke, mlemavu mzazi wa mtoto mchanga akimuhudumia kichanga wake kwa huruma na mapnz ya hali juu na hasa ukizngatia hali ya hali ya mikono yake. Nani kama mama?!!

Wanahabari Watatu Wafariki Dunia katika Ajali ya Gari


Umoja wa Wnahabari wa Nigeria (NUJ) Ijumaa hii ulipatwa na pigo kubwa baada ya kuondokewa na wanahabari wake watatu huku wengine zaidi ya Wanne wakijeruhiwa vibaya.

Tukio hilo lilitokea majira ya saa 12 jioni maeneo ya Ilesa, Jimbo la Osun wakati wanahabaro hao walipokuwa wakirudi kutoka katika mkutano Huko Abuja. Mmoja wa majeruhi Bw. Gbenga Opadotun amesema sababu ya kupata ajali hiyo ni mwendo kasi wa gari na kisha Tairi la Mbele Likapasuka.

Baada ya kupasuka kwa tairi la mbele, geri hilo lilipinduka zaidi ya mara nne na kusimamia katika Pori ambapo baadhi ya waliofariki walirushwa hadi nje ya gari kutokana na kutofunga Mikanda.

Hoteli Hii Inauza Nyama za Binadamu, Wananchi watahadharishwa Kuwa Makini



Polisi wapatao 11 walivamia Hoteli hiyo (Jina Limehifadhiwa) ambayo ipo karibu na soko la Okwodu Huku Anambra na kukuta vichwa viwili vya binadamu vikionesha kuuawa muda si mrefu.

Polisi hao walipewa taarifa na Wasamaria wema kuhusu kuwa na mashaka na mwenendo wa Hoteli hiyo na ndipo Jeshi la Polisi lilipofanya uvamizi huo na kujionea mambo hayo, Pia Polisi waliweza Bunduki Mbili, Kofia Mbili za Jeshi na Mizunguko 40 ya Risasi pamoja na simu kibao za Mkononi.

" Kila nikiwa nakuja Sokoni nimekuwa nikijionea hali isiyokuwa ya kawaida na mizunguko ya ajabu karibu na Hoteli hiyo, kuna kipindi huwa nawaona watu wa hatari hatari ambao huwa wanatia wasiwasi wakiingia na kutoka hotelini hapo, hivyo sijashtuka kuoona wamevamiwa na polisi asubuhi ya Jana" Alisema Muuza Mboga Katika Eneo Hilo.

Pia Mchungaji mmoja aliwahi kuwadokeza Polisi kuhusu Kulipishwa Bei isiyokuwa ya kawaida baada ya kula nyama Hotelini hapo. Hakujua ya kwamba ni nyama ya Binadamu.


Wanawake wenye jinsia Mbili, Huoa na Kuolewa.



Siku za hivi karibuni kumeshuhudiwa michezo ya ajabu kufanywa na Wasichana, pia wavulana hususan katika suala zima la kujibadilisha jinsia kutoka aliyokupa Mola wako na kujipachika Unayoihusudu wewe kwa matamanio yako.

Pia hiyo ni hali halisi ya mambo yalivyo hivi sasa kwani kuna wasichana wamegeuka wanaume na wengine wanabakisha zote mbili, huu ni mwisho wa dunia.

Majanga ONA Majanga!!!! Mpaka Kieleweke Leo!!


Kama kawaida, Cheka Upate Afya, leo nakuletea Picha niliyoipata katika mtandao wa kijamii huku ikiwa Commented ya Kwamba Mpare Utamjua Tu!!!! Walionaje hili?

Wanaume wenye KORODANI( "MAPUMBU") Makubwa wapo hatarini kupata Magonjwa ya Moyo



Daah, sasa kwa wale wenzangu na mimi ambao tuna mizigo mikubwa naomba tukae vizuri na tuelewane ya kwamba Silaha Pesa, Kisu Mzigo.

Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Florance Huku Uingereza umebaini ya kwamba Wnaume wenye Korodani "Mapumbu" Kubwa wapo hatarini Kupata Shinikizo na Damu na wengi wao hupendelea kunywa Pombe kupindukia.

Pamoja na hayo hawakusema ni kipi hasa kinapelekea Baadhi ya Wanaume kuwa na Korodani Kubwa. Wanasayansi hao waliweza kuwapima Wanaume 2,809 ambao walikuwa wanahudhuria Clinic za Afya ya Uzazi ambapo walikuwa wakiwapima saizi ya Korodani hizo na kiwango cha Hormone na kuwa wanawafatilia kwa uangalizi wa kipindi cha miaka Saba.

Kwa kipindi hiki waligundua ya kwamba wanaume wenye Korodani Kubwa ndio waliokuwa na matatizo ya Moyo sana, Pia waligundua wanaume hao wenye Korodani Kubwa walikuwa na Luteinising Hormone ambayo huathiri saizi ya Korodani hizo.




Men with large testicles are also more likely to be hospitalised with heart problems and tend to be heavier, drink more alcohol, and to have higher blood pressure


Hormone Hiyo huwa na Athari katika Moyo, Ingawa Tafiti zilizopita zilibainisha Ufanisi katika suala zima la Uzazi katika Wanaume wenye Korodani Kubwa, Tafiti hii inapingana na hiyo ya kuzikombatia zilizopita.

Akimbiwa na Mumewe Baada ya Kujifungua Mapacha 3,


Pichani ni Mke wa Mkulimu kutoka Jimbo la Ogun, Bi Bosede Akapo, 30, Ambaye analalamikia kukimbiwa na mumuwe baada ya kujifungua watoto watatu mapacha siku ya tarehe 24/07/2013.

Imeelezwa kuwa Bw. Biodun mume wa mwanamke huyo alikimbia siku ambayo Bosede alianza kuumwa Uchungu wa Uzazi. Kabla ya ujio wa malaika hao watatu, tayari familia hiyo tayari ilikuwa ana watoto wawili hivyo kuifanya idadi ya watoto kuwa watano ambao wamempelekea Mkulima huyo kuingia mitini.

Mwanamke alipata msaada wa kuzalishwa na wazee wa kijijini kwake ambao walimsaidi kumpandisha Pikipiki na kumpeleka katika kituo cha afya na huko ndipo mambo yalipojulikana. Amesema hakuwahi kufanya Kipimo cha " Ultra Sound" kufahamu Watoto na Jinsia kwani hakuwa na uwezo huo.

Anamsihi mwanaume huyo kurudi nyumbani wailee familia hiyo kubwa ambayo peke yake haitaiweza.

Jinsi Biashara ya "Utumwa wa Ngono ilivyoshamiri" katika Miji Mikubwa!!!



Habari hii kwa lugha ya kiingereza, angalia jinsi hali ilivyo huko Africa Magharibi


It will shock you how this young girls (teenagers) are turned into sex slaves in underground cartels:
"I was in JSS3 at the time, and I was too young to understand anything. So, when I became pregnant, I told my boyfriend about it, but he denied it and ran away. That was how I stopped going to school. After about two years, I came to Lagos to hustle. One aunty then introduced me to this business."
Martha is a 15-year-old girl endowed with beauty but:

She faces a very bleak future as she is held captive in a brothel in Gbagada, a suburb of Lagos, where she has to sleep with men old enough to be her father and surrender her entire earnings to a woman designated as her aunty. In return, the aunty gives Martha a sum she deems sufficient to cater for her basic needs.

The more than two decades old brothel is located close to Sawmill Bus-stop in Gbagada. In it resides a cartel of mature prostitutes called aunties, to whom younger girls like Martha are responsible. The older prostitutes act as guardians to the younger ones aged between 14 and 19 years. Most of the girls are said to have been lured to Lagos from Edo and Delta states by their aunties. With a promise of the good life, the girls follow the aunties to Lagos only to be lured into prostitution.

The cartel’s mode of operation is similar to those that have been reported about innocent Nigerian girls lured into prostitution in Europe. The girls, who are mostly from poor parental backgrounds and broken homes, serve their aunties for as long as two years before they are deemed matured enough to stand on their own.

A source in the hotel told our correspondent that for a newly recruited girl to become a member of the prostitution ring, her aunty has to pay the sum of N50,0000 to the proprietor of the brothel as registration fee. After that, the aunty makes the young girl to sleep with older men. All the proceeds from her sexual activities go to the aunty who decides how much is returned to the young girl as “pocket money”.

Our correspondent visited the hotel on a sunny day last week and met one of the girls named Martha, an indigene of Delta State. She was decked in a gown that barely covered her backside. Like a famished tigress, she rushed towards the reporter, offering him sex. After a brief discussion, she led the reporter to the brothel’s bar and was quickly joined by three of her colleagues.

Martha was the first to order for a bottle of a popular herbal drink called Alomo Bitters. With promise of a long-term friendship from the reporter, she opened up on her past and her dreams, narrating how she became a sex worker in the hotel.

Surprisingly, she doubles as an apprentice hairdresser, hoping to settle down into hairdressing business someday. But for now, she is under contract to serve her aunty for 11 more months, during which she must hand over her entire earnings.

Martha said: “My aunty is very nice. She gives me money, depending on how much I make in a day. I am from Delta State, and I am learning to become a hairdresser. I will leave next year after my service. After that, I will open a shop and become a businesswoman.”

It took her no time to finish her drink and order for another bottle. At this stage, the discussion became livelier, as the four girls freely talked about their lives as prostitutes in the brothel.

“I am very brave,” said Martha, beating her chest as she spoke. “I can take on as many men as are available at a time.”

But going by her confessions, she is an endangered species. Besides the meager nature of her income, she is daily exposed to the danger of being defrauded or physically assaulted by the men that patronise her. Only a few days earlier, she lost her cell phone, which she said she bought for N32, 000, to a client from whom she had only reaped N2,000.

She said: “The man stole my phone after paying me N2,000. I called the number and he picked it, but claimed that the phone belonged to him.”

Asked if she was not afraid of contracting HIV/AIDS, she said she had received enough lessons on how to protect herself against sexually transmitted diseases and other dangers that come with her trade. She said apart from insisting that her clients must wear condom, she had been taught not to get carried away when entertaining them.

“The first thing they taught us was that men are cunning, and that we should be very careful with them. We also go for medical check-ups regularly. But one thing is that we don’t sleep with men without condoms,” she said.

Martha is not alone in this modern day slavery. She has a partner in soft-spoken Janet, an indigene of Edo State. At 17, the second child in a family of seven says she took to prostitution because she wanted to make a success of her life.

In her barely audible voice, she said she was forced to go into prostitution because her elder sister was not discharging her responsibilities towards their parents. She is expected to gain her freedom in November, when she would have served her aunty for more than one year.

She told a pathetic story of the events that led her into prostitution, saying that unlike Martha, she plans to go back to school.

“I want to go back to school. I came here because there was nothing else for me to do. But once I finish serving my aunty, I will leave this place completely and make sure that I go back to school,” she said.

Interestingly, Janet is in the business with her cousin, 15-year-old Pat. Evidently more daring and outspoken than her two other colleagues, Pat declared that she wanted the reporter to have a relationship with the three of them. “I like you. If you no mind, all of us fit be your friend,” she said, her colleagues nodding in affirmation while she continued to do justice to the bottles of Climax energy drink in front of her.

A quick tour of the brothel revealed that it contained 54 rooms, each allocated to an aunty. While a first-time visitor would only notice the front gate and the rear gates, a closer observation would reveal other entry and exit points.

The arrangement of the rooms makes it difficult for a non-regular visitor to master the terrain. The source at the hotel said the arrangement was meant to conceal the activities of the prostitutes.

According to the source, 14 of the rooms are allocated to teenage prostitutes while the rest are occupied by their older and more experienced aunties.

At Room 19, a busty lady, probably in her 30s, sat on a stool by the door. Asked why she was idle at that time of the day, she said she was waiting for prospective clients, adding that business had been dull because of the Ramadan period.

She jumped up at the reporter’s suggestion of a deal. After a quick negotiation, she agreed to take N750, down by N250 from the N1,0000 she demanded initially.

A visit to Room 32 revealed that the occupant was one of the aunties named Faith, from Edo State. She agreed to give a younger girl to the reporter for a fee to be agreed. But she argued that she was capable of anything the younger girls could offer.

Upon the reporter’s insistence, she dashed to Room 30, where some of her girls were sleeping at the time. The lot fell on 19-year-old Sarah, who quickly went to another room to prepare the bed.

The innocent-looking girl felt disappointed when she returned moments later and was told that the reporter had changed his mind, but with a promise to come back later in the evening. She ran back into the room, ostensibly to steal a few minutes of sleep before another client would come knocking.

Such has been the lot of the young girls in the brothel. They take care of the sexual needs of their clients at night and give the proceeds to the aunties. Yet the little time they have to rest or in the day time is repeatedly punctuated by clients who stroll in, in the day.

A funny incident had occurred at the brothel the previous night. Encouraged by the hotel source, the reporter had stormed the hotel at exactly 8:30 pm, hoping to take pictures of the girls’ activities. One needed no one to tell him that one had stepped into an ‘unholy’ ground. From one room to the other, both the young and the old prostitutes showcased their ‘wares’ with skimpy dresses.

One of them named Jessica said she had been expecting a customer for more than two hours without luck. The reporter’s arrival therefore gave her the hope of making some money, which she said had been scarce since the commencement of Ramaddan. Jessica, who claims to be a mother of one, lamented the lull that had occasioned the fasting period. She also said she had been unlucky with her love life.

According to her, she had her child, who is now 11 years old, after she was put in the family way by her boyfriend. The man later denied the pregnancy, leaving her and her poor family to cater for the boy.

She said: “I was in JSS3 at the time, and I was too young to understand anything. So, when I became pregnant, I told my boyfriend about it, but he denied it and ran away. That was how I stopped going to school. After about two years, I came to Lagos to hustle. One aunty then introduced me to this business.”

But in spite of all that she has been through, Jessica insists she has no regrets about her past. “What is there for me to regret now?” she asked rhetorically.

It is now more than a decade that Jessica took the unholy path of selling her body for money, but both joy and wealth, the twin reasons she opted for prostitution, have eluded her. Rather she has had an unsettled life, with no decent home or man to call her own.

While denied having any regret, it was obvious that Jessica was not the happiest of women. Her expectations from the trade were far from being met. Unfortunately, she has no other profession to turn to.

She said: “Let me confess, I thought I would have made it more than this. At a point, I even tried to travel to Italy, but the aunty who wanted to help me stole all the money that I saved. She asked me to bring N500, 000, promising to take me to Italy. I was able to raise about N400, 000, which I gave to her. But after that day, I never saw her again. If I didn’t lose that money, I might have stopped this business by now.”

For Jessica and the other young girls in the brothel, the future looks bleak. What with their meager daily earnings, most of which they spend on feeding, medicals and fairly used clothes. Whatever is left in the end cannot guarantee the flashy lifestyle that prompted them to go into the trade.

It is no longer a secret that more than one thousand Nigerian girls are trafficked to different countries by prostitution rings in Europe every month. The unholy trade has assumed a height never seen before in the last decade, with Italy as choice destination.

However, recent investigation has shown that the crime is gradually declining in Western Europe following strict laws on illegal migration and the efforts of the National Agency for the Prohibition of Trafficking in Persons (NAPTIP).

But while the fight against the international prostitution rings may be gaining momentum, with relative success, locally-based prostitution rings are devising a model fashioned after the Europe-based rings to lure young and innocent girls into the world’s oldest profession.

Source: M.Johnson's Blog

Angalia Alichokiandika Selly katika Ukurasa wa Twitter Baada ya Nando Kutimuliwa BBA The Chase.

-->   Mshiriki kutoka Ghana aliyewahi kukashifiwa ya kwamba amemwambukiza magonjwa ya zinaa mshiriki wa Tanzania, Selly ameandika Kauli ya Kufurahia kutolewa kwa Nando katika Jumba hilo la BBA.

Angalia Mwenyewe:-


@therealsellygh
My God has fought my battle! All the stigmatization..hmm!! Fanx 2 all my friends and fans! Fanks to Africa!!

 

Ndege Abadilika na kuwa Binadamu baada ya Kudondoka Chini Mchana Kweupee!!!

-->

Walioshuhudia tukio hilo wamesema ilikuwa kama sinema au mchezo wa kuigiza kwani walikuwa ndege watatu wanapaa angani, ghafla mmoja akadondoka na akatumbukia katika ki mfereji cha maji, hapo ndipo alipojaza watu kwani alibadilika kutoka kuwa ndege na kuwa binadamu.

Ilibidi polisi waingilie kati na kumchukua mwanamke huyo ambaye alijieleza ya kwamba anatokea Ikole na Ni Mkazi wa Jimbo hilo la Ekiti Huko Nigeria.

Polisi hawaamini uchawi, sijui suala la mwanamke huyo watalishughulikiaje!!!!

Maskini, Msichana wa Chuo Akutwa Amefariki katika Nyumba ya Kulala Wageni.





Msichana Aliyetambuliwa kwa jina la Florence Ngwu, Mwanafunzi katika chuo kikuu cha Nigeria Amepatwa na Umauti Katika Hotel Moja Mjini Lagos, Nigeria. Mwili wa Msichana Huyo Ulikutwa sakafuni.

Mpaka Sasa hakuna taarifa za ziada zilizotolewa, pia haijajulikana ni kitu gani kilimtoa Chuoni na Kwenda Lagos.


"NGUVA" Wa Ukweli Avuliwa, Alimbembeleza Muhusika Amtunzie Siri ya Uwepo wake!!!

-->

Jumanne ya wiki hii huko Ibadan Nigeria, Mwanamke anayefahamika kama Ramota, ambaye ni muuzaji wa samaki wabichi ambao huvuliwa nakuwekwa katika mafriji alikutana na mkasa wa aina yake baada kukutana uso kwa uso na Samaki aina ya Nguva katika Moja ya Matenga ya Samaki aliyoyanunua.

Katika Harakati zake za Kuwatoa samaki hao na kuwapanga, Ramota alikutana na Samaki huyo mwenye Umbile na Nusu Mtu, Nusu Samaki, Hapo Mwanamke huyo alipiga kelele za kuomba msaada kwa majirani na akakimbia mbio kutoka nje.

Ramota alikimbia mpaka kwa Shehe mmoja wa maeneo ya Karibu ili aende kumsaidia, kutokana na kelele alizopiga na baada ya dakika chache kuonekana anarudi na Sheikh, watu walianza kujaa eneo la kazi la dada huyo.

Watu wachache walifanikiwa kumwona kiumbe huyo ingawa hawakupenda kuzungumzia zaidi ispokuwa mwanamke mmoja ambaye alikiri kumwona Nguva huyo na kwamba Ramota hakupaswa kupiga kelele wala kujaza watu kwani Samaki Mtu huyo alimwambia Asiseme kuhusu Kuwepo pale na kwamba alikuja kwa ajili ya kumnufaisha yeye.

Imeelezwa ya kwamba samaki mtu huyo alikuwa akiyasema maneno hayo huku akijificha na nywele zake zenye muundo wa rasta, huku akionekana kukamilika viungo vyote vya usoni licha ya udogo aliokuwa nao.

Kutokana na  zengwe la kujaa watu ilimbidi Ramota na Baadhi ya ndugu na Ma sheikh kumchukua Kiumbe huyo na kuondoka nae hapo kuelekea kwa Ndugu yao Mwingine.

Angalia Vizuri Picha aliyopigwa kupitia simu Kiumbe Huyo.



Nguva akimsihi asimtaje

Lulu Ajipanga Kurudi Darasani Tena


STAA wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amekazia nia yake ya kutaka kurudi shule siku chache zijazo.
Lulu aliandika hayo juzikati alipokuwa akichati na mashabiki wake kupitia ukurasa wa facebook ambapo alikuwa akiulizwa maswali na kuyajibu live kupitia Runinga ya East Africa.
Mmoja wa mashabiki wake alimuuliza Lulu kuhusu mipango yake ya kurudi shuleni ambapo alimjibu kuwa yupo katika mipango  hiyo hivyo hivi karibuni atarudi darasani.
“Am on process..soon mpenzi nitarudi darasani,” aliandika Lulu ambaye awali alidaiwa kukatisha masomo yake ya sekondari.
Source: GPL
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga