Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » Angalia "Fumanizi" Kimada afumwa na Mwenye Mume

-->

Mwanamke mmoja nchini South Africa ameuanza Mwaka 2013 vibaya baada ya kupokea kichapo cha haja na kuvuliwa nguo hadharani. Tukio hilo limetokea usiku wa mkesha wa mwaka mpya ambapo mke alimwambia mumewe kuwa anakwenda kanisani kwa ajili ya mkesha huo na ndipo njemba hiyo ikautumia mwanya huo kumualika nyumbani kimada wake, baada ya kula raha zao walipitiwa na usingizi na ndipo mke wa halali aliporudi nyumbani na kumjazia watu mumewe huku akimkwida kimada huyo na kumsaula nguo!

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga