Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » Mwakilishi wa BBA Kuhukumiwa Kifungo kwa Kufanya Mapenzi Hadharani

--> Betty, ambaye ni mwakilishi wa BBA The Chase Kutoka Nchini Ethiopia anaandaliwa mashtaka yake ambayo yatamkabili pindi akirudi nchini kwao kutokana na kitendo chake cha kufanya mapenzi ndani ya jumba hilo huku akionekana katika television, kitendo ambacho ni kinyume na sheria za nchi hiyo.

Kwa mujibu wa Redio moja nchini humo, Jopo la wanasheria wameshamfungulia mashataka mahakamani na wanamngojea arudi.


About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga