Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» »Unlabelled » Polisi wakimbia Mtuhumiwa baada ya kubalika na kuwa NYANI!

Mtuhumiwa wa mauaji na ubakaji huku akiwa na rekodi ya kuwatoroka mara mbili polisi nchini Zimbabwe majuzi ametoa kali ya mwaka na kuwafanya mashuhuda na polisi waliomkamata kutimua mbio baada ya njemba hiyo kubadilika na kuwa nyani.Bwana Ndlovu alidakwa na wananchi wenye hasira katika eneo la tukio, na kwa kuwa walishachoka na vitendo vyake walitaka kumpa fundisho la maisha kwa kumchoma moto lakini kwa bahati nzuri, aliokolewa na polisi ambao waliamua kumchukua ili wampeleke kituoni, cha kushangaza sasa wakati wapo njiani walitahamaki polisi kujiona wamemkamata "NYANI" na njemba imeyayuka. Ndpo Polisi walipiga mayowe na kutimua mbio wao na Raia.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga