Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » » » Binti "Abakwa" kisha kupigwa picha na kurekodiwa


Mfanyakazi mmoja katika taasisi ya Elimu ya Petroli ya Warri huko Ghana amepatwa na mkasa wa maisha yake baada ya kutekwa na wanaume wawili kisha kupelekwa hotelini na kuanza kubakwa kwa zamu huku wakimpiga picha na kumrekodi. Baada ya kumaliza haja zao walimruhusu aende zake na ndipo alipokutana na wanajeshi wa eneo hilo na kuwapa taarifa. Wanajeshi hao walifanikiwa kuuweka mtego na kuwakamata watuhumiwa hao na watafikishwa mahakamani kukabili mashtaka yao.





-->


Angalia Video

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga