Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » JIONEE CV YA MCH. RWAKATARE, NI YA KU UNGA UNGA AU?!!!


kuna mambo hapo juu kwenye hii Cv kidogo yananipa shida. naomba wadau mliosoma zamani mnisaidie. je miaka ya nyuma Elimu ya Msingi ilikuwa miaka mi tatu?
Huyu mama Dr.Lwakatare alisoma Ifakara Girls Primary School
alianza mwaka 1962 na kumaliza 1965.
pia nisaidien je elimu ya sekondari A level ilikuwa mwaka mmoja ? Maana yeye CV yake inaonesha
Korogwe Girls' High SchoolA-Level Education alianza 1970 na kumaliza 1971HIGH SCHOOL
Degree miaka ya nyuma zilikuwa zinasomwa kwa miaka mingapi? maana yeye alisoma mwaka mmoja tu
Eastern & Southern Africa Management InstituteBA(Mass Communication) alianza mwaka 1982 na kumaliza 1983

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga