Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » MCHUNGAJI AWAFANYA WAUMINI WAKE WALE NYASI MBICHI.


Mchungaji Daniel Lesego wa Kanisa la Rabboni Centre ambalo lipo eneo la Ga-Rankuwa, Kaskazini mwa Pretoria, amewafanya Waumini wa Kanisa lake wale majani alipokuwa akihubiri juu ya nguvu za Mungu kuwa zinaweza kumfanya mwanadamu ale kitu chochote.

Alisema Mchungaji huyo: “Njooni na le ili macho yenu yaweze kuona. Simon Peter alisema: Naenda kuvua, hii si sawa. Alirudi tena kwenye sehemu ambayo Yesu alimkuta. Haya ni aina ya majabu ambayo yatasababisha wengi kutubu sababu huu ni ujumbe kupitia miujiza, alama na maajabu. Yesu hakuja kwa namna ya kirafiki sababu wao walikuwa wakifanya kile ambacho hakuwaagiza kufanya.”

“Paul anasema: Nabeba kifo cha Yesu ndani yangu sababu yeye anaula mwili wake.”


Angalia zaidi picha na video hapo chini....


Daniel Lesego




DC Blog.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga