Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » 50 cent Azinguana na mwanae, amtukana matusi ya nguoni na kudai vipimo vya kuhakiki ya kwamba yeye ni baba halali au!!

Wiki iliyopita, Mwanamuziki 50 Cent alikuwa na mzozo na mama wa mwanae Marquise kiasi cha kufikia kuharibu baadhi ya vitu vya ndani vya mwanamama huyo, wiki kuonesha hali imekuwa mbaya Rapper huyo amemvurumishia mvua ya matusi mtoto wake mwenye umri wa miaka 16 huku akidai ya kwamba anahisi si mwanawe kwani kipindi yupo na mama yake, mwanamke huyo alikuwa hajatulia.

Angalia vizuri majibizano yao katika picha hapo juu.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga