Kweli mwisho wa Dunia umefika. Kijana huyu wa Ki Brazil ameamua kutoka katika ubinadamu na kuwa nusu mbwa baada ya kufanya upusuaji na kujibadilisha uso wake ili afanane na mbwa. Hivyo basi yeye ameweka rekodi ya kuwa Mbwa Mtu wa kwanza Duniani.
Udaku wa ndani na nje ya Tanzania
Posted by: Unknown Posted date: 8:23 AM / comment : 0
Tagged with: Habari za Kimataifa Udaku wa Ulaya Ujana