Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » » Angalia Mh. Sumaye Akiselebuka Katika Send Off ya Natasha


Wiki iliyopita, kulikuwa na Send off party ya Suzan Lewis, Maarufu kama Natasha, Muigizaji mkongwe wa filamu za Tanzania na Mama Mzazi wa Muigizaji Yvone Sherry maarufu kama Monalisa. Sherehe hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa wazi, miongoni mwa watu waliojitokeza kuinogesha ni Waziri Mkuu Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Mh. Fedrick Sumaye, kama anavyoonekana akiselebuka hapo pichani.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga