Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » Vic na Becks wala deal jingine na Vogue



Yeye ni nyota wa miondoko ya muziki wa pop ambaye alijiingiza kwenye ubunifu wa mitindo, na sasa inaonekana kwamba Victoria Beckham yupo mbioni kuingia kwenye uandishi pia.

mwnamke huyo mwenye umri wa miaka 39 alikaribishwa kwenye uhariri wa jarida la Christmas la Vogue Paris, na hakika alihitajika pia kuwepo kwenye kava yake.
Kwenye picha nyingi alizopiga, mama huyo mwenye watoto wanne anaonekana akiwa anauza zaidi kwa mapozi mbalimbali na baadhi ya picha chache akiwa na mumewe David.


Akizungumzia juu ya uamuzi wa wa kumkabidhi majukumu Victoria, mhariri mkuu Emmanuelle Alt alisema: "Tunakabidhi muendelezo wa makala hii kwa mwanamke ambaye, kwa kipindi chote tulichofanyakazi pamoja, amedhihirisha kuwa tofauti kabisa na muonekano wake kwenye jamii.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga