Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » » MC AMKERA WAZIRI FANELA KATIKA SHEREHE YA KUMPONGEZA LUIZA MBUTU


Waziri wa Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Fenela Mkangara (kushoto) akiwa na Luiza Mbutu.
 
MSHEHERESHAJI wa onyesho la Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ kumpongeza mwimbaji kiongozi Luiza Mbutu kutimiza miaka 16 ya kuifanyia kazi mfululizo bila kuhama, Sakina Lyoka, Jumamosi iliyopita alimkera mgeni rasmi, Waziri wa Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Fenela Mkangara baada ya kukosea kutamka vizuri cheo chake. 
 
Mtangazaji huyo wa televisheni, wakati akimkaribisha, alimtambulisha kama Waziri wa Utamaduni, kitu ambacho kilimkera kiasi cha kumnyang’anya kipaza sauti ili kumsahihisha.
“Jamani mimi naitwa Fenela Mkangara, ni Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo na siyo Waziri wa Utamaduni kama alivyonitambulisha huyu Mc,” alisema Waziri huyo ambaye baadaye alimpongeza Luiza kwa kudumu kwa muda wote bila kuhama na kuonyesha nidhamu kazini.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga