Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » Janneth Jackson abadili Dini na kuwa tayari kwa ndoa ya Kiislam.

Janneth na Wissam



Hatimaye mwanadada Janneth Jackson amebadili dini na kuwa Muislam huku akijiandaa kufunga ndoa na Prince Wissam Al Mana, Bilionea. Janneth amefanya kama alivyobadili kaka yake marehemu Michael Jackson, na kuamua kutowaambia mashabiki wake. Njemba hiyo imetoa ahadi ya kuwakodia ndege binafsi wanafamilia na watu waote wa karibu watakaobaatika kuhudhuria Harusi hiyo huku wakiahidiwa kuzawadiwa saa aina ya Rolex yenye thamani ya Sh Million 16 za kitanzania. Duuh njemba ina hela balaa.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga