Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » Mwanamke avamiwa na kundi la vijana kisha kuchaniwa nguo alizovaa!!

-->

Mkasa huo umempata dada mmoja ambaye alikuwa amevaa nguo fupi hasa sketi, na alipofika maeneo ya Kitengela Kenya, alivamiwa na kundi la vijana (wengi wao wakiwa ni wapiga debe) wakimsihi afanye utaratibu kuhusu nguo alizovaa kwani haziendani na maadili.

Baada ya dada huyo kuwapuuza, vijana hao walijichukulia sheria mkononi na kumvamia kisha kumchania nguo hizo huku wakisema bora awe uchi kwani alidhamiria kuwa uchi. Binti huyo alijibanza chini hadi alipotokea msamaria mwema na kumpa gauni refu, kisha akapanda pikipiki na kuondoka.

Angalia video hapa

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga