Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» »Unlabelled » FM ACADEMIA watimiza miaka 15

Magwiji wa muziki wa dansi, FM ACADEMIA, jana walifanya party ya kufa mtu ya kuadhimisha kutimiza kwao miaka 15 tangu kuanzishwa kwake, huku udhamini mkubwa ukitoka Tigo. Katika hafla hiyo iliyopambwa na burudani ya aina yake, ikisindikizwa na mapacha watatu, PNC, na Dogo Janja ambapo Nyimbo za tangu mwanzo wa bendi mpaka sasa zilitumbuizwa.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga