Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » NIMELEZIMIKA KUTEMBEA NA MUME WA MTU, KAMA NI WAKO UTANILAUMU KWELI?!



Kwa utangulizi mfupi mimi nilipata ajali July sasa kutokana na hiyo ajali bado naumwa umwa mara kwa mara! Namshukuru Mungu sikulemaa ila ocassionally nikitembea sanaa mguu unavimba nakuwa nachechemea! Pamoja na ajali mambo yangu mengi mwaka huu yamevurugika vurugika, na huku kuumwa mda mrefu sina hata uhakika nitapona lini kumeleta mambo mengi sanaa yasiyo furahisha ikiwemo kutikisika kiuchumi na kulazima kuwa na savings kubwa incase emergency ya kwenda kutibiwa nchi za watu nisiabike! Nimejikuta ninahitaji la mamilioni wakati mia sina!lol! Kuumwa huku kazi imenishinda, dili zinasuasua mda mwingi nakuwa nauguza mguu. (msisikitike sana ndo maisha hayo! ITS NOT THAT BAD!)

Sasa wakati mimi nikishuka wenzangu wamepanda sanaaaa! Wamefanya ambo makubwa! Ni heri yao wala siwaonei wivu ila wanaleta zarau! Ujue mimi naumwa afu nimekwamaa instead of showing compassion and remembering the good things i did for them wanaleta compeee! As if i am finished! (Maybe i am truly finished) Its over for me, sina thamani tena, full kuwa ignored. I dont matter no more. Sababu naumwa kuna watu nawadai hawanilipi, nitawafanya nini wakati afya mgogoro, kuna watu wananisikitikia sasa sijui kweli au unafiki, All in all MIMI HAYA MAISHA MAPYA SIJAYAKUBALI! WALA SITOKAA NIYAKUBALI!

I am so bitter in my heart hadi nikiingia humu naona mada zote zinaniboa tu! Yaani nawaza for how long niwaache hawa watu waendelee to look down at me, wanikalie kichwani, waone wamenializa! Hapana aiseee! Naturally mimi ni fighter! sio mnyonge! They have pushed me too far kwenye point of being capable of doing anything! I will do anything to build up myself again so that i can only TAKE CARE of them snitches! I want to rebuild my self ili niwashughulikie tu, one by one without showing any mercy. Siwezi kuishi hivi for the rest of my life. And dont tell me do nothing! Cause if i do nothing, nothing will happen.

Talk is CHEAP, i want to build myself Yeah! yeah! yeah! everybody surely wants that. The million dollar question is HOW!????? Sasa kuna waume za watu hawa 2, wamejipendekeza anga zangu at dangerous times like these! Hawa bwana they have what i need to wipe out all my enemies and troubles with just 1 word NIMEKUBALI!! Nataka nitangaze vita na multiple people and war means funds, and funds is what i dont have, na huko kujirestore to my previous position it aint a cheap procedure! Itanicost dearly! Yet its something that must be done! Hawa bwana nataka nichague mmoja and they have DISPOSABLE INCOME! Hizi stress zote nilizonazo can kujiachia na mume wa mtu be worse than hizi stress? I dont think soo!

Dont get so sentimental! Sio kwamba namchukua, im just borrowing him for some time KUJIOKOA kujiboreshea maisha kidogo! I deserve a little bit stress free life dont i?(Ofcourse the wifey deserve the most part of it sababu walionana mapema ila nikidokoa kidogo she wont mind) Besides SH!T HAPPENS BECAUSE IT JUST DOES!!!!!!!! Its not my fault or her fault that i got sick! But i got sick anyway! Its not like she will know or something!

Before you get SO JUDGY AND CONDEMNING dont be selfish and think a little me about me! Najua hii njia sio bora but dangerous times call for dangerous remedies! Do you really suggest MWENYE NACHO AJILIMBIKIZIE (Ana mume, kazi, happy family, mali everthing you wish for) NA MIE WANIMALIZIE KABISAAA! Kweliiiiiii? Hata msisuggest nifanye biashara coz itafilisika dakika2, akili haijatulia kabisaa, na moyo umejaa kisasi, Ndugu wa kunisaidia ni bi mkubwa wangu ila inabidi nimwambie hela za nini, sasa nikimwambia walivonifanya atapata uchungu zaidi ya wakwangu anaweza hata kupata pressure bure na sononeko kuu , ndugu zangu wengine wako kwenye list ya kushughulikiwa! Na hii kazi inahitaji disposable income cause hairudi!

Mambo ya kumuomba Mkuu, tuyaweke kando, kutokana na nature ya hili zoezi ni kulipa kisasi! Sio kwamba kuwasemehe nimeshindwa but ieshindikana sababu hii tabia chafu wataiendeleza, na tutaishi bila kuaminiana hadi lini, nalazimika kuwa descipline na kuwafundisha somo wasirudie tena! Haya masuala ni muhimu sana kwangu kupita mnavozani. Hakuna kitu kinauma kama kukataliwa na jamii yako bila sababu za msingi. Unaweza hata kunywa poison kama huna roho ya mchongoma!

Kweli if it was your hubby will you be mad at me? Show mercy! LOL! Na mliowahi kujiachia na waume za watu, why? and did you have any remorse? Embu nipeni INSIDE STORY kidogo.

Kutoka JF.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga