Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» »Unlabelled » Waziri anaswa na warembo wa chuo

Mmoja wa waziri katika serikali ya Nchi ya Ghana amenaswa akila raha na vimwana wa chuo kimoja mjini Accra, hali iliyosababisha Mpenzi wake wa muda mrefu ajulikanae kama "Madam wa Boss" kumpiga chini na kumwacha aendelee na mabo yake hali iyomchanganya waziri huyo kwani mpenzi wake huyo ndo chachu ya mafanikio yake hususani katika medani ya siasa na amekuwa mstari wa mbele katika kumuunganisha katika mitandao mbali mbali ya kijamii na kumsaidia katika ku update status zake katika sehemu hizo!

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga