Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » Ukilala na Mwanamke huyu unakwenda na Maji


Wakuu!
Haya ni maajabu kidogo, leo nimekutana na mwanamke mmoja anatokea Masasi, kuja Tandahimba kwa fundi (mganga wa kienyeji.)

kwa bahati nilifanikiwa kupiga nae stori na akanielezea kisa kilichomfanya aje Tandahimba kumtafuta fundi!

Inshort tatizo lake yeye ni kuwa aliolewa kama miaka 2 hivi iliyopita na katika ndoa yake ilitokea mtafaruku kati yake na mumewe kitu kilichopelekea wakatengana.

Sasa ajabu ni kuwa tokea atengane na huyo mumewe, kila mwanaume anayekutana nae kimwili(kus3x nae) lazma apate homa kali, na akipona tu! Anakuwa siyo rizki tena!
Kesha fanya hivyo na zaidi ya wanaume 4 na wote wamekutwa na tatizo hilo, ndiyo akagundua kuwa tatizo ni yeye na anadhani amelogwa na mume wake wa kwanza!!

Ndiyo mjue wanawake wengine ni hatari, na dawa nyingine ni hatari..

Kuna kulogwa hadi kwenye map3nz!

JF

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga