Feature

Udaku wa Africa

Habari za Kimataifa

Habari za Kitaifa

Mapenzi

Michezo na Burudani

Udaku wa Ulaya

» » » » AISHA BUI AFANYA VARANGATI KWA WASAMBAZAJI MOVIE, AVUNJA MILANGO.


STAA wa sinema za Kibongo, Aisha Bui amefunguka kuwa hivi karibuni aliangusha timbwili la kufa mtu kudai fedha zake za filamu aliyocheza kwa sababu fedha aliyotumia kuandaa filamu hiyo hakuhongwa na mwanaume.
Staa wa sinema za Kibongo, Aisha Bui akiwa katika ofisi za kusambazia filamu za Yuneda, Mbagala jijini Dar.
Akizungumza na mwanahabari wetu, Aisha  ambaye alianzisha timbwili katika ofisi za kusambazia filamu za Yuneda, Mbagala jijini Dar, alisema kuwa aliumia kuona anazungushwa kuhusu malipo wakati yeye hutafuta chapaa kwa jasho lake mwenyewe tofauti na wasanii wengine ambao fedha zao ni za kupewa na wadau. 
Staa wa sinema za Kibongo, Aisha Bui akionekana kuwa ni mwenye gadhabu
“Unajua naumia sana hela yangu siyo kwamba nilihongwa na wanaume bali nilitafuta kwa jasho langu hivyo mtu anapokuwa na lengo la kunidhulumu naumia mno na ninashikwa na hasira  sana,” alisema Aisha Bui.

About Unknown

Habari karibu katika Blog hii, Tafadhali Like Page Yetu na Toa Maoni yako kuhusiana na kile unachokiona humu.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Blogger Tips and TricksLatest Tips And TricksBlogger Tricks

Majanga