Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » Msanii amfanya binti avue nguo zote stejin na kuanza kumwaga radhi jukwaaani.




Msichana huyu toka Accra nchini Ghana alipandwa na mzuka kwenye tamasha moja nchini humo ambalo lilifanyika Jumamosi iliyopita kwenye uwanja wa Accra Sports Stadium.

Mmoja kati ya wasanii toka Ghana, Asem, ndiye ambaye alimpandisha mzuka msichana huyo katika kipindi alichokuwa anatumbuiza jukwaani.



Wasanii kama P-square, M.I, Edem, Sherifa Gunu, Kwabena Kwabena, Asem na Gyedu Blay Ambolley walikuwepo kwenye tamasha hilo kuwaburudisha mashabiki wao.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga