Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » MIAKA 10 YA MUZIKI KWA D'BANJ, ASINDIKIZWA NA AMBER ROSE.


D'Banj akihojiwa.
D'Banj akimnong'oneza jambo Amber Rose.
Amber Rose na D'Banj katika…
D'Banj akihojiwa.
D'Banj akimnong'oneza jambo Amber Rose.
Amber Rose na D'Banj katika pozi.
D'Banj akifurahia jambo na Amber wakati wa sherehe hizo.
MWANAMUZIKI mahiri wa Nigeria, D'banj jana amesherehekea kuadhimisha miaka 10 katika muziki ambapo sherehe hizo ziliongozwa na mwigizaji na mwanamitindo maarufu kutoka nchini Marekani, Amber Rose.
Video ya mahojiano ya D'Banj na HipTV kuhusu maadhimisho hayo na kwa nini alimchagua Amber Rose kuongoza sherehe.



Mastaa mbalimbali wakiwemo Ice Prince, Kayswitch, Seyi Law, Orezi, Toke Makinwa na wengineo walihudhuria sherehe hizo zilizofanyika Ocean View jijini Lagos, Nigeria jana.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga