Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » Wabunge wa Nigeria wataona damu sababu ya kupishana kisiasa, angalia picha wakizichapa Bungeni.


Juzi kumeibuka ugomvi wa Aina yake katika Bunge la Nigeria kiasi cha kusababisha wabunge zaidi ya watano kujeruhiwa. Ugomvi huo uliotokana na upinzani wa kisiasa juu ya mswaada ulioanza kujadiliwa miezi miwili iliyopita.

Imeelezwa ya kwamba mmoja wa wabunge hao aliwaandaa vijana wake wa kazi kwa ajili ya kuleta uchavuzi huo na ya kwamba walitangulia kufika eneo la tukio mapema hata kabla ya kikao kuanza.

Mara baada ya hali ya hewa kuchafuka mjengoni hapo, wabunge hao walianza kubeba mitungi ya vioo na vyuma vya mapambo na kuanza kupigina hali iliyosababisha wengi wao kujeruhiwa akiwemo spika wa Bunge Hilo.

Baadhi ya wabunge walitimua mbio ili kujinusuru na majeruhi wengi wamepelekwa katika kituo cha afya cha St Patricks Hospital  maeneo ya Ogbunabali katika Port Harcourt 

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga