Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » Mlemavu wa Miguu amvua Papa Mwenye Kilo zaidi ya 250.


Kijana Mlemavu wa miguu, Matt Sechrist, 19 juzi aliandika kumbukumbu ya maisha yake baada ya kumkamata Papa mwenye uzito wa zaidi ya kilo 250 katika Fukwe za Vilano huko Florida.

Matt alifanikiwa kumkamata Papa huyo akisaidiwa na Baba yake pamoja na Rafiki wa Babab yake, Iliwachukua takribani saa moja kuhangaika na kiumbe huyo mpaka kumtoa nchi kavu, hata hivyo baada ya kupiga nae(Papa) picha za ukumbusho pamoja na watu wengine walimrudisha katika maji.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga