Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» »Unlabelled » "Ntayaanika aliyonifanyia kitandani" Kay Figo

Msanii Kyaula Kafula wa nchini Zambia almaarufu kama Kay Figo ametishia kuyaweka hadharani aliyokuwa akifanyiwa na Sugar Dady wake kutokana na wawili hao kutengana ghafla na njemba hiyo kushinda kesi ya madai iliyofunguliwa na mwanadada huyo! Watu wamekuwa wakisubiria kwa hamu kuyajua madudu ya njemba hiyo endapo atakomaa na kutomlipa Kay fedha anazohitaji hata kimya kimya!

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga