Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » » » » Uwoya yamkuta, Aambulia Matusi ya Nguoni Baada ya Kumfananisha Diamond na Michael Jackson

-->



Wiki iliyopita Muigazaji wa Filamu Inchini, Mwanadada Irine Uwoya aliandika katika Ukurasa wa Istagram ya kwamba msanii wa Bongo Fleva, Diamond ndiye wa pekee ambaye anaweza kumrithi mkali wa Pop Mareheme Michael jackson kwa Jinsi msanii huyo alivyojuu kwa sasa. Maneno hayo ya mtazamo wake yaliwakera baadhi ya mashabiki na kuanza kumporomoshea matusi ya nguo kwa mtazamo wake huo, wengine walihoji huku wakimtukana, iweje amananishe aliyekufa na aliye hai au sababu Diamond aliku...!!! Ndo mambo ya Wabongo hayo.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga