Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » Waiba Mafuta na Kuyaficha katika" Nyeti"

Tukio la aibu limewakuta wanawake wawili nchini Kenya, pale waliponaswa na camera za Supermarket moja wakiiba na kuficha Mafuta ya kupikia katika nyeti zao! Wanawake hao hawakujua kwamba kuna kamera za uangalizi ambazo huwekwa kwa tahadhari ya matukio kama hayo! Baada ya kufanya wizi huo na kujiandaa kutoka bila kulipa ndipo walipozungukwa na walinzi wa Supermarket hiyo baada ya kupata taarifa toka kwa mtu aliyekuwa katika chumba cha uangalizi kwamba wanawake hao wameiba vitu na kuvichimbia katika sehemu zao za siri! Hata sijui wangetembeaje maana ni sawa "Naniii" imeingia katika "nanii"

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga