Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » APIGIWA SIMU NA SMS ZAIDI YA MARA 40 KUTOKA KWA SHETANI


Mama mmoja toka Colorado nchini Marekani alipokea simu ya ajabu usiku mmoja wa manane kutoka kwenye namba 1-666-666-666 na ndani ya masaa machache alipokea meseji nyingi sana kutoka namba tofuti tofauti na zote zikiwa zimeandika ‘Satan’ kwa maana ya 'Shetani'.

Mwanamke huyo, Jenn Vest kipindi kipindi anatumiwa meseji hizo alikuwa anasinzia wakati akiwa bado anaendelea kumnyonyesha mtoto wake na ndipo aliposikia simu inaita ikipigwa kutoka namba 1-666-666-666.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga