Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » Dar Live Hapatoshi Msimu huu



Ukumbi maarufu wa burudani unaopatika Maeneo ya Mbagara Zakhem, unatarajiwa kuwa na burudani na balaa la aina yake msimu huu wa mwisho wa mwaka pale ambapo patawakutanisha wakali wa burudani, nawazungumzia Twanga Pepeta wakitushushia family Bonanza mnamo tarehe 16/12, 23/12 na 30/12 huku mkali Diamond platinumz akifanya balaa siku ya tarehe 25 yaani XMAS na singo yake ya nataka kulewa ikizundiliwa. Si hivyo tu bali tarehe 26, Boxing Day mabondia watazipiga kisha kupepewa na burudani toka kwa Jahazi Modern Taarab. Mzigo utashushwa tarehe 31 yaani Mkesha wa mwaka mpya ambapo burudani itashushwa na T.Moto Taarab wakisindikizwa na Five Stars, Coast na New Zanzibar Taarab.......Hapatoshiii!

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga