Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» »Unlabelled » Amfukia Mwanae kwa "Tamaa za Utajiri"

Katika harakati za kujitafutia utajiri, Njemba moja nchini Nigeria imemuua na kumfukia mtoto wake wa miezi minne kwa kile kinachodaiwa kujitafutia utajiri. Tukio hilo la kinyama limefanyika katika Mkesha wa mwaka mpya mpya. Hata hivyo siku chache zilizofuata kioja cha njemba hiyo kiligunduliwa na sasa yupo mikononi mwa vyombo vya dola.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga