Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » Big Brother Africa 8 imerudi tena


Haya limerudi tene lile shindano la kuwaacha hoi na kuwaacha uchi washiriki wengi katika jumba la Big Brother, ambapo safari kutakuwa na washindani 28, imependekezwa iwe mwanamke mmoja na mwanaume mmoja kutoka nchi 14 za washiriki. Bado kuna mjadala kuhusu kuwepo wasanii na watu maarufu kutoka nchi mbali mbali za Africa zikiwemo:-
Uganda- Desire Luzinda/Jackie. O (Obsessions)
South Africa- Khanyi Mbau
Ghana- Vera sidika/Sarkodie
Nigeria- Inyanya/Dammy Krane
Kenya- Shaffie weru/Oj Oballa
Zimbabwe- Makosi Musambasi etc
Big Brother Africa yatarajiwa Kuanza Mwezi wa Tano tarehe 26.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga