Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » Selly Amuomba Radhi Mpenzi Wake Kupitia Live TV, Amshukuru kwa kuwa Muelewa.


Aliyekuwa Mshiriki wa BBA The Chase kutoka Ghana, Selorm Galley, Maarufu kama Selly amezidi ku Make Headlines katika media za Nchini kwao tangu kufungasha virago vyako katika jumba hilo la BBA na kurudi kwao.

Usiku wa Majuzi Mrembo huyo alifanya Surprise ya aina yake baada kutokea katika kipindi kimoja cha Televisheni cha usiku "Late Nite Celebrity Show" na Kuongea Mengi Kikubwa ni Kumwomba Radhi Mpenzi wake wa Muda Mrefu Praye Tietia Moja kwa Moja(Live)

Alisema" “I am very thankful for the opportunity given me. I want to thank my boyfriend, Praye Tietia and also use this opportunity to say I am very sorry (for all that happened),”
Alisisitiza Mrembo Huyo.



About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga