Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » MAMBO YA UJANA HAYO, CHUP! LIMETOBOKA NA MLEGEZO JUU.


PICHA HII IMENASWA MOJA YA VIJIWE VYA VIJANA MANISPAA YA MOROGORO KAMA INAVYOONEKA, KIJANA AKIWA AMESHUSHA SURUALI ILI NGUO YA NDANI IWEZE KUONEKANA
VYEMA NA KIURAHISI LAKINI CHA KUSTAJABISHA NGUO HIYO IMELIWA NA MENDE NA KUACHA PENGO LILILOONYESHA SEHEMU YA MWILI KATIKA KALIO LA UPANDE WA KULIA, HAIKUWA KAZI RAHISI KUULIZA SWALI KWA KIJANA HUYO KWANINI AMEVAA NGUO YA NDANI ILIYOTOBOKA ?, BILA SHAKA SWALI HILO ALIPASWA KUULIZWA NA MZAZI WAKE. 

                                                                                                                      PHOTO/MTANDA BLOG

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga