Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» »Unlabelled » 60% ya Makahaba Nchini Italia na Ubeligiji ni Wanaigeria!

Utafiti umeonesha kuwa 60% ya makahaba wanaopatikana katika nchi za Ubeligiji na Italilia ni Raia kutoka nchini Nigeria. Utafiti huo umekuja kutokana na kuongeza kwa matukio ya mauaji yanayowakumba makahaba hao ambapo wiki iliyopita tu nchini Italia Kahaba kutoka Nigeia bi Franca Abumeni Aliuwa katika misutu iliyopo jijini Rome. Aidha ripoti hiyo imeonesha ongezeko kubwa la wahamiaji wanawake toka katika nchi hiyo ukilinganishwa na miaka ya mwanzoni!

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga