Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» »Unlabelled » Bebe Cool Awa Muuza Wine

Soko la bidhaa za vileo la kuagiza limeingia katika sura mpya baada ya mwanamuzi Bebe Cool naye kuingia katika soko hilo na lebo yake mpya ya Bebe Cool Red Sweet Wine. Hii inakuja siku chache tu baada ya mke wa Bebe Cool, Zuena kuwa mtengenezaji mashuhuri wa Keki nchini humo. Ingawa haijajulikana bado ni kutoka nchi gani mzee mzima anaziagizia lakini washauri wa mambo wamesisistiza hata kama ni sweet wine yapaswa kutumika katika kiwango cha wastani ili kupunguza uwezekano wa kusumbuliwa na maumivu ya kichwa kama yanayo msibu Bebe kama alivyotokea katika picha ya chupa hiyo.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga