Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» »Unlabelled » Aua Mama, 26 na Mwenyewe

Kutoka Connecticut Marekani, Jamaa Mmoja mwenye umri wa miaka 20, Adam Lanza, akiwa amevaa nguo nyeusi za kijeshi amefanya mauaji ya aina yake baada ya kuchanganyikiwa kwa kuanza kumuua Mama yake mzazi, Mwalimu na watoto wa Chekechea 20 na Watu wengine kisha kujiua na yeye mwenyewe. Kwa Sasa polisi inamuhoji kaka yake Ryan Lanza, 24, ambaye hapo mwanzo ndo alishukiwa kuwa muuaji na kutangazwa katika vyombo kadhaa vya habari kutokana na kufanana na mdogo wake, lakini hayuko hatiani. Inasemekana kuwa Adam alikuwa na ugomvi na mama yake. Mashahidi wa tukio wamesema jamaa alikuwa na Bastola mbili mkononi na alisikika milio zaidi ya mara 100 ya risasi zikifyatuliwa.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga