Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » "Obama na Mkewe ni Wabaya" Amanda Bynes



Muigazi wa Movie wa Hollywood Marekani jana amekitibua tena baada ya Ku Tweet katika page yake ya Twitter ya kwamba Rais wa Nchi Hiyo na Mkewe ni Wabaya. Binti huyu amewekwa katika kundi la watu wabaguzi kwani alishawahi kumtamkia maneno ya kibaguzi kama hayo Msanii Rihanna kwa Kumwambia "Criss Brown anakupiga kwa sababu wewe ni Mbaya"/

Baada ya kusema maneno hayo kwenda kwa Rais na Mkewe zaidi ya wafuasi wake 300 wameacha kumfuata tena kupitia twitter na ajiandae kukutana na mabaya zaidi. Unasema bwana "Obama" mbaya sijui?!!!

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga